maandamano oktoba 29

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PostGE2025 RC Chalamila: Vyombo vya ulinzi na usalama vimefanya kazi kubwa, bila hivyo Dar ingekuwa giza

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema miundombinu ya Mkoa huo imeendelea kudumu na kuimarika kutokana na ufanisi wa vyombo vya ulinzi na usalama, ambavyo vimefanya kazi kubwa katika kudhibiti athari za maandamano ya Oktoba 29, 2025. Akizungumza leo Novemba 24, 2025 katika...
  2. sanalii

    PostGE2025 Nilipigwa risasi kwenye maandamano, nimepona, ila Samia ni sehemu ndogo sana ya tatizo kati ya matatizo makubwa tuliyo nayo

    Labda nianze kuuliza kimombo, "Have you ever thought that you will witness someone who is killing people very passionately and proudly, like it is something he was always dreaming of and it is now happening?" Binafsi nilidhamiria kuandamana hata ningekuwa peke yangu, kuonesha kuwa sikubaliani...
  3. Common Folk

    Kama nilivyosema kwa yale ya mwanzo, maandamano ya D9 nayo yameshafanikiwa kwa 99%, hata kama watu hawatatoka barabarani

    Awareness ya kwamba kuna maandamano D9 ni kubwa kwa 99% mtaani. Hata kama raia hawatatoka barabarani hiyo inatosha kukuambia kwamba kuna mambo hayajakaa sawa ndani ya nchi. Sababu zilizofanya hawa Gen Z wakaandamana O29 bado haijatatuliwa hata moja, sana sana ndiyo wamezidi kumwagia petroli...
  4. L

    PostGE2025 Rais Samia: Vijana wengi Walifuata Mkumbo Hawakujua Walilolifanya

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita , nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge. Amesema ya kuwa...
  5. Heparin

    PostGE2025 Udongo wa Makaburi ya Kondo tayari umesha nasa DNA za mashujaa wetu hata mkiwafukua baada ya kuumbuliwa haitasaidia

    Kwenye dunia ya leo, ogopa sana Mungu (kwa tunaosali) na Teknolojia. Ripoti ya CNN imeiacha Serikali hii bila nguo, aibu gani hii? Kwamba video za Sekou Toure na Mwananyamala ni halisi, na baadhi ya waliouawa wamezikwa kwenye makaburi ya Kondo. Najua mnaweza kwenda kufukua, lakini DNA analysis...
  6. Cute Wife

    PostGE2025 Malisa: Hakuna Mtu au Taasisi inayoweza kuhonga mamilioni ya vijana nchi nzima. Kama ilifanyika Vyombo vya Ulinzi ni DHAIFU

    Anandika Godlisten Malisa... "Mimi binafsi siamini kama vijana walihongwa. Hakuna mtu wala taasisi inayoweza kuhonga mamilioni ya vijana nchi nzima. "Na kama ilifanyika hivyo basi vyombo vya ulinzi ni dhaifu. Kama yupo mtu anaweza kuhonga vijana nchi nzima na vyombo vya ulinzi visijue mpaka...
  7. Fbn

    PostGE2025 Kuna majeruhi wa tarehee 29 october nao wamezikwa wakijiona na wengine wametolewa hospitali mpaka sasa hawajulikani walipo

    Sio kukubali hawa wahuni kuwa matendo yao yanaweza kuwa makubaliano kuwa sisi ni wapole na wapenda amani. Watu wamekufa vifo vibaya sana tena kama vina amri toka juu. Kuna mtu alipigwa risasi ila alipopelekwa hospitli kutibiwa tarehee 30 usiku alichukuliwa na mpaka sasa hatujui yupo wapi na...
  8. Nyani Ngabu

    PostGE2025 Wewe ndiye umetutia doa baya kabisa!

    1. Kwa kuwafunga wapinzani wako wasishiriki uchaguzi. 2. Watu wanaokukosoa kutekwa. Hupendi kukosolewa. Job Ndugai aliposema mambo ambayo yalionekana yanakukosoa wewe, ukamfukuza uspika. Dokta Slaa aliposema mambo ambayo yalionekana kama yanaukosoa utawala wako, ukamvua ubalozi. Humphrey...
  9. A

    PostGE2025 Wizara ya Afya imefuta post ya kukanusha video ya Mwananyamala

    Habari wakuu Jana usiku baada ya Mange Kimambi kutuma video ikionesha maiti za waandamanaji zikiwa zimerundikwa kama mikungu ya ndizi hapo Mortuary ya Mwananyamala hospital, Wizara ya Afya kupitia page zao WALIKANUSHA eti ni FEKI. Kitu ambacho kiliibua hasira kali na watu kuanza kushambulia...
  10. Samia atosha tukutane2030

    SWALI: Vijana waliokuwa wakikata vidole watu , kuua askari, kuiba mali na kuharibu mali na miundombinu ya umma wangetulizwa kwa fimbo?

    Tuweke ushabiki pembeni. Wapo wanasiasa wanaotaka kukuza umaarufu wao au kupata credits kwa matukio . Hawa mara zote huangalia upande mmoja tu. Wapo viongozi wa dini ambao waliapa kuwa Samia hatakuwa Rais mara ya pili. Wapo wengine kama vile Polepole and so hawana shida na CCM wala michezo...
  11. Agent-47

    PostGE2025 Video yaibuliwa ikionyesha miili ya watu waliouawa wakati wa maandano ikiwa imetapakaa mochwari ya Hospitali ya Mwananyamala

    Kwa mujibu wa chanzo hiko hapo ni mortuary ya mwananyamala. Ni maelezo ya namna gani yanaweza kukubalika juu ya tukio kama hili? HAKUNA. ============== Ni Mortuary ya Mwananyamala. Alieachia video hii anahofia mnooo maisha yake ndo maana imemchukua muda sana kunipa video hii. Anasema kuwa...
  12. Carlos The Jackal

    Walishatumia kila aina ya vitisho, hakuna cha kuogopa tena

    Ndugu zangu naendelea Kuwakumbusha, Kila Mmoja anao wajibu, DEC 9 asionekane MTU kubakia nyuma. Ni kwanini Ubaki wakati Umeuliwa Dada,Kaka ,Mama, Mjomba, Baba, Mpenzi ,Mume ,mtoto, Babu??? Kwann Ubaki???? Tutatoka wote Kwa Wingi wetu,alafu maandamanao ya Dec 9 YATAKUJA tofauti kabisaaa .
  13. Cute Wife

    PostGE2025 Rais Samia: Sisi wazazi wenu tungefanya mliyofanya nchi hii isingekuwa na neema kama sasa

    Ila Samia anazidi kuongezea watu hasira tu, kwahiyo wazazi wao walitoa polisi nje kuua watoto wao? Ndio anahalalisha yaliyotokea kwa kusema mkubwa hakosei? Rais Samia kasema kama wao wazazi wangefanya waliyofanya vijana (maandamano) basi nchi hii isingekuwa na neema. Amewaambia vijana...
  14. Cute Wife

    PostGE2025 Rais Samia aliongoza Bunge kusimama kwa dakika 1 kuwaombea waliofariki kwenye vurugu siku ya uchaguzi

    Rais Samia awaambia wabungge na waliohudhuria bunggeni kusimama kwa dk 1 kuwaombea wote waliopeta maisha, waliojeruhiwa wapone haraka, na pole kwa wale wote waliopoteza mali zao kipindi hiko. Akisema yeye binafsi ameumia sana. Amessma serikali imeunda tume kuchunguza kilichofanyika, akisema...
  15. Black Opal

    PostGE2025 Huko BAKWATA kama ilivyokuwa CCM nako hakuna mwenye akili akashauri vizuri? Waandamanaji ndio wamesababisha mauaji na sio Polisi?

    Yaani sasa hivi kila ukiingia mtandaoni unapigana na hisia zako usije kupata presha kwa hasira! Aaaaaa! Wazee kabisa ambao vijana wanategemea muwe na busara kushauri mambo vizuri mnajitokeza kuongea upuuzi bila soni hata kidogo usoni! Pia soma PostGE2025 - BAKWATA na taasisi za kiislamu...
  16. Carlos The Jackal

    PostGE2025 Siri imevuja: Genge la watekaji na wauaji walichoma vituo vya mafuta na Mabasi ili kuchafua Sura ya Maandamano ya Taifa

    Hamna Jambo la Sirini litabakia kua Sirini !!. Mbinu Yao walitumia, imewekwa Wazi Sasa !!. Watekaji na Wauaji walipenyeza Mamuluki wao wachome Vituo vya Mafuta na Ma Bus ili kuhalalisha Matumizi ya Risasi za Moto Kwa Watanzania . Ni Mamuluki hao hao walotumwa na Watekaji walivamia Na Kuchoma...
  17. Mafyangula

    PostGE2025 Nondo: Serikali itoe fidia kwa familia waliofiwa ndugu zao, walipata ulemavu kutokana na yalitokea kwenye maandamano oktoba 29

    Akizungumza na Wanahabari leo, Novemba 12, 2025, jijini Dar es Salaam, Nondo amesema inapaswa kutolewa fidia kwa watu walipoteza wapendwa wao kutokana na kuwawa katika maandamano, lakini waliopata ulemavu na hata walipoteza mali zao. Aidha kwa upande mwingine Nondo amesema maridhiano ya kweli...
  18. Mafyangula

    Museveni: Mataifa ya ulaya Waliwapotosha Watanzania Kufanya Ghasia

    Rais Yoweri Museveni ametoa onyo kwamba mataifa ya Ulaya yanaanzisha vurugu na machafuko katika eneo la Afrika Mashariki, akiwatuhumu kwa kuwapotosha vijana nchini Tanzania na mataifa mengine jirani kwa lengo la kuleta ukosefu wa utulivu na kudhoofisha juhudi za maendeleo ya viwanda na mafuta za...
  19. Mafyangula

    Mfanyakazi wa Lake Oil amwaga machozi baada ya kupoteza Kazi kutokana na Kituo hicho Kuchomwa Moto kufuatia maandamano oktoba 29

    Sada Alfani, Mfanyakazi wa Kampuni ya Kuuza Mafuta ya Lake Oil amejikuta akimwaga Machozi mara baada ya kupoteza Kazi kutokana na Kituo hicho Kuchomwa Moto kufuatia Vurugu za Oktoba 29. Sada amesema Kazi hiyo alikuwa anaitegemea kwa ajili ya kuisaidia familia yake kwakuwa yeye ni Mama na...
  20. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Walifunguliwa Kesi za Uhaini wengi uelewa wao wa kisheria ni mdogo na hawana uwezo wa kulipia gharama za Mawakili kwa ajili ya kuwawakilisha

    Ungiangalia wengi ni vijana wadogo sana yani umri wao miaka 19 hadi 25 kihuhalisia bado ni wakijitafuta kwenye maisha na wengine pia walikuwa ni kufuata mkumbo wa kudai haki lakini athari zake hawakuzifahamu baadae kitatokea nini. ================ Mawakili wanaowatetea washtakiwa wa kesi za...
Back
Top Bottom