mahusiano

  1. JamiiForums Tanzania Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

    Hapa nilipo, warembo sita wameniletea bili zao; Wengine wanasema gesi imeisha, wengine kodi wanadaiwa, wengine wanataka hela ya kwenda kliniki, wengine wanasema chakula kimeisha. Mimi babu yenu, nimechoka kabisa; hawa warembo wananipa presha, nadhani wanataka nife mapema ii wagawane urithi.
  2. R

    JamiiForums Tanzania Dorothy Temu: ACT hatuna ushirikiano wowote na dola. Hatuna mahusiano na CCM

    Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Dorothy semu, ameweka wazi kuwa chama chake hakina ushirikiano, urafiki wala mahusiano ya na Dola wala Chama Cha Mapinduzi (CCM), bali ACT inalenga kutimiza wajibu wake wa kisiasa kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi. Akizungumza katika mahojiano...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Sio kila mahusiano yataishia Ndoa

    Sio kila mahusino lazima yafikie ndoa Napokea simu kutoka kwa rafiki yangu ,ananiuliza umemfanya nini shem? Nikauliza kwani kunanini akaniuliza uko wapi? Nikamwambia niko maeneo ya chuo , akanimbia nakuja tuongee. Tukiwa shule ya Alevel, wakati ndio ujana umeanza kubalee na unatamani sasa...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Naweza kufa kisa huu mdomo wa huyu mwanaume naomba msaada

    Jamani nisaidieni na mimi nimsaidie huyu mwanaume Tuna mahusiano inaelekea mwaka sasa lakini nashindwa namna ya kufanya ili kumsaidia huyu kijana Jamani kijana ananuka mno mno mno mdomo kiasi kwamba najisikiaga mpk kutapika mpk nina mkwepa kuonana nae Tangu mara ya kwanza nakutana nae...
  5. JamiiForums Tanzania Ego play katika mahusiano

    Katika maisha kila mtu Huwa na motives na matarajio ili kufanya maisha yake yawe apealing(mazuri) Ni sawa kabisa maana maisha bila kusudi au lengo hubaki tupu. Ila wengi wetu huwa na matarajio bila ya kuwa na boundaries.. Hatuwi na boundaries za kutowahusisha wengine ndani ya hayo matarajio...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Ben Pol: Ukikutana na mazingira haya kwa mtu unayetaka kuanzisha nae mahusiano, ni bora uwe single

    Msanii wa bongo fleva Ben Pol ameanika mambo matatu kwenye account yake ya Instagram ambayo ukiyaona hauna budi uachane na hayo mahusiano 1. Kila unapompanga unaetaka kuwa nae kwenye mahusiano ukutane nae anakuambia Yuko busy bila kukupa alternative mfano umempanga ukutane jumamosi alafu...
  7. JamiiForums Tanzania Kukosa Upendo: Chanzo cha Tabia na Mahusiano Magumu

    Wengi wetu humu tumo kwa ajili ya kutafta attention. (subconsciously kila mtu hupenda kuonekana) Binafsi napenda kuwa the center of attention. Sikupata attention, growing up. Sio kwamba wazazi hawakunipa maisha bora, nooo.. Ni kuwa nilikosa upendo wao wa dhati, ilionekana ya kuwa wao...
  8. JamiiForums Tanzania Hali si shwari tena, ndoa na mahusiano zinazidi kuteketeza vijana .

    Inasikitisha. Vijana wanaumia,wanaumizwa mbaya zaidi hawasikilizwi, vijana wa kiume ndiyo kabisa wahanga wa hii kitu wamebaki na Vitu vingi mioyoni mwao. Jinsia na haiba yao inazidi kuwateketeza mithili ya moto wa nyika kwenye nyasi nyingi.hawasemi popote, kwakuwa tu wameshakaririshwa uanaume...
  9. JamiiForums Tanzania Jifunze Kutoka Safari ya Jux: Ndoa na Mahusiano

    Kwanza kabisa Jux is one among the artists ana inborn talent na anajua muziki, rnb zake mwanzoni kabisa zikiwakosha wengi.... Kama mnafatilia anatumia real life scenes kutunga nyimbo na Zina enda kweli.. Kabla ya kujumuika na mwambino(Diamond platnumz) alikuwa anafanya kazi Nzuri sana vibao...
  10. JamiiForums Tanzania Sex unaipa asilimia ngapi kwenye mahusiano yako?

    najua ni katikati ya siku ya kazi ila naomba unijibu hili swali binafsi naipa 60% hiyo ingine ndo vitu vingine kutoka kwa partner sababu:vitu vingine unaweza pata popote ila sex kama mjuavyo ni kwa mtu wako so kama siipati kwa asilimia 60 naona si haki na sitafurahishwa na hayo mapendo...
  11. K

    JamiiForums Tanzania KWELI Je, ni kweli kidole cha pete kina mshipa maalumu unaounganisha na moyo?

    Kutokana na mazoea yaliyopo duniani ni kwamba watu walio kwenye mahusiano kama Ndoa na Uchumba, Pete huvaa mkono wa kushoto. Je, kwanini pete zisivaliwe mkono wa kulia badala ya mkono wa kushoto?
  12. JamiiForums Tanzania Mara ya kwanza kufanya mapenzi, ilikuwaje?

    Mimi nilipoteza ubikira wangu kwa kahaba... Inasikitisha sana lakini ndo ukweli wenyewe. Nakumbuka kipindi hicho tulipokuwa shule ya sekondari. Ikifika mida ya saa mbili usiku rafiki yangu mkubwa Ngaluli alikuwa akinichukua na kunipeleka sehemu ambayo makahaba huwa wanajiuza. Alikuwa ananipa...
  13. JamiiForums Tanzania Family Friend / Marafiki wa karibu iwanasaidia kuokoa ndoa / Mahusiano

    Ni muhimu sana kwa watu waliopo ktk ndoa kuwa na Family friend au waliopo kwenye mahusiano serious kuwa na marafiki wa karibu . Mwanamke uliyepo ktk mahusiano jitahidi umtambulishe rafiki wako wa karibu kwa mwanaume wako , na mwanaume uliyepo ktk mahusiano jitahidi umtambulishe rafiki yako wa...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Kwanini kuna ongezeko kubwa la wadada wanaopenda hela kwenye mahusiano?

    Mdau hivi kwanini kuna ongezeko kubwa la wadada wanaopenda hela kwenye mahusiano ?
  15. JamiiForums Tanzania Mahusiano Mapya ya Mara kwa Mara ni Umalaya au Safari ya Kumtafuta Mtu Sahihi?"

    Kuna watu wanaohesabu hii kama umalaya Kuna wengine wanaamini ni sehemu ya kujaribu mpaka umpate yule mtu ambaye mnaendana Mimi binafsi naona kuwa na mahusiano mapya mara kwa mara sio tatizo sana Nadhani hii hutokea pale unapokutana na mtu, mkajenga ukaribu, halafu ukagundua kwamba kumbe...
  16. JamiiForums Tanzania Ukiingia kwenye mtego wa kukopesha ili tu kujenga mahusiano mazuri na wateja, ujue unachimbia shimo ambalo linaweza kuizika biashara yako.

    Wafanyabiashara wengi hawafi kwa kukosa wateja, wanafia kwenye madeni ya wateja wao πŸ‘‡πŸΎ Kuna dhana imeenea sana kwenye biashara kwamba ukitaka kupata wateja wa kudumu lazima uwe mwepesi wa kuwakopesha. Wapo hata wataalamu wa biashara wanaoshauri kuwa kwa mazingira fulani kutoa bidhaa kwa mkopo...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Wanao nunua wanawake wapo sahihi zaidi kuliko walio kwenye mahusiano

    Sababu ni hizi hapa πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ 1. Hawa mademu tunao waita wapenzi wetu huku mitaani ndio hao hao wanao enda kujiuza viwanja au wengine hujiuza kupitia mitandao mbalimbali. So ile kusema kwamba siwezi kununua Malaya haina mantiki yoyote kwa sababu hata huyo demu wako ni Malaya anae Jiuza kwa wengine...
  18. JamiiForums Tanzania Nataka kuwa na mahusiano na mwanamke wa miaka kuanzia 27 Hadi 30+

    Mimi ni kijana Niko mbeya natamani tu kuwa na mwanamke wa miaka iyoo maana Hawa wa 2000 mbona kama pasua kichwa sana, na mimi nna miaka 28, kama upo interested DM, uwe vyovyote Ile usiwe mnene, kama love wa jua Kali,,, ukiwa Black πŸ–€ utakua vizuri maana weupe ndo sawa na wale wale wa 2000, πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
  19. JamiiForums Tanzania Hamu ya mahusiano imekatishwa na utandawazi!

    Zamani miaka ya 2005 kurudi nyuma mapenzi yakikuwa na mvuto sana. Ie kulikuwa na commitment ya mahusiano baina ya wapendanao na hata mmoja akisafiri kwenda mkoa mwingine still wapenzi walivumiliana! Saivi mapenzi yamekuwa rahisi sana, mnakutana leo then naomba namba yako kesho mmeshakulana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚...
  20. JamiiForums Tanzania Unafikiri cheating ndiyo mwisho wa mahusiano. Ukweli ni kwamba kuna vitu vinaua mapenzi taratibu kuliko cheating

    Cheating ni kosa kubwa, lakini si sababu pekee inayovunja mahusiano. Mara nyingi mahusiano hufa polepole kutokana na tabia zinazojirudia kila siku bila watu kuzitambua. Upendo hauondoki kwa siku mojaβ€”hupungua hatua kwa hatua. Mawasiliano yanapokosekana, heshima inapopungua, kuthaminiana...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…