Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 18,953
- 27,100
Kama tusingeandika historia yetu waliokuwa hawapo hiki kizazi kipya kisingeijua historia ya Sheikh Hassan Kinyozi.
Tungemzika Sheikh Hassan Kinyozi kama tunavyowazika masheikh wetu.
Tusingeliweka jeneza la mwalimu wetu mabegani na vifua mbele tukijua kuwa tunamzika shujaa aliyepigania uhuru wa Tanganyika.
Toka jana baada ya kuweka historia ya Sheikh Hassan Mohamed Said Kinyozi mtandaoni wasomaji wanauliza nini kimesababisha sisi kutokuwa na historia ya mashujaa wetu?
Tungemzika Sheikh Hassan Kinyozi kama tunavyowazika masheikh wetu.
Tusingeliweka jeneza la mwalimu wetu mabegani na vifua mbele tukijua kuwa tunamzika shujaa aliyepigania uhuru wa Tanganyika.
Toka jana baada ya kuweka historia ya Sheikh Hassan Mohamed Said Kinyozi mtandaoni wasomaji wanauliza nini kimesababisha sisi kutokuwa na historia ya mashujaa wetu?