Zanzibar wamebadirisha mfumo wa usajili wa magari kutoka Z123AB kwenda Z123ABC!

Zanzibar wamebadirisha mfumo wa usajili wa magari kutoka Z123AB kwenda Z123ABC!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
33,538
Reaction score
96,685
Nadhani baada ya kuona namba zinakimbia (zimeshafika PG hivi) ZRA wameona isiwe shida. Tufanye kama wenzetu bara kwa kutumia herufi tatu kwenye usajili wa magari badala ya mbili.
IMG_9878.jpeg

Zoezi ilo limeanza rasmi mwezi huu wa October na litakua endelevu kwa muda utakaotangazwa.
IMG_9877.jpeg

Kwahiyo huko unaweza import gari leo likapewa namba AAA wakati alieimport miaka 5 nyuma likawa namba DDD.

Pia watatenganisha namba za pikipiki, guta na bajaji (MC) kutengana na za magari.
 
Back
Top Bottom