Mo-Dewji alishawahi kuulizwa hili swali,
"Mpaka sasa wewe ni billionea, is it worth it" akajibu "hapana, nlifanya kazi kwa bidii sana nkapoteza muda wa kua katika ukuaji wa familia yangu hivo ningeweza kurudi nyuma nisingefanya haya tena"
nmesahau ilikua ni kituo gan but hivi ndo alijibu...