hii ni nini kwanzatarakilishi
Kwann haitumiki ya zaman?Nikiwa dar nilikutana na mtu anauza tarakilishi alinionyeha ikiwa ndani ya mfuko na akaniharakisha ili tusishikwe na polisi.Aliitisha laki moja pekee. Kufika nyumbani nilipata nimeuziwa tarakilishi ambayo haifanyi kazi ya zamani
ni mali ya wizibei uliyonunua na kitu ulichokipata vinafanana kabisa..
Halafu kwa nini uogope police
Nilifeli kiswahili TARAKILISHI,,Ndio niniNikiwa dar nilikutana na mtu anauza tarakilishi alinionyeha ikiwa ndani ya mfuko na akaniharakisha ili tusishikwe na polisi.Aliitisha laki moja pekee. Kufika nyumbani nilipata nimeuziwa tarakilishi ambayo haifanyi kazi ya zamani
Computerhii ni nini kwanza
Kuna vitu vinafanyika kwa miaka na miaka na bado watu wanaendelea kulizwa. Kweli mjini shule.Yaani laptop ya laki!
Ujinga bado ni mwingi sana nchi hiiYaani laptop ya laki!