makini

Jully Makini (also known as Jully Sipolo) (born c. 1953 (age 64 in 2017)) is a Solomon Islander poet, writer and women's rights activist. The author of poems such as Civilized Girl (1981) and Praying Parents (1986), in June 2017 she received the International Women of Courage Award from the US Secretary of State for her work in promoting women's rights in the Solomon Islands.

View More On Wikipedia.org
  1. Mshana Jr

    Tafakari kwa makini sana kuhusu hili tukio

    Hii si picha ngeni miongoni mwetu.. Tumeshaiona mara nyingi tuu.. Tukasikitika kidogo kisha maisha yakasonga FIKIRIA HILI KWA TAFAKURI Simba hakumwona kamwe hakumuona mtoto… alichoona yeye ni mawindo.. lakini mtoto aliona kila kitu...! Katika maisha yasiyo na huruma ya...
  2. Z

    Tuwe makini kuna wimbi la wakenya wameingia nchini kwa lengo la kufanya uchochezi na fujo kwa lengo la kuharibu amani ya nchi yetu

    Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wawe makini na raia wa kigeni wanao ingia nchini katika kuelekea uchaguzi mkuu, wengi wao ni Wakenya ambao ni wazoefu wa kuhamasisha vurugu wapo wengi sana. Na baadhi yao ni wataalamu wa IT wanafuatiliwe kwa makini hadi chooni. TCRA kuweni macho, wadukuzi...
  3. itakiamo

    Simba itashinda mchezo wa jumamosi kama watakuwa makini Dakika za mwisho wa mchezo

    Matokeo ya mchezo wa jumamosi yashatoka, Simba Kuna uwezekano mkubwa wa kushinda hii game ya jumamosi. Mambo yanaweza tu kubadilika endapo Simba hawatoongeza umakini hasa kuanzia dakika ya 70. All in all nawatakia Kila la heri Simba Sc.
  4. N

    PreGE2025 Tuwe Makini! Mwaka Huu CCM tutazomewa sana!

    Nilikuwa ninasafiri kwenda Shinyanga, kufika maeneo ya pale Puma Singida, kuna picha imetundikwa kando ya barabara ya Mbunge Elibariki Kingu wa Singida Magharibi akiwa kapiga na Mheshimiwa Rais. Basi abiria tuliokuwemo mle baadhi wakaanza kuzizomea hizo picha kwa disappointments. Maneno...
  5. F

    CHADEMA tuwe makini, huku kuhama Chama kila wilaya kunakoendelea nadhani kuna mkono wa CCM

    Kila dakika chache nasoma habari za watu kuhama CHADEMA, hili jambo linafikirisha sana. Sidhani kama ni suala la ombwe la uongozi ndani ya CHADEMA tu. Yawezekana kuna mamluki wa CCM wamefanikiwa kupenya kwenye safu za juu za uongozi wa CHADEMA na wanafanya kwa makusudi makosa ya ubaguzi kwa...
  6. Smartkahn

    Matajili wote mnaopenda kuvaa vito vya thamani, kuweni makini.

    Matajiri wote mnaojijua mnavaaga vito kama vile saa, pete mikufu ya almasi au dhahabu na vitu vingine vya thamani na ni mtu wa watu, mtu wa mitandao (public figure), basi fanyeni harakati zenu kimachale...kaeni chonjo. Ikiwezekana kwa kipindi hiki tengeneza Pete saa au mikufu bandia, na ile...
  7. musicarlito

    Polisi kuweni makini mnaishi na watu mnaowatesa

    Wasalaam Matukio mengi yenye utata na yasiyo na utata yanazidi kujenga ukuta wa chuki kati ya raia na jeshi la polisi Leo kwenye daladala watu wengi walikuwa katika mjadala wa kulaani jeshi hili kiasi mtu yeyote hakukumbuka kazi njema au lengo la jeshi hili Mmoja alisema"kwani wanabeba...
  8. MwananchiOG

    Tunapofurahia Ubingwa Muungano Cup, Yanga tuchukue tahadhari

    Rasmi Yanga ni Mabingwa 2025 na Mabingwa mara nyingi zaidi wa kombe hili la Muungano. Napenda kuwakumbusha Viongozi, Wanachama wapenzi na mashabiki wa club hii kubwa zaidi Afrika Mashariki tusibweteke, Kombe hili lina historia mbaya ya kuwa na gundu ambapo mara nyingi mshindi wake huishia...
  9. Tanzanian Dream

    Wewe Kama mfanyabiashara makini unahitaji both physical and spiritual protection.

    Recently nimepokea taarifa mbaya kutoka kwa jirani wa mfanyabiashara mmoja!ambaye amevamiwa usiku na watu wenye silaha,wakamcharanga mapanga,wakampora hela na kutokomea kusikojulikana!..huyo jamaa anamiliki maduka Kama sita ya huduma za kifedha,anapofunga maduka yake huwa anakusanya mpunga wote...
  10. kadiri kasimba

    KUWA MAKINI unaposhoboka na wanawake barabarani!

    Salamu wakuu! Twende kwenye mada husika, Hii imetokea kweli, Kuna bi dada mmoja alikuwa anajipitia zake barabarani, ghafla ikapaki gari pembeni mwa barabara, na ndani ya gari alikuwepo mchina(mwanaume) basi akamsemesha bidada Kwa kiswahili chake kibovu, bi dada bila hiyana akampa namba, baada...
  11. ELI COHEN

    Kama umekuta umejaliwa wingi wa mali then kuwa makini na ushauri dhidi ya uendeshaji wa familia yako haswa kutoka kwa ndugu.

    Mara nyingi unakuta roho zinauwaumia kwa ndani kutokana na makali ya mafanikio yako,. Watoto wao kutoweza kukufikia maendeleo, Shuguli zake hazilipi kama zako, etc Directly, hawawezi kuku-affect ili ushuke na ubaki kufanana na wao so wanapopata chance adhimu ya kukushauri jambo lililo personal...
  12. ELI COHEN

    Wanawake ni watu makini sana

    Ingawa ni wenye mtazamo hafifu ila ni wazuri katika planning. Ingawa ni watu sensitive sana ila ni wazuri katika katika kumudu majukumu mengi kwa pamoja na wakati mmoja. Ingawa ni watu wasio na logic ila ni wazuri katika budgeting. Kati ya wanawake wanaocheat 10 ni wawili ndio wanaogundulika...
  13. N

    Watanzania zaidi ya 5500 live mtandaoni mda huu kufuatilia chama makini Tanzania (CHADEMA)

    Habarini za mchana wana jamvi.... CDM inaonekana kukonga mioyo ya watanzania wengi ambao wamechoka na ufedhuri na dhuruma ya CCM. Hii ni dalili njema kwamba kumekaribia kupambazuka, tuendelee kumwomba sana Mungu wetu wa haki. Simba wa nyika Tundu Lissu na Heche kila waungurumapo CCM inapagawa...
  14. S

    CCM wawe makini vinginevyo wataingiza nchi kwenye udini au machafuko

    tumeona dini mbili kubwa Tanzania wanaonesha kutofautiana na waraka uliotolewabna Maaskofu kadhaa. wazee wa kobazi na wagalilaya wanaweza kuzichapa. na wagalilaya mapema watashinda
  15. kipara kipya

    Tuwe makini Makanisa yalichangia mauaji ya kimbari Rwanda

    Kauli hizo ..uchochezi huo mnaowasifia walichangia mauji ya kimbari Rwanda hivyo kama nchi tuwe makini na uchochezi toka viongozi wa dini!....
  16. Bwashee Machui

    SHEBWA MASONRY CONTRACTION suluhisho pekee kwa Ujenzi makini

    🪖🦺🔨⛏️🪖🦺 SHEBWA MASONRY CONTRACTION Simu: 0673817130 (WhatsApp), Social Media: SHEBWA MASONRY CONTRACTION, Tupo: Moshi na Arusha Tunatoa Huduma Bora za Ujenzi na Ukarabati wa Nyumba! Je unatafuta huduma za ujenzi au ukarabati wa nyumba yako? Kama jibu ni ndio Timu yetu ya mafundi ujenzi...
  17. Malkia wangu

    Wazazi kuweni makini na ndugu wa karibu wanawaharibu sana watoto

    ( Nilikua na miaka kati ya 4-6) Ila kabla sijaanza SHULE ya msingi. Tumelelewa na singo Maza kwahiyo alikua bize sana kupambania ugali wanae tusilale njaa. Alikua mjasiriamali kwahiyo muda mwingi yupo minadani Leo WILAYA hii kesho nyingine . Kuna wakati dada wa kazi alikua haeleweki...
  18. Stability

    Wakuu nimepigwa na UTI moja kali sana. Kuweni makini.

    Katoto tu kwa 2005, aiseeh
  19. Knock life

    Wanawake wanaweza kukupa kesi ya ubakaji so kuweni makini vijana.

    Popote unapokaa usimuhurumie mwanamke au kujenga nae mazoea . Hii ni kwa vijana ambao hamjaoa so stay alerts Wakizikosa hela zako the next step utapewa kesi ya ubakaji n.k Hawa viumbe wamechafukwa.
Back
Top Bottom