TUMSIKILIZE POLEPOLE, LAKINI TUSISAHAU.
Enzi zile za Magufuli, Watu kama Jakaya walionekana ni Watu wazuri sana.
Kwa sababu Jakaya alikuwa nie ya Mfumo ambao 'ulichukiwa na wengi na kupendwa na wengi (walionyimwa fikra).
👉 "Bora enzi za Jakaya", Ni Kauli ambazo ungezisikia huku na kule.
Naam...