kuunganisha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania Huu ni mtindo wa kuunganisha kenchi kutumia vyuma kama hawa mafundi huko Zimbabwe unatumika sana hapa?

    Hawa ni mafundi wanatayarisha kenchi kwa kutumia "truss plates" huko Zimbabwe kijijini.
  2. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Wenje, utetezi wako kwenye interview na Prince Aloys Nyanda unatufanya wadadisi tuunganishe dots

    Mara paap ghafula bin vuu unakutana na Abdul ,mtoto wa Rais somewhere kwenye function tusikokujua sisi watazamaji kufumba na kufumbua ukataladadi umekaa na kijana amevaa kanzu.wewe Wenje mara kutambulishana unagundua ni Abdul mtoto wa Raisi wa jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Hee na namba...
  3. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kuunganisha bluetooth ya simu!

    Leo 𝘯𝘪𝘮𝘦𝘦𝘯𝘥𝘢 𝘤𝘩𝘰𝘰𝘯𝘪 𝘳𝘢𝘧𝘪𝘬𝘪 𝘺𝘢𝘯𝘨𝘶 𝘢𝘬𝘢𝘯𝘪𝘵𝘶𝘮𝘪𝘢 𝘷𝘪𝘥𝘦𝘰 𝘺𝘢 𝘹𝘹𝘹 𝘕𝘪𝘬𝘢 � 𝘱𝘭𝘢𝘺 𝘯𝘢𝘰𝘯𝘢 𝘏𝘢𝘪𝘯𝘢 𝘴𝘢𝘶𝘵i 𝘪𝘬𝘢𝘯i𝘣𝘪𝘥𝘪 𝘯𝘪𝘰𝘯𝘨𝘦𝘻𝘦 𝘴𝘢𝘶𝘵i 𝘏𝘢𝘥𝘪 100 𝘭a𝘬i𝘯i 𝘣𝘢𝘥𝘰 𝘏𝘢𝘪𝘯𝘢 𝘴𝘢𝘶𝘵𝘪.., 𝘯𝘥i𝘰 𝘯𝘪𝘬𝘢𝘬𝘶𝘮𝘣𝘶𝘬𝘢 𝘬𝘪𝘱𝘪𝘯𝘥𝘪 𝘯𝘢𝘵𝘰𝘬𝘢 𝘴𝘦𝘣𝘶𝘭𝘦𝘯𝘪 𝘯𝘪𝘭𝘪𝘬𝘶𝘸𝘢 𝘯𝘪𝘮𝘦𝘶𝘯𝘨𝘢𝘯𝘪𝘴𝘩𝘢 𝘣𝘭𝘰𝘰𝘵𝘰𝘵𝘩 𝘯𝘢 𝘴𝘪𝘮𝘶 𝘺𝘢𝘯𝘨𝘶.. 𝘩𝘢𝘭𝘢𝘧𝘶 𝘴𝘦𝘣𝘶𝘭𝘦𝘯𝘪 𝘬𝘶𝘭𝘪𝘬𝘶𝘸a 𝘒𝘶𝘯𝘢 𝘸𝘢𝘨𝘦𝘯𝘪 𝘩𝘪𝘷𝘰 𝘴𝘪𝘫𝘢𝘳𝘶𝘥i 𝘯𝘺𝘶𝘮𝘣𝘢𝘯i...
  4. herrera

    JamiiForums Tanzania Msaada namna ya kuunganisha sound bar

    Jamani naombeni msaada namna ya kuunganisha sauti ya kwenye tv niwe naisikia kupitia sound bar
  5. STUKA M1

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kuunganisha Simu na TV ambayo haina Casting?

    Wakuu, nina TV yangu nch 32 ya kampuni ya Mysol ambayo ina uwezo wa kupokea camcard ya king'amuzi chochote bila shida. Sasa changamoto ninayoipata ni kutokuwa na casting option ili niweze kuunganisha na simu yangu moja kwa moja, maana Nina link zinazo niwezesha kustream mechi za ligi mbalimbali...
  6. M

    JamiiForums Tanzania SoC04 Fedha za HESLB kuunganisha na mfumo wa NSSF

    Jambo hili huweza kusaidia Kwa namba moja au nyingine katika kujikwamua kimaisha mara baada ya masomo hivyo Kwa Tanzania tuitakayo Kwa kipindi Cha miaka 5 Hadi 25 jambo hili linaweza kuwa chachu ya mabadiliko miongoni mwa wanamabadiliko.
  7. Kinyungu

    JamiiForums Tanzania Google Watangaza kujenga Mkonga wa Internet kuunganisha Africa na Australia. Tanzania haimo

    Wakuu nisiwachoshe.. habari ndiyo hiyo... Kufuatia ziara ya Ruto huko USA, Google wametangaza kujenga mkonga wa Internet toka Kenya kupitia Uganda, Rwanda, DRC, Zambia, Zimbabwe na South Africa hadi Australia huku Tanzania ikiwekwa kando. --- Today, Google announced new investments in digital...
  8. Limbu Nation

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Rebar Coupler: Teknolojia mpya ya kuunganisha nondo ukiwa site ili kupunguza matumizi ya nondo

    Rebar coupler, ni aina mpya ya uunganishaji wa nondo za nguzo (column) au nondo za beam au za retaining walls wakati wa zoezi la ufungaji wa chuma (usukaji wa nondo). Aina hii hutumiwa zaidi na wachina katika shughuli ya ujenzi. Mfano katika ujenzi wa bwawa umeme la mwalimu Nyerere (JNN)...
  9. U

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ndani ya ya Gari lililounganishwa Kiwanda kipya cha Kuunganisha Malori kigamboni

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa ndani ya mojawapo ya Gari lililounganishwa katika Kiwanda cha Kuunganisha Malori na Matipa cha Saturn Corporation Limited kilichopo Kigamboni Jijini Dar es Salaam tarehe 09 Mei, 2024.
  10. Janeth Thomson Mwambije

    JamiiForums Tanzania Ushiriki kwenye uzinduzi wa kiwanda cha kuunganisha malori na tipa

    09/Mei/2024 Nilifanikiwa Kushiriki Katika Uzinduzi wa Kiwanda cha Malori Na Tipa, Kinachoitwa, "Saturn Corporation Limited", Kilichopo Wilaya Ya Kigamboni. Mgeni Rasmi Katika Uzinduzi Huo wa Kiwanda, Alikuwa, Mheshimiwa Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Ambaye Aliwaelekeza Wenye Kiwanda...
  11. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ikitokea Wapinzani wamekubaliana kuunganisha nguvu uchaguzi mkuu ujao, nani apeperushe bendera yao Urais 2025

    Kwa hali ya kisiasa ilivyo hivi sasa nchini, ni dhahiri mgombea urais wa chama Tawala yuko bayana na anafahamika kwa wanainchi na waTanzania wote kwa ujumla, ni suala la muda tu waamue... Kizungumkuti na kasumba iko upinzani, kwa mfano tuliona majuzi kabla ya uchaguzi hapo DRC, wapinzani mara...
  12. Afisa Mteule Drj 2

    JamiiForums Tanzania NItumie waya wa milimita ngapi kuunganisha mota yenye 22Kw kutoka kwenye MCB

    Ni waya gani sahihi wa kuunganisha mota kutoka kwenye mcb pia nataka kujua huu waya kwenye picha hapa chini ni milimita ngapi
  13. C

    JamiiForums Tanzania Ni lini serikali itaingilia kati huu wizi wa mitandao ya simu kuunganisha watu kwenye huduma wasizohitaji?

    Ni Jambo linakwaza sana. Unanunua vocha kujiunga na kifurushi unachopenda mara unapata ujumbe kuwa Salio lako halitoshi. Unafuatilia unaambiwa umejiunga na huduma za kidijitali kama vile "afya call" ,"Tikisa ushinde" n.k. Huna taarifa na huduma hizo,hujui umejiungaje na wala hujui zinahusu...
  14. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Wasomi tusaidieni kuunganisha mashirika ya ndege Afrika

    Wataalamu wasomi na wanamajumui kwa kuweka ubinafsi kando na uafrika mbele, hili jambo kama si leo ni siku zijazo laweza leta mapinduzi chanya katika kujikwamua na kuamsha shughuli nyingi za kiuchumi kijamii kiafya n.k. Hebu wasomi tusaidieni tufanyaje? Zingatia kama sio fitna leo East Africa...
  15. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Serikali Kujenga Barabara na Daraja la Zege Ruvuma Kuunganisha Tanzania na Msumbiji

    SERIKALI KUJENGA BARABARA NA DARAJA LA ZEGE - RUVUMA, KUUNGANISHA TANZANIA NA MSUMBIJI. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali ipo katika hatua za mwisho ya kusiani mkataba na kumtangaza Mkandarasi atayejenga barabara ya Likuyufusi - Mkenda (km 122) sehemu ya kwanza Likuyufusi -...
  16. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Kiongozi wako wa dini hatakiwi kuunganisha ukaribu wako na MUNGU, hilo ni jukumu lako

    Kwenye safari ya kwenda mbinguni, hata mchungaji wangu simuamini. Simuamini kila mtu anayesema BWANA BWANA BWANA. Ishu ya kwenda mbinguni ipo ndefu sana. Nawakumbusheni, hao wachungaji, mashehe ni binadamu kama wewe, wanakwenda chooni, wanakula, wanakasirika, wanafanya dhambi na kadhalika...
  17. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Taasisi au Mawakala wa uhakika wa kuunganisha kazi nje ya nchi (Ulaya/ Marekani/ Kanada)

    Habari ndugu zangu wa JamiiForum, naomba kujua ni taasisi gani, au mtu gani wa uhakika wa kuniunganisha na kazi za nje ya nchi kwa gharama nafuu, natamani ningepata kazi katika nchi za ULAYA, MAREKANI AU CANADA sipendelei kabisa nchi za ASIA, Kama unajuana na mtu wa uhakika isiwe ya...
  18. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Serikali Yajenga Daraja Kuunganisha Vijiji Vinne Meatu, Simiyu.

    SERIKALI YAJENGA DARAJA KUUNGANISHA VIJIJI VINNE MEATU, SIMIYU Serikali Kupitia Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini (TARURA) imetoa kiasi cha shilingi Mil. 197 kwa ajili ya kujenga daraja la Mto Makomangwa linalounganisha vijiji vinne vya wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu. Awali wananchi...
  19. A

    JamiiForums Tanzania Mpango wa kujenga canal kupitia Israel kuunganisha Nagari ya Hindi na Mediterranean

    https://indianexpress.com/article/explained/explained-global/ben-gurion-canal-suez-israel-9021520/
  20. Kurunzi

    JamiiForums Tanzania Sasa ni wakati Sahihi wa Simba na Yanga Kuunganisha Silaha, Kupambana na Waarabu

    Miaka ya hivi karibu timu zetu hizi mbili zimekuwa kwenye kiwango angalau kinachoridhisha kwenye michuano ya kimataifa. Pamoja na mafanikio hayo tumejikuta Usimba na Uyanga unatupumbaza kiasi ambacho tunashindwa kungamua kuwa mshindani wetu mkuu kwenye soka kwa sasa ni mwarabu pekee. Sasa ni...
Back
Top Bottom