Taifa stars mtadi wa huzuni kitaifa mpaka lini?

Tango73

JF-Expert Member
Dec 14, 2008
2,128
1,225
Leo tumetolewa na Uganda mashindanoni,kabla yahapo tulitolewa na Zaire katika mashindano ya World cup mchujo, miaka ishirini ilopita tulitolewa na Burundi kufuzu Afcon kabla ya hapo tuliwahi kutolewa na Rwanda kufuzu world cup ligi, hii haibu na huzuni kitaifa mbona haihojiwi bungeni?

TFF upende usipende timua huyo kocha mzawa haraka sana . Nenda Ghana kachukue kocha yule mghana aliyenoa timu yao ya vijana wa miaka 17 ambao walitwaa world cup. Mchukue yule kocha na benchi lake la ufundi lote . ukiwapa timu ya vijana wa kitanzania miaka miwili tutawika zaidi ya Nigeria na Cameroon.

Huyu kocha mzawa umemleta Taifa stars atuongezee huzuni kitaifa tuu na wala sio kutuinui kisoka . hana mafanikio yeyote hata lile fanikio la kuipa timuye ubingwa wa ligi kuu hana.
mheshimiwa raisi wa TFF ulikuja TFF kufanya nini?
 
Leo tumetolewa na Uganda mashindanoni,kabla yahapo tulitolewa na Zaire katika mashindano ya World cup mchujo, miaka ishirini ilopita tulitolewa na Burundi kufuzu Afcon kabla ya hapo tuliwahi kutolewa na Rwanda kufuzu world cup ligi, hii haibu na huzuni kitaifa mbona haihojiwi bungeni?

TFF upende usipende timua huyo kocha mzawa haraka sana . Nenda Ghana kachukue kocha yule mghana aliyenoa timu yao ya vijana wa miaka 17 ambao walitwaa world cup. Mchukue yule kocha na benchi lake la ufundi lote . ukiwapa timu ya vijana wa kitanzania miaka miwili tutawika zaidi ya Nigeria na Cameroon.

Huyu kocha mzawa umemleta Taifa stars atuongezee huzuni kitaifa tuu na wala sio kutuinui kisoka . hana mafanikio yeyote hata lile fanikio la kuipa timuye ubingwa wa ligi kuu hana.
mheshimiwa raisi wa TFF ulikuja TFF kufanya nini?
TAIFA STAR NI MRADI WA HUZUNI KITAIFA MPAKA LINI?
 
Kwenye mpira hakuna shortcut mkuu!!achaneni na mpira wa hamasa fuateni tu utaratibu unaotakiwa wa kuandaa vijana, na mtaona tu mafanikio hata kama ni baada ya miaka 10! Sasa cjui mtafanya nini kama mshaamua kuboresha virabu zaidi kuliko kuwapa kipaumbele wachezaji wenu.
 
Leo tumetolewa na Uganda mashindanoni,kabla yahapo tulitolewa na Zaire katika mashindano ya World cup mchujo, miaka ishirini ilopita tulitolewa na Burundi kufuzu Afcon kabla ya hapo tuliwahi kutolewa na Rwanda kufuzu world cup ligi, hii haibu na huzuni kitaifa mbona haihojiwi bungeni?

TFF upende usipende timua huyo kocha mzawa haraka sana . Nenda Ghana kachukue kocha yule mghana aliyenoa timu yao ya vijana wa miaka 17 ambao walitwaa world cup. Mchukue yule kocha na benchi lake la ufundi lote . ukiwapa timu ya vijana wa kitanzania miaka miwili tutawika zaidi ya Nigeria na Cameroon.

Huyu kocha mzawa umemleta Taifa stars atuongezee huzuni kitaifa tuu na wala sio kutuinui kisoka . hana mafanikio yeyote hata lile fanikio la kuipa timuye ubingwa wa ligi kuu hana.
mheshimiwa raisi wa TFF ulikuja TFF kufanya nini?

Lazima kocha afundishe mpira na sio janja janja.

Wachezaji hawana akili ya mpira kabisa sijui mazoezini wanapanga koni tu?

Wakacheza magame ya mpira wakaone mpira unavyochezwa maana wanachokicheza sio mpira ule halafu wanategemea wapate ushindi.

Mchezaji akipewa mpira lazima atulize kwanza hata kama mwenzake yuko kwenye nafasi nzuri tu ya kuwaishiwa mpira.
 
Kwenye mpira hakuna shortcut mkuu!!achaneni na mpira wa hamasa fuateni tu utaratibu unaotakiwa wa kuandaa vijana, na mtaona tu mafanikio hata kama ni baada ya miaka 10! Sasa cjui mtafanya nini kama mshaamua kuboresha virabu zaidi kuliko kuwapa kipaumbele wachezaji wenu.
hali ngumu ya maisha na uchumi wa kifamilia huuwa vipaji vya vijana wakiwa wangali teenagers.vijana wengi hulazimika kujitegemea wenyewe mara wamalizapo darasa la saba hivyo inatakiwa mdau wa kuwapeleka soccer academic ili vipaji vyao visidolole.TFF ina shule za accademic nzuri sana kule Tanga ila sasa gharama za kuendesha na kuwalea vijana ndipo naona inawashinda.
 
Lazima kocha afundishe mpira na sio janja janja.

Wachezaji hawana akili ya mpira kabisa sijui mazoezini wanapanga koni tu?

Wakacheza magame ya mpira wakaone mpira unavyochezwa maana wanachokicheza sio mpira ule halafu wanategemea wapate ushindi.

Mchezaji akipewa mpira lazima atulize kwanza hata kama mwenzake yuko kwenye nafasi nzuri tu ya kuwaishiwa mpira.
wewe fikiria tuu raisi wa TFF ni higly educated na ana Masters inashangaza kuona ana mpatia timu kocha mzawa ambaye hata hana recodi nzuri ya kuinua soka katika vilabu afundishavyo. Huyu kocha mzawa ndiye tunalazimishwa kumtegemea eti anoe timu ya taifa ya kuja wafunga NIgeria, Tunisia, senegal, Portugal na Algentina katika mashindano yeyote ya kimataifa!!!!!
 
Back
Top Bottom