Arsenal Gunner
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 10,891
- 17,681
Wanajamvi naomba kuuliza mahindi ya kuchoma yanafaa Kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo maana nataseka sana aisee kupata fast food nikiwa mbali na nyumbani
Hapana kutafuna tu ndio maana nimeuliza mgonjwa wa vidonda vya tumbo yanafaaKwahiyo unakula mahindi ya kuchoma kama lunch?