Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeweka vikwazo vya usafiri kwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Faustine Jackson Mafwele.
Taarifa iliyotolewa na waziri wa mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio imesema kuwa kutokana na taarifa za kuaminika, Mafwele alihusika katika ukiukaji mkubwa wa...