Mheshimiwa Rais Daktari, mbemba maono, kipenzi cha Watanzania Samia Suluhu Hassan,
Naomba unijibu maswali haya kuhusiana na msimamo wako juu ya uchaguzi ujajo uliosema utakuwa wa amani.
Amani vipi bila maridhiano ya namna ya kuufanya?
Amani vipi wakati polisi wanatumika vibaya na kinyume cha...