maisha

  1. J

    Maisha lazima yaendelee: Namna bora ya kujikinga na Corona katika ngazi ya familia

    NAMNA FAMILIA ZINAVYOWEZA KUISHI HUKU ZIKIENDELA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA CORONAVIRUS Kila mwanafamilia ana jukumu la kujilinda na kuwalinda watu wote kutokana na maambukizi ya CoronaVirus. Suala lolote la Kitaifa linaanzia kwenye ngazi ya familia kwa kila mmoja kuchukua tahadhari. Kwa...
  2. Daddy change the World: Baadhi ya Watanzania waomba wazazi wao wauawe kikatili ili wanufaike

    Mapema leo kaka yake marehemu Goerge Flyode ameliomba shirika la umoja wa mataifa kuangalia jinsi gani watu/waamerika weusi wanakuwa salama ili kulinda usalama wa wao duniani. Gianna Flyod pichani juu, akiwa amevaa t-shirt ikionyesha picha ya marehemu baba yake kilichotokana na kuuliwa na...
  3. K

    Swali: Kwanini "Wanafalsafa wa Kale wa Magharibi" walitofautiana juu ya cha maisha na Ulimwengu na vyote vilivyomo kwa ujumla ?

    Leo siko hapa kujadili maana ya tamko "Falsafa", bali nipo hapa kujadili matokeo ya Wanafalsafa yaani mafundisho yao. Rejea anuani ya uzi hapo juu. Ifuatayo ni mifano ya mafundisho ya baadhi ya Wanafalsafa kunako chanzo cha viumbe, maisha na mfano wake. 1. THALESI Huyu hutambulika kama...
  4. Maisha ya mtu ya baadaye huendeshwa na akiba

    Ukiufahamu vizuri wakati ujao utaelewa namna ya kuutumia wakati wako wa sasa kwa sababu wakati hupita kupisha wakati mwingine huku ukiacha alama. Maisha yako ya baadae kwa zaidi ya asilimia 80% yatandeshwa na kile ulichohifadhi baada ya kutumia na siyo kile ulichopata katika wakati ukiwa na...
  5. Historia fupi ya maisha ya Spika Ndugai aliyoitoa bungeni. Asema alikuwa na maisha ya shida na dhiki

    Spika Ndugai amesema haya, Katika maisha yangu sikuwahi kuwaza wala kuota kama nitakuwa Mwanasiasa, Mbunge na hata Spika ni Mungu tu ambaye katika uumbaji wake hutujua na kutupangia safari kadri anavyoona ni vyema, asanteni sana wana Kongwa, chama changu na Rais Nakumbuka miaka niliyosoma...
  6. Kwani maisha bila Ubunge huwezi kuishi? Mbunge kwa miaka 25? Usiwe kupe

    MBUNGE MIAKA 25? USIWE KUPE 1995 Teddy Kilenza Magayane-CCM 61%Daniel Nsanzugwanko NCCR 33% 2000 Michael Mussati-CCMCCM haikurudisha jina la Nsanzugwanko 2005 Daniel Nsanzugwanko –CCM 56.1%Agripina Buyogela-NCCR 38.4% 2010 Agripina Buyogela-NCCR (54.58%Daniel Nsanzugwanko –CCM 38%...
  7. Nahitaji ushauri wenu

    ...
  8. Kusudi la maisha (life purpose)

    Septemba 28, mwaka 2008 - Elon Musk amekaa ndani ya Control Center katika ofisi za Space X pale Hawthorne, California nchini Marekani. Hayupo comfortable kabisa - macho yake ameyaelekeza katika screen iliyopo mbele yake. Wakati anasubiri launch ya Falcon 1, lazima atakuwa anawaza hatari...
  9. S

    TANAPA, TAWA na NCAA karibuni sana katika maisha ya mgao

    Leo katika majadiliano ya bajeti, nilimsikia Spika anahoji juu ya TRA kwenda kukusanya mapato katika mamlaka za hifadhi za wanyama pori pamoja na hifadhi kitalii, nikashangaa kumbe mpaka wa leo kuna Taasisi zinajipangia matumizi ya hela waliokusanya! Dah! Si mchezo kama hamkupiga vizuri basi...
  10. Urais wa Maisha: Baraza la Maaskofu na Kadinali Pengo wapo?

    Inaonekana nchi hii Rais akiwa muislam. Basi kutwa tunapatiwa waraka wa Uongozi Bora unaoheshimu katiba kutoka Kwa Viongozi WA kanisa katoliki Na Baraza la maaskofu. Wenye kumbukumbu wote mnakumbuka jinsi hata tetesi zikitokea wakati wa Kikwete ..haraka Sana taasisi hizo zinatoa matamshi makali...
  11. Ukiwa Hai hata kama ni Masikini au huna Elimu acha kujidharau, kukata tamaa na usiogope kuchekwa/Kudhihakiwa. Ipo siku maisha yako yatabadilika tu

    Teen who spent 10 hours cleaning up after protest rewarded with car and college scholarship Kwa Kifupi tu ni kwamba Jamaa huyo ( Mwafrika ) Mwenzetu aishie huko Ughaibuni huku akiwa na Maisha yake ya Kubangaiza hapa na pale kama ya Mzukulu Mimi kwa Moyo wake tu na kuonyesha Nidhamu yake ya...
  12. Maisha ni mtihani mkubwa

    Mitihani ya maisha omba isikupate asee kuna story nimetoka kuangalia, mama amepoteza lori lake mto Mwami. Just imagine gari ilikuwa mpya ndio imepata trip ya kwanza inaenda kutumbukia mtoni, mama wa watu analia na mengi, kapoteza gari, kapoteza dereva na bado anamajeruhi hospitali. Mshukuru...
  13. Unafiki kwenye siasa zetu na hatma ya maisha yetu; tukiendelea hivi ni suala la muda tu, kila mtu atalia kwa wakati wake

    Dunia kwa asili yake ina machanguo mawili, wema au ubaya, haki au dhuluma, ukweli au uongo, unafiki au kutokuwa mnafiki, na kila mtu au jamii ina hiari ya kuchagua upande. Aidha, kila mbegu ioteshwayo na mtu mmoja mmoja, kundi au jamii huzalisha matunda yafananayo na mbegu husika. Kinachotokea...
  14. M

    Tuko tayari kupoteza maisha yetu kwa ajili ya wazungu na Wayahudi

    Sisi miafrika ndio mibaguzi kupita wote. Cha kuhuzunisha tunabaguana wenyewe kwa wenyewe na kuchukiana. Mungu amlinde na kumjalia afya na maisha marefu president Trump. Kitendo cha yeye siku ile kushika silaha ya hatarii kuliko zote THE HOLY BIBLE yani whitehouse tena kwakr ni kitonga. Mungu...
  15. Haya ndio maisha halisi ya Dar es Salaam

    Habari wakuu Dar ni moja kati ya mji mkubwa sana Tanzania umeojaa watu wengi sana na shughuli zao za kibiashara, ni mji ambao gharama za kuishi ni kubwa mno, kodi, maji, umeme, usafiri n.k Hapa nazungumza na watu wa kipato cha kawaida sana, kwa mwezi 400k ndio mishahara yao, machinga, mama...
  16. J

    Polepole: Unafiki ni sehemu ya maisha kwenye siasa hauepukiki awataka wanachama kutii kanuni hata kama ni kinafiki

    Mwenezi Polepole ambaye pia ni mlezi wa chama mkoa wa Arusha amewataka wabunge kuendelea kukutana na wananchi na kukamilisha ahadi walizotoa mwaka 2015. Hata hivyo Polepole amezuia watu wengine kufanya mkutano na wananchi kana kwamba wao ni wabunge. Polepole amewaruhusu wabunge kuwanunulia...
  17. Maisha yanabadilika haraka sana, eti kuvaa barakoa kwa sasa ni ushamba

    Binafsi nashauri wizara iache kuendelea na matangazo ya kunawa mikono na kuvaa barakoa. Kwani kufanya hivyo ni kupingana na maoni ya raisi sasa hivi wanaovaa barakoa ni wachache sana kiasi kwamba mnaonekana kama tofauti na wengine. Ukitembea mitaani utashuhudia na hata bila kuambiwa unaona...
  18. Ikifa CHADEMA sisi wengine tutakuwa na Maisha magumu sana

    Wengine hawafikirii hili suala. Leo tunaamka tu asubuhi Chadema haipo. Mnadhani tutaanza kuishi vipi? Buku 7 tutazipata kweli kwa kumshambulia mrema?ambaye tayari ana mashambulizi toka ndani yake mwenyewe? Tuacheni ujinga ndugu zanguni.kweli tunaweza pata hata buku 3 kwa kumshambulia...
  19. Ulishawahi kuyapenda maisha ya kijani?

    Mimi ninavutiwa sana na maisha ya kuwa karibu kabisa na asili" kijani"natamani ninapoishi kila mahali pawe na alama ya kijani.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…