kura za maoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanafuatilia zaidi mchakato wa kura za maoni za CCM, kuliko CCM wenyewe, unadhani ni kwanini?

    Kila mdau wa JF ni shuhuda kwenye hilo, kwasababu liko wazi sana. Je, Chadema wameona kwamba, CCM ni darasa tosha la siasa na wanajifunza demokrasia kwa maneno na vitendo, au upweke unaowakumba baada ya chama chao kusambaratishwa na uropokaji wa viongozi wao wapya wakuu, umewakosesha cha...
  2. Kitimoto

    JamiiForums Tanzania Je, Samia Alichaguliwa kwa Kura za Maoni Kugombea Awamu Hii?

    Ni muhimu kufahamu kwamba Rais Samia Suluhu Hassan hakuingia madarakani kwa kuchaguliwa kupitia uchaguzi mkuu, bali alirithi madaraka baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli mwaka 2021, ili kumalizia kipindi cha awamu ya tano ya uongozi. Hadi sasa, bado tupo katika awamu ya tano. Awamu ya...
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini Katiba pendekezwa ya Warioba haikupigiwa kura za maoni wala kurejewa mpaka leo hii?

    Watu wazima wote wenye vichwa vizuri vya kufuatilia masuala muhimu ya nchi yao(ukiondoa genZ) watakumbuka tuliwahi kuwa na mchakato wa kupata katiba mpya. Mpaka tukawa na bunge maalumu la katiba lakini katika hali isyoeleweka mchakato ukaishia njia na katiba mpya ikaota mbawa, mpaka leo wengi...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: GE2025 Wanaccm jimboni kwa Mpina wagoma kupiga kura za maoni

    Kinachoshangaza ni hivi wanawake na wanaCCM wanaojumuika jimboni humo wameahidi kwamba hawatashiriki katika kura za maoni zinazopangwa kufanyika tarehe 2 Agosti 2025 – iwapo jina la Luhaga Mpina halitarudishwa kwenye mchakato huo . Hali hii inaashiria mgawanyiko ndani ya chama na wasiwasi...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Aloyce Kamamba na wajumbe damu damu kuelekea kura za maoni

    KAKONKO — Upepo wa kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Kakonko umebadilika kwa kasi, huku jina la Aloyce Kamamba likiibuka kama nembo ya matumaini mapya na mshikamano wa kweli. Kamamba ameonyesha uwezo mkubwa wa kuwaleta wajumbe pamoja, kwa moyo wa kizalendo na dhamira ya dhati...
  6. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Tetesi: GE2025 Jimbo la Kisesa mbioni kukosa Mgombea wa Ubunge baada ya WanaCCM kutishia kugoma kupiga kura za Maoni tarehe 2 August 2025

    Jana kumetolewa taarifa kwamba CCM itakutana na changamoto kubwa katika Jimbo la Kisesa, wilaya ya Meatu, mkoa wa Simiyu. Kulingana na habari hizo, hakuna upigaji wa kura za maoni utakaofanyika tarehe 2 Agosti 2025, jambo ambalo linaweza kuwa pigo kubwa kwa chama hicho. Wanachama wa CCM...
  7. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Tetesi: GE2025 Hanje Nusrat (Mrs Kitenge) aongoza Kura za maoni Singida Mashariki

    Hongera Mheshimiwa Karibu Singida Mashariki ukatuwakilishe
  8. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Nakuomba Sana, Majina Matatu Kura za Maoni Hayatoshi, Napendekeza Wagombea Sita Waingie Kwenye Mpambano Badala 3

    Kumekuwa na mambo mkubwa sana wa makada kujitokeza kuchukua fomu leo, nna wasiwasi sana wajumbe wa kamati za siasa za kata na wilaya huenda zikafanya upendeleo kwa wajumbe kwa kuwapa maksi wale wanaowapenda ili washike nafasi 3 za juu na kisha majina yao yaende Dodoma yarudi hayo, najua fomu...
  9. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Aliyemshinda Kimei kwenye kura za maoni ndani ya CCM uchaguzi wa 2020 atangaza nia tena

    ALIYEMSHINDA MZEE KIMEI KWENYE KURA ZA MAONI NDANI YA CCM UCHAGUZI WA 2020 ATANGAZA NIA TENA, SHIDA IPO PALEPALE KWA MZEE KIMEI VUNJO Kada wa CCM , Msomi wa masuala ya Uchumi na Usimamizi wa Miradi, Mfanyabiashara na mdau wa maendeleo ya jamii, Comrade Enock Koola sasa rasmi anaenda kutia nia...
  10. R

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Katibu wa Organaizesheni CCM Issa Haji Gavu: Wajumbe msichague viongozi legelege kwenye kura za maoni

    Katibu wa NEC - Oganaizesheni wa CCM Taifa (MCC) Issa Haji Ussi Gavu leo tarehe 23 Juni 2025 ameshiriki Mkutano Mkuu Maalum wa Jimbo la Kinondoni Jijini Dar es salaam, akiwa Mgeni Rasmi, uliofanyika katika Ukumbi wa Ubungo Plaza Katika mkutano huo, Mbunge wa Jimbo hilo Mhe. Tarimba Abbas...
  11. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mchakato wa kura za maoni za CCM ndiyo uchaguzi wenyewe

    SIjui mchakato huu inafanyika lini ila sisi kama WATANGANYIKA inatubidi tuufatilie kwa makini sana Hakutakuwa na uchaguzi baada ya mchakato huu Bali kutafanyika viini macho vitakavyosimamiwa na tume kwa maelekezo maalumu ya serikali wateule wote wa CCM watateuliwa kuwa wabunge rasmi...
  12. C

    JamiiForums Tanzania DOKEZO PreGE2025 Mbunge wa jimbo la Moshi Mjini agawa sh. 50,000/= na majiko ya gesi kwa wajumbe kiubaguzi huku akiwaomba wampigie kura za maoni

    Baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kata za Jimbo la Moshi Mjini wamealikwa na Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Priscus Tarimo katika ukumbi wa CCP uliopo Chuo cha Polisi Moshi leo 19.6.2025 kwa ajili ya kugawiwa majiko ya gesi pamoja na fedha Tsh.50,000/= ambayo aliitoa kwa mafungu mawili ya...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Kama CCM kufuatana na katiba yao wangeli float majina yapigiwe kura, Samia asingelipita kura za maoni za NEC!

    Viashiria vyote vinaonesha hivyo. Tunao mitaani, ndugu zetu, tena wakubwa wanasema bila figisu zilizofanyika, Mama asingelipita! Alikuwa anabwagwa katika round ya kwanza! 19 Januari 2025 Na Humphrey Mgonja CHANZO CHA PICHA,CCM Chama tawala nchini Tanzania, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepitisha...
  14. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 TAKUKURU kuweni Macho na Watu wanaotoa misaada wakiwa na lengo la kuungwa mkono katika Kura za maoni

    Watu wameanza sasa kutoa misaada kwa wananchi wakiwa na lengo la kuja kuungwa mkono katika kura za maoni. Nimeona wengine wanatoa mifuko ya sementi na mabati mengi nia yao ni kuwarubuni wananchi katika kura za maoni. TAKUKURU kuweni macho dhidi ya vitendo hivi ambavyo dhahiri ni vitendo vya...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM yaonya viongozi wanaohujumu kura za maoni, yasema itawachukulia hatua za kinidhamu

    CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeonya watendaji na viongozi wake wanaohujumu mchakato wa kura za maoni za kupata wagombea wa nafasi za ubunge, uwakilishi na udiwani. Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Dk Mohamed Said Dimwa ametoa onyo hilo alipozungumza na wajumbe wa kamati za siasa za matawi, wadi na...
  16. ILAN RAMON

    JamiiForums Tanzania Kura za maoni mitaani

    #HABARI Gari yenye namba za usajili T 566 CXL mali ya Philimon Mng'ong'o, Katibu Mwenezi wa chama cha mapinduzi wilaya ya Mbeya mjini mkoa wa Mbeya imechomwa moto majira ya saa 10:00 usiku wa kuamkia leo na watu wasiojulikana. Katibu Mwenezi wa CCM wilaya ya Mbeya mjini amesema majira ya saa...
  17. econonist

    JamiiForums Tanzania Tusisahau kuwa John Mrema alishindwa kwenye kura za maoni Jimbo la Segerea 2020

    Napenda niwakumbushe ya kwamba kiongozi wa G55 Bwana John Mrema alipigwa Chini kwenye kura za maoni ndani ya CHADEMA kwenye kugombea ubunge Jimbo la Segerea. Mbowe akambeba na kumsimamisha kugombea ubunge hapo Segerea. Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo: SEGEREA Jumla ya kura 144 Agness Lambert...
  18. The Watchman

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wasira: Kura za maoni CCM mwaka huu majina ni matatu tu

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa katika kura za maoni mwaka huu, wanachama wa chama hicho watapewa majina matatu pekee ya wagombea watakaoshindania nafasi ya kupeperusha bendera ya chama katika nafasi ya ubunge. Akihutubia wananchi wa Tunduma...
  19. S

    JamiiForums Tanzania Mrisho Mashaka Gambo atachaguliwa na wanachama wa CCM kwenye kura za maoni na sio madiwani wapiga dili

    Mimi nafuatilia sana Siasa za Jimbo la Arusha Mjini, Jana nimemsikiliza sana diwani mmoja akimuomba radhi Mkuu wa Mkoa wa Arusha akijifanya analilia kama mtoto wa kike aliyenyimwa Kodi ya pango na bwana wake akidai kuwa Gambo amekuwa mtu wa mizozo na migogoro na madiwani wenzake. Eti amemuomba...
  20. Kabende Msakila

    JamiiForums Tanzania Kufanya kura za maoni mtandaoni kwa kulinganisha wanaosemwa kugombea URAIS nchini Tanzania ni makosa?

    Team; Salaam! Sheria ya mitandao ya kijamii na Sheria zingine zinasemaje kuhusu kura za maoni kwa wamaotajwa kugombea URAIS mwaka 2025? Kama itakuwa kitu kinachoruhusiwa kufanyika basi ningeomba Hashim Rungwe Spunda; Zitto Zuberi Kabwe Tundu Antipas Lissu Dkt Samia Suluhu Hassan Ibrahim...
Back
Top Bottom