Jaman brothers naenda kidato cha tano tahasusi ya PMC(Physics, Mathematics, Computer). Natamani kupata division 1.3. Naombeni ushauri wenu na technique za kusoma
Ndio. Ifike pahala vijana wetu waelekezwe kozi za kwenda kusoma uko vyuoni.
Maana maumivu yamekuwa ni mengi wakuu.
Zingatia:: Picha hii haina uhusiano wowote na maelezo ya apo juu. Imetokea tu.
Huu mfumo wa raisi akifa mtu ajitwalie madaraka ya aliye fariki kirahisi tu unaweza kuingiza mtu anayejua kusoma na kuandika tu.
Huu mfumo wa kuiba kura na kuwa na tume isiyohuru unaweza kutuingizia watu wanaojua kusoma na kuandika tu.
Kwahiyo kwa misingi hii mtegemee nini ? utaona mtu anauza...
Msaani Dudubaya amesemea kwamba Katiba ya nchi imeruhusu mtu akijua kusoma na kuandika anaruhusia kugombea ubunge kitu ambacho kimezalisha wabunge wasiojuwa sheria na katiba.
Ukijua kusoma na kuandika darasa la saba uwe ubunge kwa dunia ya sasa kwa sababu ubunge umekuwa ni biashara, jitu...
Tunapofikiria reforms za mifumo yetu ya uchaguzi, sisi kama wananchi ni vyema kwenda mbele zaidi ya agenda ya reform kama zinavyodaiwa na wanasiasa. Si puuzi umuhimu wa hoja za uenguaji wa wagombea, wizi wa kura na utangazaji wa matokeo batili, lakini hata kama yanayolalamikiwa yatabadilika...
Habari za asubuhi wana jukwaa.
Wiki hii katika pita pita zangu humu JF nilikutana na uzi wa @Tuliowahi kuvamiwa na majambazi tukutane hapa sasa mimi na kiherehere changu nikafungua nikaanza kusoma comments za wadau😄
Sasa jana usiku nimelala nikaota tumepanda gari, tukavamiwa na wezi njiani...
Kampuni ya Chenga Ed.Tech inakupatia mkopo wa asilimia 75 ya kusoma nchini Canada
75%Student Loan(No Guarantor or Collateral)
1. Financial Aid
2. Part Time Job
3. Guaranteed Job Placement
4. Permanent Residency
5. Frexible Loab Repayment
Contact Number :+1(647)785-6491 or +255 657 783 083...
Salam wakuu.
Nimekuwa nikimpima huyu kijana wangu mara kwa mara ila nahuzunika kuona hawezi kumaster mtiririko wa masaa na kalenda.
Mfano leo nimemjaribu na mazungumzo yakawa hivi;
Mimi: "..kwanin hujaenda shule wakati leo jumapili?.."
Mtoto: "...leo ni jumatano mwalimu kasema hatuendi shule...
Habari wadau.
Interview ya mtoto wa magufuli na millard ayo, imeeleza mengi.
Binti wa Magufuli amesema baba yao akiwa waziri toka wanazaliwa bado aligoma kabisa watoto wake wote kwenda kuwasomesha kwenye shule za msingi za english medium. Na akawapeleka shule za msingi za Serikali, maarufu...
Raia mmoja Mkenya amepoteza zaidi ya KSh2.8 milioni sawa Tsh Milioni 57 kwenye jukwaa la kamari la Aviator, pesa ambazo zilikusudiwa kufadhili masomo yake nchini Uingereza.
Dismas Mutai, ambaye alikuwa amejiandikisha katika Chuo Kikuu cha Anglia Ruskin huko **London Uingereza**kwa kozi ya mwaka...
Katika miaka ya karibuni watu wamekuwa wakiogopa kuwekewa kifaa maalum kwenye ubongo kwa siri wakihofu kutumika kama mazombi kufanya kazi za mabeberu.Kumbe hiyo teknolojia si rahisi kihivyo.
Norland Arbaugh ni miongoni mwa watu wa mwanzo kukubali kufanyiwa majaribio hayo kufuatia kupooza mwili...
Wanabodi
kwa wiki hii nzima,nimekuwa nikishinda ukumbi wa JNICC,kwenye maadhimisho ya miaka 30 ya VETA, tumamaliza jana,nikajua shauri ya uchovu nitalala fofofo,kumbe wapi!usingizi umekata hivyo nimeshuka jf。
Huu mjadala wa wasomi wa chuo kikuu kusoma VETA,ni mjadala muhimu,na umekuja wakati...
Au labda sio asili yetu? Au labda basi tunachukulia poa? Au basi tu utamaduni huu haujakuwa channeled katika jamii zetu?
Simaanishi kuwa wazungu hawapigi mitungi na mikasi, ila wengi wao wame evolve kuburudisha nafsi na mwili kwa kufanya utalii, meditation, vitabu vya furaha, beach walking etc...
Wanabodi,
Hii hoja ya wasomi wahitimu wa vyuo vikuu kwenda kusoma VETA.
Shuhudia hizi Testimonials....
https://youtu.be/Rzr6coD9ihs?si=ZKYzt1V9FZFITszQ
kauli ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa, kuwa wahitimu wa Chuo Kikuu, wakasome VETA, imepokelewa kwa hisia tofauti, zenye sintofahamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.