lini

Linyi (simplified Chinese: 临沂; traditional Chinese: 臨沂; pinyin: Línyí) is a prefecture-level city in the south of Shandong province, China. As of 2011, Linyi is the largest prefecture-level city in Shandong, both by area and population, Linyi borders Rizhao to the east, Weifang to the northeast, Zibo to the north, Tai'an to the northwest, Jining to the west, Zaozhuang to the southwest, and the province of Jiangsu to the south. The name of the city Linyi (临沂) literally means "close to the Yi River".
The city recently expanded along the Yi River to Nanfang, now called the Beicheng New Area, under the slogan "Grand Linyi, Beautiful Linyi, New Linyi". Multiple recreational parks were built, along with new school campuses etc. The development is a consequence of a series of governmental projects, including relocate the city government, which is expected to stimulate the economy.
The population was 11,018,365 at the 2020 census, of which 3,651,868 lived in the built-up area made up of Lanshan District, Luozhuang District and Hedong District, as well as Linyi National Hi-Tech Zone.

View More On Wikipedia.org
  1. frankkilulya

    JamiiForums Tanzania Hali ya baridi inayoendelea nchini mwisho wake lini?

    Kwa hii baridi inayoendelea nchini Ukute serikali ya SiSiEM Imekula hela ya joto 😂😂 Ni ajabu kuona dar leo hatutembei vifua wazi
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Historia ya Mpira ya Dk. Mshindo Msolla inajulikana tokea 1980's Injinia Hersi Said atuambie yake ni ya lini?

    Wana Yanga SC sio Wajinga (Mangumbaru ) au Wapumbavu (Mapopoma) wampe Mtu ambaye kaanza Kuujua mpira mwaka 2019 (Injinia Hersi Said) halafu tumuache Mtu mwenye Rekodi iliyotukuka katika Medani ya Kandanda (Soka) nchini Tanzania tena akiwa amefanya makubwa halafu ni Msomi vilevile tena wa...
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Sikumbuki ni lini Injinia Hersi Said amekuwa mwana Yanga SC Wenzetu. Tumchague Dk. Msola kwa Urais Yanga SC

    Wenye Yanga yetu tunaenda na Msomi Dk. Mshindo Mbwete Msolla na siyo Matapeli wengine halafu ni wana Simba SC kindakindaki. Tutanuniana sana Mwaka huu.
  4. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Kwa huku Dar hiyo Aphelion Inakuja Lini?

    Watu walianza kututisha kuwa kutakuwa na baridi kali sana... jamaa mmoja akanambia yeye sasa atakuwa anaoga maji ya moto zaidi. Nimeshangaa ......... unawezaje kuoga maji ya moto Dar? Sisi ambao tumewahi kaa Iringa,Rukwa, Mbeya, Arusha, Ruvuma n.k ukituambia Dar kuna baridi tunashangaa... na...
  5. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Azam Fc tunafukuza lini kocha na Agrey Moris na wazee wenzake

    Kocha wa Azam P didy wa bongo zikibaki dakika kumi mpira kuisha huwa anainama kuomba dua muujiza utokee badala ya kuwapa morari wachezaji wake lakini wapi pumzi ya moto wanapelekewa,anafaa kuwa mwana hip hop ila sio mpira Aggrey Moris na wazee wenzake mafao yao pale Nsssf yameiva. Aliyegundua...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Lini yanga watalipa goli 5-0 waliofungwa na simba 1977 miaka 45 nyuma?

    Kila siku watani wa jadi wanapokutana wasiwasi wangu mkubwa huwa ni Yanga kulilipa hilo deni na kusema kweli mechi ya leo hapo Kirumba nilikuwa sina raha kwani kikosi cha mnyama kilikuwa dhaifu sana katika miongo mingi kwenye mechi dhidi ya watani wao nikakujua tu leo ni kulipa hilo deni na wao...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Ni lini majasusi wa Tanzania wataanza kuzuia (prevent) uhalifu badala ya Sasa ambapo wanafichua maovu baada ya serikali/wananchi kupata hasara?

    Naamini Kila Mkoa, Wilaya, na maeneo mbalimbali miradi ya serikali inapotekelezwa Wapo majasusi wanalipwa Kwa Kodi za wananchi kumulika miradi ya serikali itekelezwe Kwa mujibu wa sheria. Kinachofanywa na majasusi WETU naamini kilishakosa nguvu duniani na Sasa Dunia ipo Kwenye ujassusi unaozuia...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Hili janga la kufunga na kufungua nchi dawa yake tutaipata lini na wapi?

    Nikiri wazi kuwa nchi yetu inajichanganya sana kwenye mwendelezo wa uongozi wake. Ukiangalia tunavyoongozwa ni kana kwamba tumeongozwa na vyama tofauti vya kisiasa, wakati inajulikana fika kwamba tangu tupate uhuru tumeongozwa na chama hichohicho, sana sana kilijibadilisha jina. Takribani Kila...
  9. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Ni lini na wapi Mbowe, Zitto, Tundu Lissu & Co walialikwa popote Dunia hii?

    Naona CHADEMA wamemualika Bobi Mpinzani Mkuu kutoka UG kama mgeni rasmi, najiuliza kwa nini wao akina Mbowe hawaalikwi au ni lini waliwahi kualikwa popote na kuwa wageni wa heshima? Watanzania sisi ni watu wa kujipendekeza sana, ukiachilia kwa Mbowe kujipeleka kwa Raila Kenya na kupiga naye...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Tamisemi watatoa lini majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano 2022/2023?

    Husika na kichwa cha uzi hapo juu, nataka kujua ni lini watatoa hizo selection, maana nimesikia watoto wanaanza masomo mwezi June.
  11. Poker

    JamiiForums Tanzania Naombeni kujuzwa Money Heist inatoka lini!

    La casa de papel inatoka lini wadau huwa naikubali sana
  12. S

    JamiiForums Tanzania Rais watu wa Kusini mwa Tanzania utawatembelea lini?

    Nasema hivyo kwa sababu! Rais wetu kashafanya ziara ndani ya nchi yetu hususani kwenye mikoa ile ile mara mbili au tatu lakini hatujaona ikifanya hivyo kusini mwa nchi! Mfano Rais wetu katembelea mara tatu mwanza na geita pia kwa kanda ya ziwa! Pia Arusha na Kilimanjaro katembela nako sio...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ooh! Boney-M, Boney-M, lini utarudi tena?

    Kwa kweli nikiusikiliza wimbo wao wa "By the river of Babylon", aisee, sauti zao ni tamu mnooo!! Utafuteni YouTube mshuhudie wenyewe!!
  14. mitale na midimu

    JamiiForums Tanzania Hivi takwimu za nani anamiliki silaha zipi na kwa kiwango gani tangu lini nani huwa anazihakiki?

    Dunia kadili siku zinavokwenda inafikirisha sana. Vita ni siri. Kumiliki silaha ambayo ikimdhuru adui ushindi unapikana ni jambo LA Muhimu. Na ni muhimu zaidi adui akiwa hajui ukweli wrote ikiwemo Idadi Uwezo halisi Muda wa kumfikia. Etc Kinachonishangaza. Katika media ambazo Nazi sio za...
  15. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Dubai walifanya Royal Tour lini? Wapi?

    Takwimu toka Idara ya Utalii Dubai unaonyesha kwa mwaka 2019 tu Jiji la Dubai pekee lilipokea watalii yapata milioni 16. SWALI: wao walifanya Movie ya Royal tour lini?
  16. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Aliyeruhusu kituo cha daladala mdomoni mwa Ubungo flyover (riverside) alitoroka lini mirembe?

    Hivi kuna faida gani kutumia bilioni 300 kujenga Ubungo flyover ili kuondoa foleni halafu tunakuja kuruhusu kituo cha daladala mdomoni kabisa mwa flyover ambapo gari ndio zinaingilia? Kitendo cha daladala kuingia na kutoka kwenye kituo hiki inasababisha magari kushindwa kabisa kuflow kama...
  17. Joannah

    JamiiForums Tanzania Hivi Jehanamu iliumbwa lini?

    Za jioni jamani, Kwa Imani yangu iliyonikuza tuaamini Kuna Jehanamu,,katika kitabu cha mwanzo sura ya kwanza tunaona uumbaji wa kila kitu,Mbingu,Nchi,binadamu na wanyama hata mimea na kadhalika. Ila kuumbwa kwa hii sehemu ya kutisha kuliko zote hatujaona uumbaji wake,, JEHANAM ILIUMBWA lini...
  18. kavulata

    JamiiForums Tanzania Lini wananchi wataacha kuziamini porojo za wanasiasa?

    Tangu nchi ipate Uhuru Haakuna Ilani ya Uchanguzi ya chama cha siasa isiyokuwa na agenda kusabambasa maji, zahanati, pembejeo, masoko, ajira kwa wananchi, lakini baada ya uchaguzi kumalizika na mshindi kutangazwa hakuna ahadi iliyotekelezwa. Uchaguzi ukija wanarudia yaleyale tena mpaka miaka...
  19. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Makamba Yusuf. Na hawa Wananchi waliokunjamana uso utadhani wanaangalia jua kali, lini wataanza Kulamba Asali kama Ninyi?

    Hii nchi inaumiza sana moyo. Yaani wakati wananchi wa kipato cha chini wanaumia na maisha magumu wakilambishwa Shubiri. Kuna mtu anatamba kuwa wao wanalamba asali. Na mbaya zaidi kuna watu wanampigia makofu na kushangilia. Hili ndilo lililoniumiza zaidi. Yaani form one wanacheka na form two...
  20. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Swali: Haya mafuta yaliyopanda bei yameingia lini nchini?

    Nina maswali ambayo nimeyawaza baada ya ku smell kitu. Ni kama vile wasimamizi wa nishati na mafuta kama wanafanya biashara ya mafuta hivyo wanajiimarisha kiuchumi. Swali 1. Haya mafuta yaliyoanza kuuzwa leo kwa bei ya juu yameingia lini nchini? Swali 2. Mafuta yale ya bei ya zamani yameishia...
Back
Top Bottom