Hayo madini, Mbuga za Wanyama, Gas, Uranium, Bandari, misitu n.k. ni kipi hawajapewa mabeberu kwa mikataba ya kijinga?
Kipindi cha Magufuli tuliambiwa yote hayo
Anachotaka Lissu hata kidogo kilichobaki tule wote, siyo wao wanakula na kuvimbiwa.
Wanachukua mamikopo ya trillions, ambayo kila...