Hakuna kisichowezekana chini ya jua, nilijaribu kuacha nikashindwa nikaacha nikashindwa nikaacha nikashindwa x7 sabini ikafika muda nikakiri kuwa hakuna awezae kuacha uraibu huu, Lakini sikupenda uraibu huo hata kidogo, nikamshirikisha Mungu mara kibao lakini sikufanikiwa kwani nilipozidi sana...