#COVID19 Waganda wanavyoteseka na lockdown. Mh Museveni ingilia kati mtakufa waganda

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,150
Kutokana na sheria zilizopo ukiwa na mgonjwa unaita ambulance. Now ambuulance beii zake hazishikiki kabisa.

Watu wanakufa kila kona kwakukosa usafiri. Angalia mh Rais hili kama mtu hana hela anakufa nyumbani inaondoa maana ya lockdown kabisa.

Inahuzunisha sanasana
Screenshot_20200415-154958.png
Screenshot_20200415-155004.png
Screenshot_20200415-143809.png
 

Attachments

  • Screenshot_20200415-154949.png
    Screenshot_20200415-154949.png
    406.4 KB · Views: 1
Sikuhizi wagonjwa wanaopewa kipaumbele ni wa corona Tu.
Kwa mtindo huu ukiendelea huko mbele kuna hatari ya kutokea vifo vingi Kwa wagonjwa wanaougua magonjwa mengine
 
Hivi yule wa Kariakoo alikua lockdown.?
Huku mbona tunawabeba wagonjwa kwenye machela,baiskeli ,will barrow nk
 
Back
Top Bottom