kuongea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dr Samia Suluhu Hassan kafanikiwa zaidi?

    Mfano ni huyu tuliye nae. Ukilinganisha na wote waliopita kabla yake, ukweli ni kuwa yeye ndo unaweza kumuweka wa mwisho when it comes to speech giving......hususani pale anapoongea freely. Lakini ukija kwenye mafanikio, aisee.....kawaacha mbali mnoooooo. 1. Elimu, 2. Kamaliza miradi yoooote...
  2. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole amjibu Rostam: Ulitaka nikae muda gani CCM ili ndio niwe na uhalali wa kuongea?

    Wakuu, Baada ya kuambiwa kuwa hana uhalali wa kuzungumzia masuala ya CCM maana hana muda mrefu katika chama hicho, Pole pole leo amejotokeza kuhoji kuwa walitaka akae muda gani katika chama hicho ili ndio aweze kukosoa Polepole anasema kuwa kuna wanataka wambague kwa sababu ya hoja ya kutokaa...
  3. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi kiongozi kuongea hivi ?

  4. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa Azam fanyeni utafiti kabla kuongea kitu

    Jana nilikuwa namuangalia Patric Nyembela, mtangazaji wa azam akimuhoji Ahmed Ally, kwenye night gala ya Chan. Kwenye mahojiano hayo, alifanya rejea kwamba kuna mtu mmoja huko Iraq alikuwa na kauli ya vituko sana, na akamtaja mtu huyo kuwa ni Chemical Ally, sio sahihi. Chemical Ally alikuwa ni...
  5. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Si sawa kuzima mtandao kisa mtu mmoja, anayetaka kuongea yake!

    CCM is a powerful and strongly party!,who can bend it's majority decision? Wajumbe wote kwa nguvu moja tulimteua Dr.samia awe rais wetu,pia amalizie nge yake ya pili katika awamu yake ya sita(6). Sioni lolote linaloweza kufanyika kubatilisha uamuzi uliokwisha fikiwa na vikao vyote halali vya...
  6. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Wazee wameamua kuongea waziwazi sasa

    Huwezi Kuongoza Nchi Iliyogawanyika Kwa Makundi, Kuongoza Nchi Ambayo Wananchi Wake Wana Maumivu Moyoni Ni Ngumu Sana Kuwaletea Maendeleo. Tuponye Nchi Kwanza Tuiunganishe Nchi Kwanza, Tusiangalie Vyeo Pekee. ~SINDE WARIOBA
  7. FYATU

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo Wazee wa "ithibati" mmetuondolea Wanaojua kuongea wakaeleweka?

    Kwa hiyo mmeamua kutuondolea wale wanaoongea wakaeleweka mmetuletea Watu wa "Nchi za Ilan na Ilaki" kweli hilo ndilo ninyi mnalofurahia? Kwamba Mwenye diploma hata kama hana uwezo wa kuongea au kuandika yanayoelekea basi kwenu ndio bora?. Wapi Dokta Isack,namuamini na kumuelewa Dokta Isack...
  8. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Tabia ya kuwa kwenye daladala na kuongea na simu kwa sauti ya juu ni UJINGA

    Kuna watu hawana soni kabisa unawezaje kuwa kwenye daladala ya umma halafu ukipigiwa simu unaongea kwa sauti ya juu sijajua lengo la watu wa aina hii kwamba wote tukusikie au ni kutafuta approval kwamba wewe ni nani. Utapeli tu
  9. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Tatizo la baadhi ya wafuasi wa Chadema , huwa wanakosea sana katika kuelezea mambo ikiwemo swala la kutaka Mbowe kuongea jambo kuhusu wanayoyapitia.

    Lema alikuwa hana sababu ya kuongea kuhusu Mbowe . Ikiwa mtu hayupo upande wenu Ila nyie mnasapotiwa na mamilion ya watu ambao wanawasikiliza , na kutoa sapoti zao sasa Mbowe yeye ni nani ?. Nafikiri mtaji mkubwa katika siasa ni watu . Ukizungumzia mapito msijifikirie nyie Ila mjue kuna watu...
  10. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania Yaani kumsema na kuongea ukweli kuhusu imekuwa udini?

    WaTanzania wengi sana wamejengewa fikra kwamba wanapaswa kumuona Nyerere ni kama malaika yaani hapaswi kusemwa wala kukosolewa eti kwamba tukimkosoa basi ni udini na utapata matusi,kejeli na kila Aina ya maneno mabaya je mbona tunamsema Magufuli aliyoyafanya na wengi wenu hamlalamiki? Kwamba...
  11. Mshana Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume walio kwenye ndoa na wanaotarajia kuingia kwenye ndoa

    NB: Talaka zimekuwa nyingi kwakuwa ndoa nyingi hazina maandalizi ya kutosha Hii mada ilikuwa ije weekend lakini naona nakumbushwa Sana hivyo sina budi kuileta usiku huu. Maana mchuzi wa umbwa hunywewa wa moto Nitajitahidi kufupisha ili isichoshe kusoma Ndoa za leo zinatakiwa kwenda nazo kwa...
  12. Mshana Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kuongea na wadogo zangu wa kike wenye kutafuta ndoa

    Ndoa ni stara kwa mwanamke! Hivyo mwanamke anahitaji ndoa kuliko mwanaume Wanawake wamekuwa wengi ama ni wengi kuliko wanaume... Hivyo ndoa imekuwa kitu adimu hasa ukizingatia kuwa.. Pamoja na uchache huo wa wanaume bado karibia nusu yao si waoaji Sasa kutokana na hamaniko hilo la kuhitaji...
  13. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa ndo the best Mwanasheria/Wakili wa Serikali???? Sasa mbona hata kuongea tu ni shida?

    habari zenu Tanzania? nipo Netherlands nawasalimia sana. Huyu jamaa anayeonekana kwenye Mahakama ndo Mwanasheria/ Wakili Mkuu wa Serikali? mbona anaonekana mzito sana hata kuchambua mambo na kujieleza? hawa watu wanachaguliwa kwa namna gani ? na bado hayupo vizuri katika sheria namwona ana...
  14. Abtali Mwerevu

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kuongea na Ndugu Yako Aliyekufa

    Ndugu yako aliyekufa, anatamani kuongea na wewe, lakini wewe hufahamu njia ya kukuwezesha kuongea naye. Inawezekana mambo yamekuwa magumu na unaamini unahitaji ushauri wake, inawezekana umemkumbuka tu na ungependa uzungumze naye, na inawezekana alifariki mkiwa katika ugomvi sasa unataka mmalize...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Spika Tulia awaka Wabunge kuongea na Wajumbe kwa Simu Bungeni, atishia Kamera kuwamlika

    Spika Dkt. Tulia alivyowataka Wabunge kupunguza sauti na kuepuka kuongea na Simu na Wajumbe Bungeni; "Mnaanza kidogo kidogo, halafu zinapanda" "Waheshimiwa Wabunge mnajadiliana mambo ya msingi sana lakini punguzeni sauti, wale mnaoongea na simu mnaanza kuongea kidogo kidogo lakini baadaye...
  16. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Mkristo anayejitambua anajua yeye ni Mwanadiplomasia wa Serikali ya Mungu. Haripoti chochote kwa mtu kabla ya kuongea na Serikali yake.

    Niwatakie jumapili (siku ya kwanza ya juma) njema. " Uraia wetu uko mbinguni" Wafilipi 3:20 Ni hayo tu Mtumishi Matunduizi
  17. N

    JamiiForums Tanzania Hata mnilishe nishibe tumbo, mnilaze pazuri na mnipe mahela yote, mkinyima haki ya kuongea na kuwakosoa manjisumbua tu!

    Ndivyo wanavyotufanyia hawa watawala. Wanajifanya wametufanyia mambo mazuri lakini wapi bhana. Mei Mosi walipandisha mishahara ya kima cha chini kwani kuna mtu amenyamaza kuwasema kwa wanavyomtenda TAL. Wamezindua madaraja na mavivuko lukiki kwani kuna watu wanasahau Gwajima aliyoyasema...
  18. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Ni kipi kinawazuia watanzania kuongea siasa hadharani kama wanavyobishana kuhusu mpira?

    Mtaani siasa inazungumzwa kwa tabu sana na kwa kificho tofauti na mabishano ya mpira Mtaani watu hubishana mpira kwa uhuru na sauti kubwa tofauti na siasa, ikitokea mtu kaanzisha mada za siasa huenda akaachwa pekeake kusiwe na wakumsapoti Siasa ya Tanzania ingejadiliwa kama unavyojadiliwa...
  19. ngara23

    JamiiForums Tanzania Mbunge wangu hajawahi kuongea wala kutuliza swali lolote Bungeni Kwa miaka yote

    Mbunge wetu kutoka Jimbo la Kyerwa, Innocent Bilakwate,amekuwa bungeni Kwa mihula miwili, Vipindi vyote hajawahi kuchangia hoja au mawazo yoyote bungeni, Mbunge wetu hajawahi kutuliza swali la msingi wala la nyongeza bungeni, Tukimuuliza vipi mbona bungeni hatukusikii na bunge liko live...
  20. G Sam

    JamiiForums Tanzania Esther Matiko hivi ukiangalia hii video bado una nguvu ya kuongea uliyoongea jana bungeni?

    Askari polisi abakufanyia udhalilishaji hadharani na bado una nguvu ya kuongea uliyoongea jana. Kwa wenzetu hiyo ni kesi kubwa kama mhusika akivalia njuga na anaungwa mkono na mamlaka. Ila wewe sasa. Hii video watakuja kuiona wanao wakiwa watu wazima kisha wataangalia ulizungimza nini!
Back
Top Bottom