Akihojiwa na DW amesikika Dkt Slaa:
"Alipokamatwa akishtakiwa kwa uhaini alijiandaa kwa kifungo cha maisha na hata kunyongwa.".
Ameendelea Slaa: "kutamka au kuwaondoa wasiowasikiliza wananchi hakuwezi kuwa uhaini",
Kwamba hilo ni kwa mujibu wa Katiba yenyewe.
Tusiogope waungwana kula na mtu sahani moja ni kwa mujibu wa katiba hii hii.
"Alipokamatwa akishtakiwa kwa uhaini alijiandaa kwa kifungo cha maisha na hata kunyongwa.".
Ameendelea Slaa: "kutamka au kuwaondoa wasiowasikiliza wananchi hakuwezi kuwa uhaini",
Kwamba hilo ni kwa mujibu wa Katiba yenyewe.
Tusiogope waungwana kula na mtu sahani moja ni kwa mujibu wa katiba hii hii.