kutisha

Kutisha (Russian: Кутиша) is a rural locality (a selo) in Levashinsky District, Republic of Dagestan, Russia. The population was 1,922 as of 2010. There are 22 streets.

View More On Wikipedia.org
  1. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Sakata la Ibraah na Harmo: Tuhuma mpya za kutisha

    ✍️ #Ibraah “Sito kusifu roho mbaya na wala sito kutangazia mabaya yako na ndio mana hata waandishi wa habari na wakwepa mana sitamani kuona unaandikwa vibaya kwenye mitandao ya kijamii wewe ni Kiyoo ila chenye ukungu lakini pia ninacho amini msaada wako katika maisha yangu ni mkubwa umeni saidia...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mpasuko na mgawanyiko wa kutisha wa CCM umewadia mwaka huu

    Hayawi hayawi sasa yamekua ilikuwa usiku,sasa imekua mchana,ilikuwa jana sasa imekuwa leo ,CCM muda wake umewadia wa kusambaratika vipande vipande kupitia viashiria vifuatavyo: 1. Migogoro ya ndani ya chama (internal wrangles) Viongozi kugawanyika waziwazi mbele ya umma. Kauli zinazokinzana...
  3. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Matukio saba (7) ya kutisha yaliyotokea baada ya Yesu kusulubiwa msalabani

    Matukio saba ya kutisha yaliyotokea baada ya Yesu kusulubiwa saa sita mchana huko Goligota. 1. Giza Kutanda Mchana (Saa Sita hadi Saa Tisa) Katika Injili ya Marko 15:33 na Mathayo 27:45, inasemekana kuwa giza kuu lilitanda juu ya nchi yote kuanzia saa sita hadi saa tisa (saa 12:00 – 3:00...
  4. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Hii ndo movie kali ya kutisha kaitizame

    MOVIE KALI YA KUTISHA 🔥🔥 Mtoto wa AJABU movie Kali ya kutisha Sio kila mtoto wa kuishi naye wengine ni majini wazazi walijuta kwanini walimuokota huyu mtoto 🔥🔥🔥 Hii movie usipokimbia basi wewe Bingwa 😂😂 https://youtu.be/98pBUiOomKc
  5. Faana

    JamiiForums Tanzania Vitu 10 Vya Kutisha Kuhusu Ndege Ambavyo Vitakufanya Ujisikie Wasiwasi

    Vitu 10 Vya Kutisha Kuhusu Ndege Ambavyo Vitakufanya Ujisikie Wasiwasi Hata Kama Wewe ni Mwingiliaji Hodari Unachojua huenda kikayumbisha meza yako ya chakula... Ndege ni salama kimasafa—lakini nyuma ya pazia, ulimwengu wa anga unaficha ukweli wa kutisha. Hapa kuna mambo 10 ya kutisha ambayo...
  6. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wanawake mnajua kabisa mna mioyo miepesi kwanini huwa ni wa kwanza kukimbilia kwenye matukio ya kutisha na kuongofya?

    Hii nayo iwekwe kwenye maajabu ya wanawake.Hawa viumbe hawasomeki kabisa.... Wanawake bana likitokoea tukio hasa ajari wanakuwa wa kwanza kufika pale na huwakuti wanatoa msaada bali vilio tu utasikia Oooooh mungu wangu jamani hadi mkono umekatika jamaniiii jamaniiiii na wengine wakilia kwa...
  7. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Uongo wa kutisha wafugaji hudanganyana kuhusu ufugaji wa kuku (3 itakuvunja mbavu)

    1.Kuku wa nyama (broilers) ni GMO🧬 au wamechomwa homoni!💉: Wengi wanadhani kuku wa nyama (Broiler) wametengenezwa maabara au wanachomwa hormone zinazowafanya waongezeke uzito ndani ya muda mfupi lakini SI KWELI ! Ukuaji wao wa haraka unatokana na uchaguzi wa vizazi bora (selective breeding) kwa...
  8. and 100 others

    JamiiForums Tanzania 26 Oktoba 2024, Usiku Wa Kutisha na Usiosahaulika Kwa Marubani Wa Jeshi La Israel

    Hii ni siku ambayo jeshi la Israel waliamua kwenda kufanya mashambulizi ya anga nchini Iran kama kulipiza kisasi baada ya mashambulizi yaliyofuatana ambayo Iran iliita 'true promise one' na 'true promise two'. Naomba nisielezee sana huko, story itakuwa ndefu, ningependa niende kwenye mada moja...
  9. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Picha X-rays kali za kutisha ambazo ni ngumu kuamini

    Maisha ni safari ya ajabu, Hizi picha hapa chini sio za kuchora, ni matukio halisi yaliyotokea. 1. Mwaka 2020, msichana mmoja alipata ajali mbaya akiwa ndani ya gari huku miguu yake ikiwa juu ya dashboard. Ajali ilipotokea, mguu wake ulisukumwa kwenda nyuma vibaya na hii ni picha ya X-ray...
  10. A

    JamiiForums Tanzania NAUZA HADITHI ZA SIMULIZI, MIKASA NA ZA KUTISHA.

    Wadau hadithi hizo ni zangu na kila moja ukitaka full unatuma 1500. Nifuate DM
  11. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Nilisahau kupost hii au Mods wameondoa? Video matukio ya kutisha Morocco

    SIJAJUA KAMA NLIPOST HALAFU KUNA MODERATOR HAKUPENDA AU NILISAHAU KUPOST. ILA NITASHANGAA COZ HABARI IPO NA VIDEO IPO. MASLAHI YA NANI YAMEGUSWA HAPA? https://africabriefing.com/shocking-abuse-of-black-migrants-in-morocco/
  12. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya kutisha kwa wakristo na alawite wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Assad huko Syria

    Huko Syria mauaji ya kutisha sana yanaendeshwa na askari wa utawala mpya kwa Wakristo na Alawite wanaotuhumiwa kuwa walikuwa wafuasi wa rais Assad aliyepinduliwa. Wakati mauaji haya ya kutisha yakiendelea huko Syria ulimwengu umeshikwa na kigugumizi na hatimaye kupotosha waziwazi Kuhusu mauaji...
  13. Inside10

    JamiiForums Tanzania Video: Kijana afunguka alivyofanyiwa ukatili wa kutisha na mwenyekiti wa kijiji Uleling'ombe, kilosa

    Tazama video inasikitisha sana... Yapo baadhi ya mambo ukiyasikia unaweza kudhani pengine uko ndotoni! Siku kadhaa zilizopita, liliripotiwa tukio la kushangaza, kustaajabisha, na kuhuzunisha kuhusu vijana wawili wanaodaiwa kufanyiwa ukatili wa kutisha na Mwenyekiti wa Kijiji cha Uleling'ombe...
  14. U

    JamiiForums Tanzania Utapeli wa mpaka sekta ya michezo Colombia

    Mbona kwenye ile nchi ya Colombia utapeli na kutojali ni kama vile sehemu ya maisha karibu kila nyanja? Kwa mfano, mtu ametoka jimbo moja kwenda jimbo lingine kutazama mechi ya dabi, amekata tiketi ya kutazama, mwisho wa siku mechi inahairishwa. Huu ni utapeli kama utapeli mwingine kwa sababu...
  15. Xav Emmanuel

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: KANGA SEASON 01

    HADITHI FUPI - S01E01 "KANGA" - [Rudisha Kwa Mhusika] Mtunzi. Xavery Luoga (Mkandarasi) Na. +255672493994 ___________________ Atuganile Chamse, mrembo aliyeshindana na mumewe kwa muda mrefu, muda huu alikua anamalizia kupanga vitu vyake kwaajili ya kumkimbia huyo mumewe. Safari yake ya siri...
  16. Mobutu JR

    JamiiForums Tanzania Picha maalumu za mihangaiko uchakalikaji na pilika kazini

    Tupia picha yeyote inayoonesha ukichakalika kazini iwe mgodini,dukani,sokoni,ukichunga mifugo,au popote pale karibunipicha: shamba la tumbaku katika moja ya kata mkoani tabora
  17. Setfree

    JamiiForums Tanzania Matukio ya Kutisha na Habari za Ajabu na za Kushangaza Kuhusu Biblia

    Biblia Imenusurika Mara Nyingi Kuangamizwa – Wakati wa utawala wa Diocletian watu walikatazwa kutumia Biblia. Nakala zake zilichomwa, na waliomiliki waliuawa. Licha ya mateso hayo, Biblia ilizidi kuenea. Biblia Imekuwa Kitabu Kinachouzwa Sana Duniani – Licha ya kupingwa sana, Biblia inashikilia...
  18. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Kuna upigaji wa fedha wa kutisha miradi ya Viwanja vya michezo Tanzania.

    Nchini Kyrgyzstan Serikali ya nchi hiyo inajenga uwanja wa kisasa kweli wa michezo wenye uwezo wa kuchukua watu 45,000 kwa gharama za Dola Milioni 60 tu za Marekani sawa na shilingi Bilioni 154 za Kitanzania. Huko Arusha Serikali ya CCM wanajenga uwanja wa michezo wenye uwezo wa kuchukua watu...
  19. eden kimario

    JamiiForums Tanzania Serikali ya CCM: Punguzeni gharama za Mafuta ya Kupikia, bei zinapanda kwa kasi!

    Hivi, serikali inayowajali watu inaowaongoza na kuwasimamia, kweli inakosa mbinu za kuhakikisha bidhaa muhimu kama mafuta ya kupikia inashuka bei ili kupunguza gharama za maisha? Sababu kuu ya kupanda kwa gharama za vyakula mitaani ni mafuta ya kupikia kuwa juu mno. Kwa mfano, maeneo ya mama...
  20. D

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna collaboration duo iliwahi kutisha kuliko ya Ja Rule na Ashanti?

    Aisee leo wakati nikipita mitaa ya Youtube nikakutana na ngoma ya always on time, nikajikuta nasikiliza collabo karibu zote za Ashanti na Ja Rule. Aisee zimenirudisha mbali sana nikiwa primary hizi ngoma nasikiliza sana hata sielewi wanaimba nini. Kweli wakati ukuta, Ja Rule alikuwa at the peak...
Back
Top Bottom