maarufu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Viongozi maarufu 'walioasi' na kuitikisa CCM

    Julai 13, 2025 aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchni Cuba, Humphrey Polepole alitangaa kujiuzulu nafasi hiyo na nafasi nyingine za utumishi umma Jumapili akitaja sababu kadhaa za kufikia uamuzi huo ambao haukutarajiwa na wengi. Sababu kuu alizotaja ni ukiukwaji wa taratibu za chama cha CCM...
  2. Surya

    JamiiForums Tanzania Manabii (Wahubiri) watano maarufu zaidi Tanzania.

    Hawa watu watano ni kwa Mujibu wa Akili mnemba. Manabii watano wakubwa na maarufu Tanzania walio hai hadi sasa Nchini Tanzania, kama ilivyo katika nchi nyingine nyingi barani Afrika, kuna viongozi wengi wa kiroho wanaojitambulisha kama "manabii" na wanavutia wafuasi wengi. Huduma zao mara...
  3. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kuwa Jobless Maarufu humu JF

    Ety wakuu sina maisha sina KAZI Nawezaje kuwa Maarufu uenda nikapata pakuingiza mia miambili Matusi ruksa Haina shida
  4. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Ni kama watangazaji wa vipindi maarufu kwenye haya maredio wamebadilishwa!

    Kuna nini. Maana Jahazi nasikia sauti za watangazaji mpya. Nikienda Wasafi nako watangazaji maarufu siwasikii tena!! Nini kinaendelea maana maredio haya makubwa watangazaji maarufu siwasikii tena... Wapi Mchomvu, wapi Kipanya, wapi Masanja, Zembwela nk
  5. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Tumalize hapa hapa Msemo Maarufu Mjini Kwa Sasa.

    GT Da ila huyu mzee ni kiboko twafa.
  6. chiembe

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mtume maarufu Nigeria mwenye wafuasi milioni 10 asema Rais Samia atashinda uchaguzi 2025, wanaompinga ndani ya chama wataaibika, uchumi utang'aa

    Mkikaa kimya hata mawe yataongea, sasa watu kutoka mbali kabisa wameiona nyota angani mithili ya mamajusi. Nabii huyu kasema kwamba Samia Suluhu Hassan atashinda kwa kishindo uchaguzi mkuu 2025. Kikubwa zaidi, amesema kwamba katika awamu ya urais ya 2025-2030, uchumi utakua kwa kasi ya...
  7. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu, Kombo, ametuma ujumbe mzito kwa aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kufuatia

    Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu, Kombo, ametuma ujumbe mzito kwa aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kufuatia kujiuzulu kwake hivi karibuni. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo Julai 16, 2025 , Kombo alieleza kushangazwa na kauli za Polepole...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Lissu Mwanasiasa Maarufu zaidi Tanzania, Akifuatiwa na Kikwete then Samia

    Ni kweli Ili Uwe Rais Nchi hii lazima ufahamike vizuri miongoni mwa wananchi wa Tanzania. Hapo awali tulipata wanasiasa maarufu na wenye nguvu kweli kweli mifano kama Magufuli, Edward Lowasa, Nyerere etc. Ila Kwa Sasa Hali imebadilika na Mimi nimeshangaa sana, ninavyoona na mambo yalivyo ni...
  9. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania 'Influencers' na watu maarufu wanatajwa kuwa wasambazaji wakubwa wa taarifa za upotoshaji

    Abdallah Katunzi, mhadhiri msaidizi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Julai 9, 2025 akizungumza kwenye mkutano wa Wadau wa Sekta ya Habari kuhusu uchaguzi mkuu, amesisitiza umuhimu wa Kuthibitisha Taarifa tunazokutana nazo mtandaoni bila kujali hadhi ya mtoa Taarifa. Hii inatukumbusha kuwa hata...
  10. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Msoga, kijiji maarufu kinachompa jeuri bi mkubwa.

    Wakuu, Msoga21march21@yahoo.com, kijiji hiki tunaweza kusema ndio kijiji maarufu nchini hakuna asiye kijua. Kijiji hiki kimebeba tumaini kubwa sana kwa bi mkubwa, kila zito linalomtatiza lazima haraka sana akimbilie kijiji kile. Ukileta dharau dhidi ya kijiji kile ni ngumu sana wewe kutoboa...
  11. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Mitano Tena: Kwa mfanyabiashara maarufu Izack Ngowi.

    Mitano Tena! https://www.instagram.com/p/DLaYAx8I2q5/?igsh=MTMzc2J5dGJzOTJv
  12. Dominik Dominik

    JamiiForums Tanzania Wako wapi hawa Makamanda machachali wa Polisi?

    Hello wazee,ni kitambo kama maajabu kutowaona katika pilika pilika za polisi hawa makamanda maana kama wengekuwa ma RPC basi tungesikia tu au kama wanapewa au kuhamishwa vitengo maana kiutaratibu inapotokea kiongozi anahamishwa au kupewa kijiti tunataarifiwa wazi. 1.Kamanda AHMED MSANGI,jembe...
  13. W

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna Wasabato maarufu hapa Tanzania kwenye sanaa, michezo, siasa, system, biashara, n.k

    Sijaanzisha post hii kwa lengo lolote la kidini, ni pure curiosity. Ni kawaida kwamba kundi lolote linapokuwa na idadi kubwa ya waumini au wafuasi, huanza pia kuzaa watu maarufu kwenye medani mbalimbali—iwe ni kwenye siasa, sanaa, michezo, biashara, au hata kwenye system. Lakini kwa upande wa...
  14. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Wananchi Wanauwezo Wa Kumfanya Mtu Kuwa Maarufu Au Kumrudisha Kwenye Ukapuku

    Wasanii wengi wa kwetu na watu maarufu wanasahau kuwa Raia ndio waliowafikisha pale juu kwenye mafanikio na wala sio serikali wala Mwanasiasa yeyote. Nchi kama Marekani, Wananchi walichoma magari, wengine kuyaharibu na kadharika magari ya Elon Musk baada ya kuonekana anatumika vibaya kisiasa...
  15. fundi bishoo

    JamiiForums Tanzania Kila instagram page ya msanii au hawa watu maarufu au machawa wananchi wanawapelekea moto sana aisee

    kilal msanii akipost anaandikiwa no reform nk election 😀🤣 kila chawa akipost hoja ni hyo mpaka wengine wamejamm kufungia X kumeleta changamoto instagram huu mwaka wa moto sana endeleeni kupiga spana watanzania tuungane tupeleke moto🔥🔥
  16. chiembe

    JamiiForums Tanzania Gitonga, mwana tiktok maarufu kutoka Kenya asema Boniphace Mwangi ni muongo wa kutupwa

    Wakenya wameshtukia uongo wa Boniphace Mwangi, wanamuanika upuuzi wake kila mahali.
  17. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwanini siku hizi Idara ya Usalama wa Taifa ya Kisiwa maarufu cha 'Puerto Rico' Watendaji wake WANACHUKIANA mno na kuna MPASUKO mkubwa sana?

    Na chuki kubwa inasemekana ni kwa miaka takribani Mitatu Minne hivi 75% ya Watendaji wa Idara hiyo kutokea Mji wa Ponce anakotoka Rais na siyo Mji Mkuu wa San Juan. Na taarifa ambazo Mtanzania Mimi GENTAMYCINE niliye na Marafiki huko Kisiwani Puerto Rico nilizonazo ni kwamba CHUKI hii kubwa na...
  18. B

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji kwenye Ubia wa BRT maarufu kama UDART kwa kushirikiana na Emirates utaleta mapinduzi na huduma bora kwa abiria wa Dar Es Salaam. Big Up!

    Mimi ni mhanga wa kupata shida na shurba za usafiri hapa Mjini Dar. Mradi wa usafiri wa umma wa UDART umekuwa kero kwa muda mrefu. Jana nimeona taarifa kuwa kutakuwa na uwekezaji kutoka kampuni ya Emirates ambayo ina lengo la kuboresha huduma za usafiri pamoja na kuongeza nyenzo kama Mabasi...
  19. Mudawote

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA wa Kigaila alijua yeye ni maarufu

    GTs, Yaani G55 walidhani wao ni maarufu hahahah yaani Kigaila alivyoaibika hahahaha sura ngumu hana hata ushawishi kisiasa
  20. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima ni maarufu kuzidi Bunge?

    Nilikuwa nimesahau kuwa vikao vya bunge vinaendelea Dodoma! Muda mfupi uliopita niliingia YouTube nikakutana na "title" yenye maneno kama GWAJIMA KIKAANGONI BUNGENI. Nikifikiri kuwa suala la Gwajima limetua bungeni, niliifungua kwa ajili ya kujua kinachojiri. Kumbe ni uongo mtu! Nilikuta ni...
Back
Top Bottom