Lindi iko mwambao wa pwani(Factor kubwa kwa ukuaji wa miji/mji), ina beach nzuri (biashara, utalii, uvuvii), ina makumbusho ya majengo ya kale ambayo pia ni utalii wa kihistoria, bado ina ardhi na vinginevyo!
Mkoa wa Lindi una wilaya sita (6)
1-Kilwa
2-Lindi mjini
3-Mtama
4-Ruangwa
5-Nachingwea...