kusoma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. qca ceo

    Mbinu za kusoma advance na kupata ufaulu mzuri

    Jaman brothers naenda kidato cha tano tahasusi ya PMC(Physics, Mathematics, Computer). Natamani kupata division 1.3. Naombeni ushauri wenu na technique za kusoma
  2. Braza Kede

    Ifike pahala vijana wetu waelekezwe kozi za kusoma

    Ndio. Ifike pahala vijana wetu waelekezwe kozi za kwenda kusoma uko vyuoni. Maana maumivu yamekuwa ni mengi wakuu. Zingatia:: Picha hii haina uhusiano wowote na maelezo ya apo juu. Imetokea tu.
  3. Genius Man

    Huu mfumo wa raisi akifa mtu ajitwalie madaraka ya aliye fariki kirahisi tu unaweza kuingiza mtu anayejua kusoma na kuandika tu

    Huu mfumo wa raisi akifa mtu ajitwalie madaraka ya aliye fariki kirahisi tu unaweza kuingiza mtu anayejua kusoma na kuandika tu. Huu mfumo wa kuiba kura na kuwa na tume isiyohuru unaweza kutuingizia watu wanaojua kusoma na kuandika tu. Kwahiyo kwa misingi hii mtegemee nini ? utaona mtu anauza...
  4. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Dudubaya: Katiba imeruhusu kuwa na wabunge wajinga

    Msaani Dudubaya amesemea kwamba Katiba ya nchi imeruhusu mtu akijua kusoma na kuandika anaruhusia kugombea ubunge kitu ambacho kimezalisha wabunge wasiojuwa sheria na katiba. Ukijua kusoma na kuandika darasa la saba uwe ubunge kwa dunia ya sasa kwa sababu ubunge umekuwa ni biashara, jitu...
  5. Dr Adam Francis

    Hivi kujua kusoma na kuandika ndio sifa ya kitaaluma inayomtosha mtu kuwa Mbunge, katika Tanzania ya sasa?

    Tunapofikiria reforms za mifumo yetu ya uchaguzi, sisi kama wananchi ni vyema kwenda mbele zaidi ya agenda ya reform kama zinavyodaiwa na wanasiasa. Si puuzi umuhimu wa hoja za uenguaji wa wagombea, wizi wa kura na utangazaji wa matokeo batili, lakini hata kama yanayolalamikiwa yatabadilika...
  6. kiss ov love

    Kilichonitokea baada ya kusoma thread hii.

    Habari za asubuhi wana jukwaa. Wiki hii katika pita pita zangu humu JF nilikutana na uzi wa @Tuliowahi kuvamiwa na majambazi tukutane hapa sasa mimi na kiherehere changu nikafungua nikaanza kusoma comments za wadau😄 Sasa jana usiku nimelala nikaota tumepanda gari, tukavamiwa na wezi njiani...
  7. Fateema

    Jamani hivi walimu wakuu shule za sekondari huwaga wanapata muda wa kusoma barua zilizo tumwa kupitia S. L. P?

    Au nisipoteze muda wangu? Ushauri wenu tafadhali
  8. N

    Afisa mazingira daraja la ii tunapaswa kusoma wapi angalau kuvuka usaili wa kuandika

    Naomba kujuzwa wapi tusome nafasi ya afisa mazingira daraja la II kwa ailiyewahi kufanya usaili kwenye hii kada
  9. kizeze

    Pata mkopo wa 75% wa kusoma Canada

    Kampuni ya Chenga Ed.Tech inakupatia mkopo wa asilimia 75 ya kusoma nchini Canada 75%Student Loan(No Guarantor or Collateral) 1. Financial Aid 2. Part Time Job 3. Guaranteed Job Placement 4. Permanent Residency 5. Frexible Loab Repayment Contact Number :+1(647)785-6491 or +255 657 783 083...
  10. Mohammed Khatibu

    Mtoto wa miaka 6 haijui kusoma kalenda

    Salam wakuu. Nimekuwa nikimpima huyu kijana wangu mara kwa mara ila nahuzunika kuona hawezi kumaster mtiririko wa masaa na kalenda. Mfano leo nimemjaribu na mazungumzo yakawa hivi; Mimi: "..kwanin hujaenda shule wakati leo jumapili?.." Mtoto: "...leo ni jumatano mwalimu kasema hatuendi shule...
  11. Meja Jenerali Isamuhyo

    Uliwahi kusoma majarida ya FEMA NA Femina?

    Kama umesoma haya majarida enzi hizo, basi ni muda sasa wa kuanza kupunguza kula sukari na chumvi.
  12. F

    Magufuli Pamoja na kuwa Waziri ila watoto wake wote aliwasomesha primary Kayumba. mzee aligoma Jesca kusoma shule za Mabasi ya njano

    Habari wadau. Interview ya mtoto wa magufuli na millard ayo, imeeleza mengi. Binti wa Magufuli amesema baba yao akiwa waziri toka wanazaliwa bado aligoma kabisa watoto wake wote kwenda kuwasomesha kwenye shule za msingi za english medium. Na akawapeleka shule za msingi za Serikali, maarufu...
  13. M

    Natamani kusoma HGE advance, nimemaliza form four mwaka jana, ila sijasoma Economic o level

    Natamani kusoma HGE advance. Nimemaliza form four mwaka jana, ila sijasoma Economic o_level. Hivi itawezekana kuchaguliwa hii combination natamani?
  14. Damaso

    Aviator yampotezea Dismas Tsh Milioni 57 za kwenda kusoma Scholarship Uingereza

    Raia mmoja Mkenya amepoteza zaidi ya KSh2.8 milioni sawa Tsh Milioni 57 kwenye jukwaa la kamari la Aviator, pesa ambazo zilikusudiwa kufadhili masomo yake nchini Uingereza. Dismas Mutai, ambaye alikuwa amejiandikisha katika Chuo Kikuu cha Anglia Ruskin huko **London Uingereza**kwa kozi ya mwaka...
  15. Ojuolegbha

    Fursa ya Kusoma: Master ya Uongozi wa Ubunifu Afrika

    Fursa ya Kusoma: Master ya Uongozi wa Ubunifu Afrika!
  16. Webabu

    Aliyepandikizwa kibanzi cha kusoma akili kwenye ubongo amshukuru Ellon Musk

    Katika miaka ya karibuni watu wamekuwa wakiogopa kuwekewa kifaa maalum kwenye ubongo kwa siri wakihofu kutumika kama mazombi kufanya kazi za mabeberu.Kumbe hiyo teknolojia si rahisi kihivyo. Norland Arbaugh ni miongoni mwa watu wa mwanzo kukubali kufanyiwa majaribio hayo kufuatia kupooza mwili...
  17. Pascal Mayalla

    Hakuna Ubishi Kuhusu Wasomi Kusoma VETA!, Kila Msomi Anayeendesha Gari, Udereva ni Ujuzi wa VETA, Hivyo Hakuna Ajabu Wasomi Kusoma VETA!.

    Wanabodi, Hii ni makala yangu katika gazeti la Nipashe la leo. Paskali
  18. Pascal Mayalla

    Watanzania tujifunze kuukubali Ukweli hata uwe Mchungu Vipi. Hili la Wasomi kusoma VETA japo Chungu, ndio Ukweli Wenyewe!

    Wanabodi kwa wiki hii nzima,nimekuwa nikishinda ukumbi wa JNICC,kwenye maadhimisho ya miaka 30 ya VETA, tumamaliza jana,nikajua shauri ya uchovu nitalala fofofo,kumbe wapi!usingizi umekata hivyo nimeshuka jf。 Huu mjadala wa wasomi wa chuo kikuu kusoma VETA,ni mjadala muhimu,na umekuja wakati...
  19. ELI COHEN

    Hivi kwanini Waafrika wengi hatuja evolve katika kutafuta refreshment kirahisi kwa kusoma vitabu, walking therapy, MDT, etc bali ni mitungi na mikasi

    Au labda sio asili yetu? Au labda basi tunachukulia poa? Au basi tu utamaduni huu haujakuwa channeled katika jamii zetu? Simaanishi kuwa wazungu hawapigi mitungi na mikasi, ila wengi wao wame evolve kuburudisha nafsi na mwili kwa kufanya utalii, meditation, vitabu vya furaha, beach walking etc...
  20. Pascal Mayalla

    Hoja ya Wasomi Kusoma VETA, Japo ni Hoja Chungu, Ndio Ukweli Wenyewe Kama Kidonge Kichungu, Ndicho Kinachotibu Homa!. VETA Ndio Tiba ya Joblessness!

    Wanabodi, Hii hoja ya wasomi wahitimu wa vyuo vikuu kwenda kusoma VETA. Shuhudia hizi Testimonials.... https://youtu.be/Rzr6coD9ihs?si=ZKYzt1V9FZFITszQ kauli ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa, kuwa wahitimu wa Chuo Kikuu, wakasome VETA, imepokelewa kwa hisia tofauti, zenye sintofahamu...
Back
Top Bottom