Natafuta mchumba kike awe tajiri.
Sifa zangu;
1. Mimi ni black kidogo.
2. Elimu yangu certificate ya Tehama.
3. Kazi yangu ya Wakala (usajili wa sim cards) wa Airtel, Vodacom Tanzania, Halotel Tanzania, Ttcl Tanzania na Tigo Tanzania.
Sifa zake huyo msichana;
1. Awe tajiri Boss lady.
2. Umri...
Wakuu habarini za muda huu, matumaini mu wazima wa Afya. Nije moja kwa moja kwenye mada.
Jana mchana nimefatwa na dogo mmoja akitaka nimpe ushauri. Iko hivi, ana msichana aliyemtokea takribani Kwa wiki 2 hivi, kila akijaribu kucheza nae msichana hampi majibu mazuri na wakati mwingine hapokei...
Ukiona mwanamke anakuweka kwenye profile zake za mitandao ya kijamii au billboard anakutajataja kwenye maadishi yake na kwa marafiki zake, jua tu yeye ndio ana kufaidi kuliko wewe unavyodhani.
Mwanamke hawezi kutangaza mwanaume masikini hata kama unampenda kiasi gani, ukiwa mkata nyasi wewe...
Habari zenu humu, kwanza tambua ukubwa jalala na kijiji bila wazee ni Jahanam.
Week hii ndugu zangu nimeenda kumpiga X-Ray my future wife pamoja na ukoo wake kwa nia tu nzuri, ili tu tujue account ya nani ipo juu. Baada ya X Ray kutoa majibu account yangu ipo juu kuliko ya my future wife kwa...
Jana baada ya kusoma sms ya M-Pesa imethibishwa umepokea… kama shukrani.
Nilipokea simu ya mteja wangu akiwa na furaha kweli. Furaha yake ni baada ya kusikia maneno aliyokua anasubiri kuyasikia kutoka kwa mpenzi wake. Lakini kabla ya hapo hebu nikushirikishe kisa chake ili nawe upate kujifunza...
Rafiki yangu alimlaumu kaka yake, nami nikaumia kwa kuwa nilifahamu kisa cha ndoa ile. Nitaelelza machache nayofahamu ambayo yaliniumiza.
Sitaelelzea ndoa yao kiundani ndugu wa rafiki yangu hawa ambao kwa makadirio walifunga ndoa mwaka 2016 na kubarikiwa mtoto 1 huku binti akiwa alikuwa na...
Habari zenu wakuu,
Nisiwapotezee muda moja kwa moja niende kwenye mada husika.
Katika harakat za kusaka jinsi ya kukituliza kichwa kidgo ili kipate kutulia nikakutana na kadem kakitanga portable flan hv mimi napenda kuviita EASY TO CARRY, nikakipanga fresh na nikakipa mualiko kitimbe geto...
Ilikuwa siku ya Ijumaa, tarehe 01, desemba 2001, katika uwanja wa mashujaa mjini Moshi tulipokutanika wanafunzi wa kidato cha pili katika kilele cha siku ya ukimwi duniani. Shughuli zilikuwa nyingi pale lakini mojawapo ya mambo yaliyoweka alama mpaka kesho katika waliokuwepo ni kile kiapo cha...
Wasalaam JF,
Mtengeneza njia ni mmoja kwa matumizi ya walio wengi.
Mwanakulianza ni mwanamajumui wa kugawa upendo. Ulivyopewa wewe bila mbambamba hata bustani ya Eden nyoka aliwekwa kwa tafsiri yake.
Tuwasifie na wanaotupokea vijiti upele.
Wameupiga mwingi.
Wadiz
Ndugu zangu wakati huu nahitajika nitoe majibu kwa kijana wangu, anapitia wakati mgumu.
Ana mpenzi wake anampenda kwa dhati, wamebarikiwa kupata mtoto. Tatizo lilipo sasa, anashindwa kufanya mapenzi na huyu binti maana yupo kipindi cha kunyonyesha.
Binti anahitaji mapenzi ila kijana...
Tambua kuna NGONO NA MAPENZI
ukielewa hivo utagundua kuwa vijana wengi wanapewa ngono wakidhani ndo mapenzi maana kila siku misemo yao (Tafuta hela)
Malaya ndo muhitaji wa pesa kila kukicha kozi anashindana.. ila mke uliyemuoa hawezi kuwa na matumiz kama ya malaya so naeleweka nadhani. Mapenzi...
HAUTAKI KUMWAGA HARAKA? FANYA HIVI.
Anaandika, Robert Heriel
Asome kuanzia mwenye miaka 18.
Nakupa Tips chache tuu.
Mambo ya dakika moja chali utabaki kuyasoma mitandaoni na kuyasikia.
Hata twende Sawa!
1. Tawala presha na Mzunguko wa damu kwenye Uume.
Tayari upo na mwenzi wako kitandani...
Naitwa zaza, nina Miaka 23, nina makazi Mbeya, natafuta mke wa kuishi naye uchumba hadi ndoa. Umri asizidi miaka 25, hofu ya Mungu kwake ni kipaumbele kwangu, awe mpambanaji na mwenye kujiheshimu. Awe mkristo vinginevyo awe tayari kubadili dini. Seriously upweke nimechoka.
Karibu inbox...
Siku moja kuna jamaa, si rafiki yangu lakini tulikuwa tu afahamiana nae, amekuja na story kuwa alikuwa amevutiwa na msichana niliyekuwa natoka nae. Sikufahamu dhamira yake ila nilimjibu tu, "ongeza jitihada, unaweza kumpata"! Upande mmoja nawaza labda nilikosea, ningemwambia aache fikra zake kwa...
Hapa povu ruksa Ila Kila mtu anauhuru wa kutoa maoni bila kulazimishwa. Kutokana na experience yangu nazani hayo Ni maoni yangu mwenye mtazamo tofauti njoo weka hoja hazarani
Wakurungwa niaje niaje, leo ni siku ya kwanza baada ya ile siku muiitayo ya wapendao, mengi yametokea mazuri kwa mabaya. Ila mazuri yaliyotokea hayazidi mabaya yaliyo tokea, mabaya ni makubwa sana ambayo hayafai katika ulimwengu huu na hata ulimwengu usio kuwepo.
Jana nimeona watu wakitoka na...
Ili mwanamke afunguke kwako lazima ajisikie amani na usalama kwako. Wanaume wengi huwa wanawapotezea wanawake zao kwenye kuongea, ndio mana wanawake wao pia huwapotezea kitandani. Sababu mwanamke anaona haujali hisia zake.
Njia hii ya kumfanya mwanamke aongee unaweza kuitumia kwa mama yako...
Hii siku inaweka presha kwa watu wengi muda mfupi. Leo ukimtoa mtoto wa kike aliyempweke utakuwa umejishindia biko.
Subiri turushe kete ofisini maana wife kasafiri.
😝😝😝😝😝🎉🎉🎉🎉 ukitaka uishi Kwa Amani mwanaume ujue haya :
1.ujue kumuandaa mwanamke na apewe haki yake aridhike
2.Apewe kadi ya manunuzi , apendeze anunue atakachoo, akupikie ule akuandae kwenda kazini .
3.ukirudi akupokee Kwa tabasamu zuri nawewe mwanaume urudishe tabasamu kuonyesha unamjali...
Hiki kisa nimekichukua FB asee
Mimi ni mama wa watoto 2 mimi na mume wangu tulikua vizuri shida ni huyu mwanaume ambaye niko naye. Nimfanyakazi mwenzangu na ni mume wa mtu.
Mwanzo mahusiano yalikua ya kawaida tu tunafurahiana lakini baadaye nikajikuta naanza kumpenda nikabeba mimba yake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.