Najiuliza:
1) Kwanini viongozi wetu walichagua kukaa kimya au kupuuza sauti za Watanzania pale Watanzania walipodai haki kwa amani?
2) Kwanini walichagua kuzungumza kwa vitisho na ukali kwa raia ambao walijaribu kupaza sauti kudai usalama wa maisha yao na mali zao?
3) Kwanini waliahidi...
Maelfu ya watanzania kutoka Mbezi jijini wanaelekea Ikulu muda huu.
Madai ya waandamnaji, Matokeo ya uchaguzi yafutwe, KATIBA MPYA, Waliotekwa waachiliwe huru, Tume huru ya uchaguzi na utawala wa Haki.
Video hii ni ya asubuhi ya leo: 👇🏽
Leo, wanajeshi wameonekana kuendelea kulinda wananchi...
Nauatilia kuna independent streams, youtubers kama 6 kila baada ya nusu saa wanapost mambo ya protest mambo mabaya tu ya Tanzania na kuna mama mmoja mzungu katikakati kwenye press za wanaharakati.
Huyu alikuwepo sana kwenye kumsuport rickie machari wakati amaefukuzwa, fuatilieni video za 2019...
Kuna wakati mtu anaangalia matokeo yanayotangazwa na Tume ya Uchaguzi na anajiuliza kimya kimya — tulishiriki uchaguzi kweli, au tunapewa hadithi nzuri za takwimu?
Wanalazimisha kuonesha kuwa zaidi ya 90% ya wapiga kura wamejitokeza, lakini vijijini vituo vingi vilikuwa vitupu, na wengine...
Habari wanajamvi,
Kifupi sana mambo makuu matano yamepangwa;
1. Lazima Samia atangazwe kuwa mshindi.
2. Idadi ya wapiga kura iwe asilimia 80.
3. Samia ashinde kwa asilimia 80+ (Hili lilileta mjadala sana wengine walitaka iwe 90+ hadi naandika Uzi huu muafaka bado)
4. Kutakuwa na mabadiliko...
Wakuuu poleni na kazi naomba niende moja kwa moja kutokana na muda, maandamano yanayo endelea nchi nzima ni kutokana na wananchi kutaka mabadiliko (reforms)
Hili jambo ni la wananchi yaani watoto wetu, ndugu zetu na vijana tunao wafahamu tukizubaa tutajaza mitaa ikiwa na miili ya ndugu zetu...
1. Tulia Ackson nyumba zake mbili Mbeya zimepigwa moto
2. Tulia Ackson - Mabasi yake ya Achimwene yamepigwa moto
3. Idd Azan Zungu - Nyumba yake imechomwa moto
4. Kikwete na Ridhiwani - Vituo vingi vya Lake Oil vimechomwa moto na vinaendelea kuchomwa moto
5. Mabus ya Abood
6. Mabus ya Esther...
Siku zote Jeshi letu lina kiapo Kikuu cha kusimama na Wananchi na Katiba.
Wananchi wameamua hawawataki CCM na samia wao na Jeshi linapaswa kusimamia matakwa ya Wananchi.
Wananchi wamesema hawautambui uchaguzi maana ulikuwa ni uchafuzi hivyo Jeshi linapaswa kusimama na Wananchi.
Dunia inajua...
Maeneo ya Sinza, Watu wanakamatwa randomly.
Watu wengi sana wameingizwa kituo cha Polisi Mabatini.
Wanalazimisha kukamata wapita njia hata wanaokwenda kutafuta dawa.
Raia wanapigishwa magoti huku wengine wakiambiwa squat, ruka - ruka.
Kuna taarifa kuwa ccm wanapanga kuanza kutangaza matokeo ya uchafuzi walioufanya jana na ukafeli ili kuleta panic na kujionesha kuwa wana li control Taifa.
Tunawaomba askari wetu wapendwa JWTZ zuieni matokeo hayo feki na haramu ya huo uchafuzi kuendelewa kutangazwa nchi nzima. Iwe ya udiwani...
Hongera nyingi sana kwa askari wa JWTZ kwa ukomavu mliouonyesha kwenye maandamano ya wananchi, Mmeonyesha kweli ninyi ni Jeshi la wananchi wa Tanzania.
Hongereni sana kwa kazi iliyotukuka wananchi wameona kazi yenu nzuri!
Utangulizi
Oktoba 29, 2025 Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi mkuu katika mazingira yanayoelezwa kuwa yenye hali wasiwasi mkubwa na taharuki. Uchaguzi huu unakuja takriban mwaka mmoja baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa, uliosababisha mijadala mikubwa kutokana na matukio ya...
Wakuu,
Yaani asubuhi asubuhi mshasema maandamano yamefeli? Ndio kwanza siku imeanza mbona mnatukatia tamaa mapema hivi? Hamuamini kuwa wanannchi tunaweza kuleta mabadiliko wenyewe?
VItuo si vinafunguliwa, tunaamka na kutoka na vitambulisho vyetu huko huko tunaungana barabarani, mlitaka watu...
Wakuu
Nasikia huko Mwanza walianza doria usiku wa kuamkia leo.
Yani magari tu na ving'ora vilikuwa vikisikika usiku kama video inavyoonesha
Kiukweli kabisa yani organizers wa haya maandamano wameweza kuwasumbua hawa watu
Wakuu,
Mpaka sasa motandao ya Youtube, TikTok na Signal imeliwa kichwa, haipatikani mpaka utumie VPN, yote hii ikiwa ni kuzuia wananchi kupata taarifa wakati muhimu kabisa wa uchaguzi ambao wananchi wana haki na wanastahili kupata taarifa kujua kinachoendelea katika siku muhimu inayoenda...
facebook
freedom of expression
instagram
kichwa
maandamanooktoba 2025
maandamanooktoba29
mitandao
mtandao haupatikani
mtandao kuzimwa kwenye uchaguzi
mtandao kwenye uchaguzi
nayo
signal
telegram
tiktok
uchaguzi 2025
uchaguzi mkuu 2025
uhuru wa habari
uhuru wa maoni
whatsapp
youtube
Wakuu,
Safari hii kwenye kampeni hata hawajarwmba na danganya toto za kupitisha greda kurekebisha barabara kwa muda mfupi ili watakaoenda kuwapigia kura wapite kwenye njia nzuri😂😂
Safari hii ni unyama, kiburi kiburi tu, mwingine hadi katuita mbwa huko😂😂 NIDA zinawapa kiburi kwelikweli. Utoke...
Tamko rasmi la Baraza la Vijana Chadema Taifa (BAVICHA) kuunga mkono maandamano ya vijana wa Gen Z, kesho Oktoba 29,2025.
==
Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) limeundwa kwa mujibu wa ibara ya 7.8.2 (a) ya katiba ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ya mwaka 2006 toleo la 2019...
Kesho Kutwa, Nawewe utatueleza tu.
Na hapa niwahakikishie, Wale wooooote mlohusika Kushabikia , na Matendo ya Kichawa kuanzia Wasanii mpaka Viongozi wa Ngazi zote .
Hatutakua na nafasi ya uchawa, hakutakua na nafasi yenu kujitetea.
.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.