Nakumbuka kukutana na binti mmoja mrembo asiye kifani, ilikua siku birthday yake, nlienda nikazuiliwa getini na Mhudumu kuingia ndani nikaambiwa tu kwamba binti ni mzima wa afya njema ila hautamuona, nlisononeka saaana maana nilimsubiria kwa hamu kubwa sana kukutana na huyu mrembo, habari zake...