mahindi

  1. D

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua juu ya biashara kukoboa na kusaga nafaka (mahindi)

    Habari wadau,. Kama mada inavyojieleza, nahitaji kupata uelewa wa biashara ya kukoboa na Kusaga mahindi. Ninapenda kuwa na mashine kwaajili hiyo Ili niweze kudunduliza kipato (mashine ya kutumia umeme). Ni usagaji wa rejareja tu mtaani. Nahitaji kufahamu bei za mashine mpya na used. Gharama...
  2. PLOII

    JamiiForums Tanzania Kama hii ndio simba tulioitaka bora wazee

    Habari zenu wana sport wa Jukwaa hili, Kama wote tunavyojua Jana Timu yenye Jina na sifa kubwa ndani ya bara la Afrika ilikipiga pale Libya. Kiukweli Jana Timu ilicheza vibaya poor control skills, dribbling, marking & concentration. Timu ilikuwa down sana hamna pace, no clear target &...
  3. ZVI ZAMIR

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Mashine ya kusaga na kukoboa mahindi inauzwa

    Mashine imeuzwa
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nauza mahindi lishe kila gunia tsh 90,000/=

    Habari,ninauza mahindi lishe Kwa gunia Moja bei ni Tshs.90000/= napatikana mkoa wa songwe halmashauli ya tunduma. karibuni sana wateja.
  5. nk 47

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Mashine za kupukuchua mahindi zinauzwa

    Acha kulanguliwa Mashine za kupukuchua mahindi kama unavyoiona kwenye video inapatikana kwa bei nafuu zaidi Piga no 0716 508073 Tupo Arusha Unga Ltd mtaa wa viwanda Bei niTsh850,000/= Inapukuchua na kupepeta gunia 25-30 kwa saa Kwa siku inapukuchua na kupepeta gunia 300 Ina feni la kupepeta...
  6. STUKA M1

    JamiiForums Tanzania NFRA wanachelewesha malipo ya mauzo ya mahindi kwa wakulima

    Ndugu Watanzania, ikimbukwe kuwa mwezi July serikali ilitangaza kununua Mahindi kwa wakulima kupitia wakala wa hifadhi ya chakula "NFRA" ila kitu kinachoshangaza na kustaajabisha ni kuwa malipo yanachelewa sana, wakulima wanakaa zaidi ya wiki tatu hali ya kuwa fedha zilishatengwa tayari...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali isikie kilio cha wakulima wa zao la Mahindi wa Nyanda za Juu Kusini

    Naomba Serikali isikie kilio chetu sisi wakulima wa zao la Mahindi Nchini hasa nyanda za juu kusini mikoa ya Rukwa, Njombe, Ruvuma. Bei ya mahindi bado ni ya chini mtaani (350-420)ukiacha bei ambayo Serikali wananunua (700) kwa kilo. Hoja ni kwamba serikali inanunua Tsh. 700 kilo lakini...
  8. Biashara2000

    JamiiForums Tanzania Mota ya kusaga mahindi inauzwa

    Habari Mota ya kuzungusha machine ya kusaga mahindi inauzwa. Mota hii ipo kibaha mkpa wa pwani. Ina Hz 50. Bei sh 1..8m. Anayehitaji karibu. 0758308193
  9. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Tanzania imeingia makubaliano ya kuiuzia Zambia Mahindi Tani 650,000

    Andiko la Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo: Kutokana na ukame unaoikumba nchi ya Zambia, nchi hiyo imeingia makubaliano na Tanzania kununua tani 650,000 za mahindi kwa ajili ya kuwasaidia wananchi milioni saba wa taifa hilo. Mkataba huo utatekelezwa kwa kipindi cha miezi nane na utaiingizia...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Mbegu za mahindi ya bisi [Pop corn[

    Nahitaji mbegu za mahindi ya kupasua bisi (Pop corn) kwa.ajili ya msimu ujao. Nifahamishe bei kwa kilo.
  11. Ibra ruge chabenzi

    JamiiForums Tanzania Nachukua mkopo CRDB nianze biashara ya nafaka(mpunga na mahindi)

    Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15. Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi. Silimi nafuata Kwa wakulima naweka store. Nasubiri yapande niuze wakati mkopo unakatwa kwenye...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua bei ya Mahindi eneo ulipo

    Asalaam, Poleni na kazi. Naomba kujua huko ulipo na bei ya mahindi imefika bei gani kwa gunia la debe 7 au 6. Tupeane updates, tuone tunafikaje kuchukua mzigo. Ahsanteni.
  13. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Mahindi ya kuchoma yanafaa

    Wanajamvi naomba kuuliza mahindi ya kuchoma yanafaa Kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo maana nataseka sana aisee kupata fast food nikiwa mbali na nyumbani
  14. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mahindi (Dsm, Pwani, Morogoro)

    Kuna mtu anauza mahindi ambayo hajaweka dawa maeneo ya dsm, pwani, Morogoro? Nahitaji gunia 10 mpaka 15 Ni cheki kwa 0764452424
  15. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Benki ya CDRB yatoa msaada wa mbegu za mahindi kwa waathirika wa mafuriko Rufiji

    Rufiji. Tarehe 29 Mei 2024: Kutokana na mafuriko yaliyotokea katika msimu wa masika mwaka huu, Benki ya CRDB imekabidhi msaada wa mbegu za mahindi zenye thamani ya shilingi milioni 50 kwa wananchi wa Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani. Benki ya CRDB imekabidhi kilo 7,148.857 za mbegu za kisasa za...
  16. MEGATRONE

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza pata soko la mahindi?

    Habari wapambanaji wenzangu! Samahani nilikuwa naomba kuuliza wapi nitapata soko la kuuza mahindi! Natoa mahindi Handeni Tanga! Nilikuwa nina mpango wa kukusanya na kuuza mara moja au mbili kwa wiki hivyo naomba kujua soko ambalo liko reliable! Natanguliza Shukurani!
  17. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Tunauza mashine za kisasa za kupukuchulia mahindi

    Tunapenda kukutaarifu ya kuwa zile mashine za kupukuchulia mahindi tayari zimeshafika ofisini kwetu. (Maize sheller machine) ✓Inauwezo wa kupukuchua (GUNIA 25 KWA SAA) ✓Inapukuchua magunzi saize Tofauti Tofauti. ✓Hutumia umeme wa majumbani single phase (Ac) ✓Inahamishika kirahisi kutoka Sehemu...
  18. chiembe

    JamiiForums Tanzania Prof. Safari: Kwenye usafiri wa umma, wazungu husoma vitabu na magazeti, watanzania wanatafuna mahindi ya kuchoma na mayai ya kuchemsha

    Nimefuatilia interview ya Prof. Safari aliyofanya majuzi, pamoja na mengine, nimeondoka na nukuu hiyo kwamba watanzania hawana utamaduni wa kusoma, kwe ye usafiri wa umma wanashindana kula. Hii ni kweli kabisa, ni kama tuna mzimu wenye njaa ya kula, basi likisimama ni mbio madirishani au...
  19. totoadela

    JamiiForums Tanzania Vifo vya watoto mashuleni vinavyotokana na kufanya usafi kwenye ghala za kuhifadhia mahindi

    Habari ndugu zanguni, Naomba tushauriane na tutoe ya moyoni kuhusu shule zinazowaingiza watoto kufanya usafi kwenye maghala ya kuhifadhi mahindi hizi ishu naona isipoziwa sauti itakuwa sugu kwa sasa. Jana nimeona watoto Watatu wa Form 3 wamefariki Dunia baada ya mwalimu kuwachukua watoto sita...
  20. Replica

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi watatu wafariki kwa kukosa hewa wakati wanatoa mahindi kwenye kihenge cha shule, mwalimu aliwaacha na kwenda kunywa chai

    Wanafunzi sita wa shule ya mtakatifu John Paul II ya mkoani Shinyanga walienda kutoa mahindi kwenye kihenge cha shule lakini yalishindwa kutoka wakiwa na mwalimu wa zamu katika usimamizi wa chakula, mwalimu alielekeza wanafunzi watatu waingie ndani kutafuta namna ya kuyafungulia kisha akaenda...
Back
Top Bottom