kutapeliwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Heaven Seeker

    Jinsi nilivyotaka kutapeliwa kwenye Cryptocurrency: Chukua tahadhari, itakusaidia

    Wakuu Amani iwe kwenu.! Kwanza kabisa, ieleweke wazi kuwa sipo hapa kupinga kuhusu Crypto-Currency trading, Forex Trading na jamii zote za mambo kama haya. Mie mwenyewe naendelea kujifunza ili nijue kwa undani na huenda siku moja nikawa expert wa hizi mambo. Lengo kubwa ni ku-share utapeli...
  2. Heaven Seeker

    Jinsi nilivyotaka kutapeliwa kwenye Crypto-Currency: Chukua Tahadhari, itakusaidia

    Wakuu, Kwanza kabisa, ieleweke wazi kuwa sipo hapa kupinga kuhusu Crypto-Currency trading, Forex Trading na jamii zote za mambo kama haya. Mie mwenyewe naendelea kujifunza ili nijue kwa undani na huenda siku moja nikawa expert wa hizi mambo. Lengo kubwa ni ku-share utapeli niliokumbana nao kwa...
  3. ommytk

    Uzi kwa tuliowahi kutapeliwa au kuibiwa.ebu tuje hapa tukumbuke.mimi nakumbuka kko niliuziwa matambala

    Matapeli au wezi ni watu wenye akili sana kwenye kazi yao mimi nakumbuka kwenye miaka 90 hivi nilienda kko kununua nguo sikukuu basi nikakuta suruali nzuri ya kitambaa jamaa kaishika anauza nikaipenda akanipa bei basi natoa hela akawa anafunga kwenye mfuko karatasi zamani ilikuwa mifuko karatasi...
  4. Mung Chris

    TBC na aliye watuma kuleta story ya siku nyingi ya mstaafu kutapeliwa sio hekima

    Jana TBC wameleta story ya Mwalimu mstaafu kutapeliwa, hii story ya mafao ya huyu mama Kulipwa sio ya leo, kwanini msilete sotry ya hivi karibuni, yote haya mnayaleta kuhadaa watu kwamba wastaafu wanalipwa mafao yao na wanatapeliwa hili ameshalizungumzia Msemaji wa serikali mwezi jana tukamkosoa...
  5. instagram

    Jinsi nilivyonusurika kutapeliwa iPhone yangu

    Ilikuwa 2010 enzi hizo ninauza iphone 3 Gs yangu kupitia mtandao wa gazeti la Advertising Dar, jamaa moja kapiga simu anadai yeye anafanya kazi Barclays Mbeya yupo likizo Dar. Sharp tukapatana bei laki sita basi jamaa tumepanga tukutane Mwenge. Kufika mwenge jamaa katokea na teksi akadai twende...
  6. CHIEF MGALULA

    Nitajuaje kama ni Afisa wa TAKUKURU au anataka kuniibia?

    Ndg, mimi ni mtumishi wa Umma kwenye taasisi nyeti hapa Dar, hata hivyo juzi nilipigiwa simu na mtu aliejitambulisha yupo Dodoma. Akinitaka nifike ofisini kwao kesho kutwa yake kwa ajili ya mahojiano, nikakubali ila baadae nikamwambia naomba anitumie barua ya wito kupitia kwa mwajiri wangu...
  7. OGTV

    MASWALI NA MAJIBU: Msimu wa Diversity Visa ya Marekani kwa mwaka 2023, Epuka kutapeliwa

    Video kuhusu taarifa sahihi, Maswali na Majibu kuhusu viza hii . Epuka kutapeliwa; kumbuka hakuna ada yeyote inayotozwa kwa kutuma maombi yako. https://dvprogram.state.gov/. #DiversityVisa American Diversity Visa Season for the year 2023 Accurate information, Questions and Answers about...
  8. Kasomi

    Ushawahi Kutapeliwa?

    Siku moja nilielekea Dar es Salaam, nilipofika kituo cha basi wakati huo ni Ubungo Bus Terminal akatokea kijana Msamaria mwema kabisa akaniomba Begi langu Anisaidie na mimi nikampatia. Ila kwa kweli ni uzembe wangu kabisa maana yule kijana alikuwa anawahi Harafu mimi hata sikumwambia naelekea...
  9. Poppy Hatonn

    Vijana zaidi ya 500 wamekutwa wamehifadhiwa sehemu mbalimbali Mkoa wa Kilimanjaro wakifanya mafunzo yasiyojulikana

    Hawa vijana wana umri, kati ya miaka 18 na miaka 20. Mkuu wa Mkoa amewaagiza,amewaamuru warudi mikoa walikotoka. Swali langu ni kwamba,kwa nini. Radia One wakubali kutangaza habari za namna hii,kwa nini wakubali kutangaza habari kwa staili hii. Mafunzo yasiyojikana ndio mafunzo gani? ----...
  10. F

    Nilitapeliwa nikinunua tarakilishi

    Nikiwa dar nilikutana na mtu anauza tarakilishi alinionyeha ikiwa ndani ya mfuko na akaniharakisha ili tusishikwe na polisi.Aliitisha laki moja pekee. Kufika nyumbani nilipata nimeuziwa tarakilishi ambayo haifanyi kazi ya zamani
  11. ndenjii handsome

    Nimedhulumiwa/ kutapeliwa na tajiri na sioni pa kumpeleka

    Husika na mada hapo juu, Katika harakati za utafutaji nikajikuta nimeuvaa umilionea wa ghafla msishangae jamani mambo ya machimbo, basi nilivyoipata hela nikakimbilia kununua malori ya mizigo aina ya Volvo kama sita hivi nikiwa mchanga kwenye ishu za magari. Mungu sio John nikapata tenda...
Back
Top Bottom