Humphrey Polepole ameendelea na msimamo wake wa kueleza ni kwa namna gani utaratibu wa kupata mgombea wa Urais kupitia chama hicho ulivyokiukwa.
Polepole amehoji kuwa waliobadili gia angani na kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea, Je aliwaambia kama anataka Urais? aliwahi kutamka?
Amehoji pia je...