Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 33,733
- 97,596
Makampuni ya magari (sio Japan, Ulaya, Asia wala America) wameanza kuleta utapeli flani na unazidi kushika kasi sana, wa features subscription.
Yaani unanunua gari lina features kadhaa (moja wapo mfano iwe remote start), lakini hauwezi kuitumia hadi uwe unailipia kila mwezi au mwaka (subscription) kama ilivyo kwenye Netflix, usipolipia iyo feature hauwezi itumia.
Baadhi ya features ambazo zimepamba moto kwenye subscription ni heated seats, acceleration boost, navigation systems, ADAS features (lane assist, adaptive cruise control), nk.
Hii kitu ilianza kimasihara na BMW (5 series) mwaka 2018/19 wakatoa heated seats subscription ambayo ilikua inataka ulipie kama $18 hivi kwa mwezi ili iendelee kufanya kazi. Tunaongelea elfu 50 kila mwezi, kama msimu wa baridi ni miezi sita inamaanisha Tsh 300k kwa mwaka.
Toyota Crown ya 2023 nayo ikaleta subscription feature ya Remote Start kupitia App, ambayo unalipia $8 kwa mwezi ili iendelee kufanya kazi.
Mercedes Benz EQS ya 2022 ikaleta Acceleration Boost (inakuongezea horsepower 60 hivi) ambayo unalipia $1,200 kwa mwaka. Million tatu plus.
Elon Musk nae kuanzia 2021 kwenye Model 3 (na Tesla zingine) ili gari iwe na Full Self Driving (FSD) ujiandae kwa $99 kwa mwezi. Usipolipa inabaki autopilot ya kawaida jla self driving hamna.
Hata Nissan Serena e-Power kuanzia 2022 ikaleta ProPILOT Assist Advanced kwa $20 kwa mwezi. Hii feature ambayo ilikua free kwenye Nissan Leaf na nyingine sasa unalipia. Usipolipa unabakiwa na basic cruise control tu, advanced lane keep na auto overtaking zinapotea.
Kidogo Mchina NIO ana feature moja ya subscription inayo make sense, BaaS (Battery as a Service) ambayo unalipia $150-200 kutegemea ukubwa wa battery. Yenyewe unavyonunua gari una option ya kuswap battery kwenye stations zao. Usipolipia, unabaki na same battery iyo iyo.
Yaani me naona kabisa hii ni style nyingine ya haya nakampuni kuendelea kumnyonya mtumiaji. Ata makampuni ya simu sidhani kama yanafanya hivi. Yaani hardware ipo lakini isifanye kazi lazima activation. Ni kama umenunua iPhone yenye kamera tatu, lakini moja haifanyi kazi mpaka ulipe subscription.
Kila mtu anaipokea kivyake. Wengi tutasema huu ni ujambazi mchana kweupe ila wengine wanasema inasaidia kushusha gharama za kununua gari ila kuongeza izo features unazohitaji utalipia.
Sisi wazee wa used 10+ years leo tutaona kama haituhusu, ila kufika 2030 unakuta haya magari yametufikia. Sasa ndio tutaufufua huu uzi.
Yaani unanunua gari lina features kadhaa (moja wapo mfano iwe remote start), lakini hauwezi kuitumia hadi uwe unailipia kila mwezi au mwaka (subscription) kama ilivyo kwenye Netflix, usipolipia iyo feature hauwezi itumia.
Baadhi ya features ambazo zimepamba moto kwenye subscription ni heated seats, acceleration boost, navigation systems, ADAS features (lane assist, adaptive cruise control), nk.
Hii kitu ilianza kimasihara na BMW (5 series) mwaka 2018/19 wakatoa heated seats subscription ambayo ilikua inataka ulipie kama $18 hivi kwa mwezi ili iendelee kufanya kazi. Tunaongelea elfu 50 kila mwezi, kama msimu wa baridi ni miezi sita inamaanisha Tsh 300k kwa mwaka.
Toyota Crown ya 2023 nayo ikaleta subscription feature ya Remote Start kupitia App, ambayo unalipia $8 kwa mwezi ili iendelee kufanya kazi.
Mercedes Benz EQS ya 2022 ikaleta Acceleration Boost (inakuongezea horsepower 60 hivi) ambayo unalipia $1,200 kwa mwaka. Million tatu plus.
Elon Musk nae kuanzia 2021 kwenye Model 3 (na Tesla zingine) ili gari iwe na Full Self Driving (FSD) ujiandae kwa $99 kwa mwezi. Usipolipa inabaki autopilot ya kawaida jla self driving hamna.
Hata Nissan Serena e-Power kuanzia 2022 ikaleta ProPILOT Assist Advanced kwa $20 kwa mwezi. Hii feature ambayo ilikua free kwenye Nissan Leaf na nyingine sasa unalipia. Usipolipa unabakiwa na basic cruise control tu, advanced lane keep na auto overtaking zinapotea.
Kidogo Mchina NIO ana feature moja ya subscription inayo make sense, BaaS (Battery as a Service) ambayo unalipia $150-200 kutegemea ukubwa wa battery. Yenyewe unavyonunua gari una option ya kuswap battery kwenye stations zao. Usipolipia, unabaki na same battery iyo iyo.
Yaani me naona kabisa hii ni style nyingine ya haya nakampuni kuendelea kumnyonya mtumiaji. Ata makampuni ya simu sidhani kama yanafanya hivi. Yaani hardware ipo lakini isifanye kazi lazima activation. Ni kama umenunua iPhone yenye kamera tatu, lakini moja haifanyi kazi mpaka ulipe subscription.
Kila mtu anaipokea kivyake. Wengi tutasema huu ni ujambazi mchana kweupe ila wengine wanasema inasaidia kushusha gharama za kununua gari ila kuongeza izo features unazohitaji utalipia.
Sisi wazee wa used 10+ years leo tutaona kama haituhusu, ila kufika 2030 unakuta haya magari yametufikia. Sasa ndio tutaufufua huu uzi.