mambo

The Museo d'Arte Moderna di Bologna or MAMbo is a purpose-designed museum of modern and experimental art in Bologna, Italy. The Museo Morandi, which displays a large collection of works by Giorgio Morandi, is temporarily housed in a part of it.

View More On Wikipedia.org
  1. DELETED ACCOUNT

    Mambo 10 niliyoona kuhusiana na matamasha ya Simba Day na Yanga Day

    Hii ni tathmini yangu ya mambo 10 tuliyoyashuhudia katika matamasha ya Simba Day na Yanga Day. 1. Ni wazi mauzo ya jezi mpya za Yanga siyo mazuri. Jezi za Simba zimeuzika saana. Kuna tukio la Yanga la ugawaji jezi mpya bure kwa waliojitolea kutoa damu halafu anayesimamia ugawaji wa hizo jezi...
  2. M

    Ukitetea mambo haya Marekani unajiingiza kwenye 18 za wafuasi wa chama cha Democrats, tegemea kuuliwa, kuumizwa au kuhangaika kama Charlie Kirk

    Haya ni mambo ambayo ukitetea inabidi uanze kuwa chonjo, mfano kwa siku ya leo ni Charlie Kirk kapigwa risasi, Trump alikoswa koswa. wanapoona hoja zako zina uzito na hawawezi kudebate option inayobaki huwa ni kuua, kuumiza, jela au kukuhangaisha sana, -Kutetea mipaka ifungwe kusiwe na uingiaji...
  3. Lord Denning

    DPP Silvester Mwakitalu, muangalie Masaju anavyojaribu kunyoosha mambo. Linda heshima yako na vizazi vyako

    Nakushauri kwa mara ya mwisho Silvester Mwakitalu. Angalau wewe mabadiliko madogo ya mwisho ya Katiba hii mbovu tuliyonayo yalikupa immunity kama Majaji. Kwenye shauri la Lissu una option mbili. Kusimama upande wa Haki na kubarikiwa wewe na vizazi vyako vinavyokuja AU Kusimama upande wa...
  4. ELI COHEN

    Yani haya mambo ya ngono kuleta mikosi utayasikia tu kwa sisi mafukara

    Tabu inapokuwa kali katika jamii , watu huwa huwaza mambo ya kufikirika kuwa ndio sababu ya wao kupitia ukata na mateso. Zamani mvua zisiponyesha walijua wameudhi miungu au mababu sasa leo ambapo wamegundua kuwa mvua ni geographical issue sasa wataleta stori za ngono ndio sababu ya vijana kuwa...
  5. T

    JF imesaidia sana kupata ushauri na mawazo

    Kwakweli wakuu niseme ukweli tu Jukwaa la Jamiiforum umenisaidia sana ni zaidi ya GT CHAT nimepata mawazo huku misaada huku kupitia nyie ndugu zangu lakini kuingilies kwake inatupa wakati mngumu sana hasa ata ukiwa unaomb shida na changamoto inakuwa tatizo. Nyie ni ndugu na marafiki pamoja na...
  6. Pdidy

    Mambo 7 wanaume hawayapendi

    MAMBO SABA (7) AMBAYO WANAUME WENGI HAWAYAPENDI: Katika Mambo haya inategemea Aina ya maisha mnayoishi na mumeo lakini wanaume wengi wapo hivi. 1__.MWANAMUME HAPENDI KUFOKEWA: Hata Kama amekosea; jaribu kumuonyesha kosa lake pasipo kumfokea au kumvunjia heshima. 2__ MWANAMUME HAPENDI...
  7. Samia atosha tukutane2030

    Mambo muhimu 2 ya kuzingatia katika ulimwengu huu wa watu kupenda fedha kuliko kumpenda Mungu

    Kwanini nimeandika Uzi huu? Kuna Uzi mmoja nimeusoma humu na kuna jambo moja wiki iliyopita lilitokea. Jamaa mmoja tulionana kujadili issue fulani ya kibiashara (dili). Jamaa anaona kama namtupa kwenye game akataka kujua kikwazo nini. Nilimweleza jambo la kawaida tu ila jamaa akawa serious...
  8. Allen Kilewella

    CCM mnatuambia mambo tunayoyajua

    Kama mtu una shida na shida hiyo ikatafutiwa ufumbuzi, kuna haja gani kwa mtu mwingine kuja kukuambia kuwa shida yako imepatiwa ufumbuzi? Kama Kijiji hakina maji maji yakipatikana wanakijiji watajua hakuna sababu za kuambiwa kuwa shida ya maji kijijini imekwisha. Watanzania wanazijua shida...
  9. Asemavyo

    Jakaya mimi ni timu yako ila kwa Sasa mambo yetu so mazuri

    Niko Nawe kitambo ila kwa Sasa mambo siyo Kaka Nitaandika soon
  10. U

    Serikali ya DR Congo imetangaza rasmi kusitisha elimu bila malipo katika maeneo yote yanayodhibitiwa na waasi AFC/M23

    Serikali ya DRC imetangaza kusitisha elimu bila malipo katika maeneo yanayodhibitiwa na AFC/M23. Waziri wa Mambo ya Ndani, Jacquemain Shabani, alithibitisha hilo na kusema: "Kwa bahati mbaya, watoto wetu katika maeneo yanayokaliwa hawafaidiki na elimu ya bila malipo." Hatua hii inaathiri moja...
  11. P

    VR inazidi Kuangaza juu ya Polepole inasemekana ni mwizi 2015 na pia mtekaji mkubwa

    HUYU JAMAA NIkUMPUUZAA MAANA NI MUHUNI ALIEKIDHIR Polepole na uongo na siasa za ujanja janja Mwaka 2014 Magufuli alituletea MV Bagamoyo ambayo Kwa kifupi pesa zote Milion 710 hazionesha mzabuni ni nani na imenunuliwaje, ikajitokeza kwenye TV Channel 10 ukiutetea wizi huo na kusema mkataba...
  12. Pdidy

    Mambo muhimu kwa mwanamke unapoolewa

    1 . Mpe nafasi ya kucheat .as long atatumia protection n arudi kwa nyumba. Kwa maana ukishindana n mwanaume utachoka 2.Mheshimu. 3.mpe yote kitandani 4.usimufokee 5.usiwe mropokaji 6.mpikie chakula kitamu 7. Uwe msafi 8. Usiwahi shika simu yake. 9.heshimu wazazi wake. 10. Be a...
  13. Bei Rahisi Electronics

    Nikiona Account inazungumzia mambo ya siasa na dini nai-block

    Nikiona Account inazungumzia mambo ya siasa na dini naiblock. Muda wote siasa, Wataalamu kama Wa afya, biashara ujenzi, teknolojia wanapotea kila. Unadhani akingia tundu Lissu atakuletea ugali mezani fanya Kaz, ulevi tu
  14. political monger senior

    Tumsikilize Polepole, lakini tusisahau mambo haya

    TUMSIKILIZE POLEPOLE, LAKINI TUSISAHAU. Enzi zile za Magufuli, Watu kama Jakaya walionekana ni Watu wazuri sana. Kwa sababu Jakaya alikuwa nie ya Mfumo ambao 'ulichukiwa na wengi na kupendwa na wengi (walionyimwa fikra). 👉 "Bora enzi za Jakaya", Ni Kauli ambazo ungezisikia huku na kule. Naam...
  15. Sales man

    Mambo ambayo Serikali inabidi kuruhusu uchunguzi huru hapa Tanzania

    1. Ugonjwa wa ghafla uliompata "Edward Lowassa" kuelekea 2015 2. Kifo Cha Chacha Wangwe. 3. Kifo cha Sokoine 4. Kifo cha Membe 5. Kifo Cha Dr Mengi 6. Kifo cha Mch Christopher Mtikila 7. Kifo Cha Magufuli 8. Kupigwa risasi kwa Lissu 9. Kupotea kwa Bilali Mwisho , humanity, humanity ndo...
  16. Mike Moe

    Wataalamu wa mambo ya hisa(VIS - ETF)

    Habari za muda huu wanaJF naomba kwa wataalamu wa mambo ya hisa mtusadie ufafanuzi tuelewe utendaje wa vertex international security fund ipoje tutapataje faida kama tutawekeza, nimeona unaweza kuwekeza kwa kuanzia kununua vipande 100 kila kipande ni 200 na ukiwa na hivyo vipande kutoka kwa hao...
  17. A

    KERO TANROADS Engineering Consulting Unit (TECU) mambo shaghala baghala

    TECU ni moja lakini kila Meneja wa Mkoa anafanya anavyojua na Chief Eng. Mwandambo hajui hata kinachoendelea. Napenda kuuliza kwanini wafanyakazi wa TECU kwenye miradi mikoa mingine wanalipwa kila mwezi na mikoa mingine wanadai hadi miezi 9? Mikoa mingine hawakatwi kwenye responsibility/site...
  18. Joanah

    Mambo gani yana/yamekufanya usiwe na marafiki wengi?

    Hi people, Happy weekend!! Mambo gani yanakufanya usiwe na marafiki wengi? Mie sababu kubwa ni kupishana interests(experience yangu ya 2-3 years back) Rafiki zangu wanapenda bata while mie sio mpenzi wa bata Rafiki zangu ni aina ya watu wanategemea tukienda mahali mfano restaurant,bar...
  19. Yoda

    Polepole ameanza kuongea mambo ya maana ya maslahi ya nchi, sasa anaweza kutiliwa maanani

    Japo hajatubu kwa kushiriki kufinyanga demokrasia wakati wa jiwe lakini mengi anayoongea sasa yana maslahi ya taifa zaidi na sio maslahi ya chama kama ilivyokuwa mwanzo. Kwa sasa Polepole ameanza kuitanguliza nchi mbele badala ya chama, huenda huu ukawa pia ni muelekeo wa kukitelekeza kabisa...
Back
Top Bottom