Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Kutokana na sheria zilizopo ukiwa na mgonjwa unaita ambulance. Now ambuulance beii zake hazishikiki kabisa.
Watu wanakufa kila kona kwakukosa usafiri. Angalia mh Rais hili kama mtu hana hela anakufa nyumbani inaondoa maana ya lockdown kabisa.
Inahuzunisha sanasana
Watu wanakufa kila kona kwakukosa usafiri. Angalia mh Rais hili kama mtu hana hela anakufa nyumbani inaondoa maana ya lockdown kabisa.
Inahuzunisha sanasana