Sakata la mchezo wa Dabi ya Kariakoo ambalo Yanga imeapa kuwa haitapeleka timu uwanjani Juni 15, mwaka huu, limechukua sura mpya baada ya kuwasilishwa mahakamani na mmoja wa wanachama wa Yanga, ambako hata hivyo, chombo hicho cha kutafsiri sheria kimetoa uamuzi rasmi leo, Ijumaa, Juni 6, 2025...