laana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pdidy

    JamiiForums Tanzania HAWA VIONGOZI WA SIASA WAJITAHIDI NA WAO KUWEMO KUNDI LA KUUMIA SIO KUJIFICHA NDAN WANAONGEA TU HIO N LAANA

    NASIKILIZA KIONGOZI MMOJA TU.EKUBALIANA M NIBAKI NDNA YA PFISI NIWAPE UPDATE NA XXXX AMEKIMBILIA SEHWMU FLAN AKITOA TAARIFA USHAURI TU TUSIWATUMIE WANANCHI VIBAYA M NATAMAN KUSIKIA KUNDI KUBWA LA WANAOLALA.IKA KUUMIA WAWE N VIONGOZI WA NRNE MPAKA SASA SIJAJSIKIA KIONGOZI ALIEKUFS WANATANGAZA...
  2. Paspii0

    JamiiForums Tanzania Je kutafuta mali bila kuziendeleza ni laana inayowakabili Waafrika weusi?

    Mpendwa Mwafrika mwenzangu, Leo nakuandikia tafakri yangu binafsi, lakini pia kwa tumaini. Uchungu kwa sababu kuna jambo linaloendelea kwenye jamii zetu ambalo linatufanya tusisonge mbele kama tunavyopaswa. Tumekuwa watu wa kutafuta, lakini si watu wa kuendeleza. Tumekuwa hodari wa jasho...
  3. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Inasemakana Masakuu Mbagala kuna laana isiyo kifani kitambaa cheupe ikasome. Je ni ya kweli hayo?

    Mimi sio mkazi wa Daslam lakini wenye mji wao kwenye mitandao ya kijamii wanasema hapo Masakuu Mbagala Kuna laana isiyo ya kawaida kitambaa cheupe irudi darasani kwanza. Wanasema watu wanakulana mubashara wa kushangza !! Wenye mji wenu Je Kuna ukweli wowote ule? Location yake hii hapa
  4. musicarlito

    JamiiForums Tanzania Kama unaamini katika hiki.."Roho za uchawi...Roho za umasikini...Roho za mauti ...Mikosi na laana" jua wewe ni Gullible of the gullibles

    Wasalaam Kuna hawa watu hasa mama zetu,mtu anakosea au anafeli katika mazingira fulani ya kibinadamu kabisa mathalani kwa uzembe wake au uzembe unaosababishwa na wengine...badala ya kukimbilia uwajibikaji kumezuka neno Roho ya... Kwa mfano mtu ni mlevi,badala ya kumwambia kuwa ni mlevi na...
  5. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Mastori: Unaifahamu laana ya maarifa(Curse of Knowledge)?

    Umewahi kutana na mtu ana maarifa mengi lakini anapata tabu au ni kama 'mvivu' kujieleza. Pamoja na sababu nyingine hii inaweza kuwa imesababishwa na laana ya maarifa. Curse of knowledge ni kitendo cha mtu mwenye maarifa kudhani kuwa kila mtu anayo hayo maarifa. Yaani mtu anaamini anayoyafahamu...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Kukosa akili ni tatizo la ki genetic, si chakula wala mazingira - si laana

    Unakuta mmezaliwa 8 kwa familia moja Wote hamuwezi.kuimba. Wote hamuwezi kuanzisha biashara yoyote ile Wote hamna uwezo wa kufaulu..yaani wa afadhali ni div 4 ya 28 Wote hamuoi wala kuolewa Wote mnajikuta ni walevi, sigara; mnapenda ngono, bange nk Wote hamuondoki kwa wazazi wenu, mnaoa na...
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazazi masikini punguzeni matamko yenye viashiria vya laana kwa watoto zenu

    Janga la wazazi kutamka matamko ya laana linashika kasi sana na hasa kwa hawa wazazi wenye umaskini ukifuatilia utakuta malalamiko mengi yenye viashiria vya kutoa laana kwa watoto zao. Changamoto kubwa ni wazazi kufanya watoto mitaji ya kuwakwamua kwenye umaskini wao hivyo ikiwa nje ya...
  8. Intricate

    JamiiForums Tanzania Watu weusi na laana ya kubaguana wenyewe kwa wenyewe

  9. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania Ukweli wa Kushtusha: Maisha ya Milele Yanavyoweza Kuwa Jehanamu

    Je, umewahi kutamani uishi milele? Usiwe na haraka kujibu, kwa sababu huenda baada ya kusikia hadithi hii, utabadili mawazo. "The Last Answer" ni hadithi fupi iliyoandikwa na Isaac Asimov, mmoja wa waandishi mashuhuri wa science fiction. Ingawa hadithi hii si maarufu kama The Last Question...
  10. figganigga

    JamiiForums Tanzania Picha za Tundu Lissu Nkasi Kusini, asema DC Lijualika ni Mtoto wa Laana

    Hapa ni Wampembe, Jimbo la Nkasi Kusini. Tundu Lissu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa amesisitiza Lijualikali ni Mtoto wa Laana. So now ana majina Mawili. Mtoto wa Dawa na Mtoto wa Laana. Lissu limtoa Gerezani Lijualikali baada ya miezi Kadhaa akajiunga na CCM. #NoReformsNoElection Picha hapa...
  11. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kuwekeza biashara yoyote Tanzania ujiandae kukumbana na urasimu

    Wakuu kama unataka kuwekeza biashara yoyote Tanzania ujiandae kukumbana na urasimu pro Max, inaumiza sana sana pale unapoona kuwa kitu unachotaka kufanya ni kizuri kwa Taifa na kwa taasisi husika lakini unakutana na urasimu ambao sio wa ulimwengu huu. 1. kuna kududu mtu anaitwa NEMC 2. Kuna...
  12. Knock life

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli mtu mweusi alipata laana badala ya kuchungulia utupu wa Baba yake ?

    Je ni kweli mtu mweusi alipata laana baada ya kuchungulia utupu wa Baba yake ? Ukweli ni upi maana duniani kote mtu mweusi anachapika hatari.
  13. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Laana ya Juma Mgunda imemtafuna Ally Kamwe

    Kuna tetesi kwamba Kamwe amepigwa ban ya miaka miwili. Nakubaliana na ban na yeyote anayeketa ujinga ujinga unaofanana na huyo apigwe na kitu kizito. Niwakumbushe tu huyu bwana mdogo aliwahi kumdhalilisha Juma Mgunda. Akasema kati ya Mgunda na Andazi, yeye anachagua andazi. Viongozi wa timu...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Watu Wanatembea na Laana Mwilini bila Kujua

    Watu Wanatembea na Laana Mwilini bila Kujua Laana ni Nini Laana ni bahati mbaya au maneno mabaya ya maapizo yanayotamkwa kumuelekea mtu fulani yeye mwenyewe au kitu fulani kinachomuhusu, kwa makusudi ya kumdhuru mtu huyo au kitu kinachomuhusu. Kwa mfano, kazi, shamba, watoto, masomo n.k. Laana...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Kuna kampuni zina laana, Hakuna mwajiriwa katoboa, Pesa haikai, matatizo kila kukicha

    Kuna kampuni zingine unaweza kudhani zina laana. Unakuta hakuna waajiriwa waliopiga hatua, wapo wenye hali zinazozidi kuwa mbaya, wenye nafuu wapo pale pale walipoanzia. Yani unakuta kila alieajiriwa kawa kama mtumwa, shida hazikauki, nuksi kama zote, kufupista story sahau kuhusu maendeleo...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Hali ya jua kali ulipo ikoje? TMA utabiri ukoje?

    Jua linawaka sana huku mikoani. Nadhani kuna sehemu kuna angalau mvua kidogo. Tupeane taarifa, One can shift from one region to another to look for agricultural opportunities Sehemu ambazo hata tone hakuna 1. Mwambao wote wa Bahari ya Hindi
  17. J

    JamiiForums Tanzania Laana Inatajwa Sana. Ni kitu Gani? Fuatana nami uifahamu tafsiri yake

    Laana Inatajwa Sana. Ni kitu Gani. Neno laana liko kwa namna mbili, kibiblia. Aina ya kwanza, ni kupoteza sifa ya kukubaliwa na Mungu kwa jambo lolote lile. Na hii chanzo chake ni lile anguko la mwanadamu tangu mwanzo. Aina ya pili, ni apizo alitoalo mwanadamu kwa mwenzake, au alitoalo Mungu...
  18. Nyamwage

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dhambi alioifanya mzee 2002 karma naitumikia mimi leo

    Hi? Mzee wangu alikula mke wa jirani yetu mapenzi yalipowanogea kamtoa kwa mumewe na kwenda kumpangia gest house jamaa alipogundua akawafata kwa lengo la kufumania na kumkataza mzee aachane na mkewe jama alipofika eneo la tukio alipigwa sana na mzee ngumi za kutosha ikabidi jamaa akimbie baada...
  19. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Ijue Roho ya Behemoth/laana ya kupoteza kila kitu cha thamani maishani mwako

    Behemoth ni kiumbe wa KIROHO mwenye sifa ya ulafi na anakula kila kitu pasipo kukoma. Anakula watoto wakiwa tumboni, unashangaa mimba zinatoka bila ya sababu yoyote, unazaa watoto wanakufa vifo vya mapema (pre mature death) etc. Kwenye maandiko ya Biblia, kitabu kitakatifu cha Wakristo...
  20. kwisha

    JamiiForums Tanzania DRC nchi iliyobarikiwa utajiri wa asili ikapewa laana ya viongozi

    Katika nchi ambayo inachekesha na kuumiza ni DRC Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (RDC) ina rasilimali nyingi za asili, ambazo ni muhimu kwa uchumi wa nchi na pia kwa dunia. Baadhi ya rasilimali muhimu ni: 1. Madini: Cobalt: RDC ni mtayarishaji mkuu wa cobalt duniani, ambao ni muhimu kwa...
Back
Top Bottom