kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Saashisha Mafuwe: Mambo mengi niliyomuomba Rais Samia jimbo la Hai amenipa, Wananchi si mmeona?

    Wajasiriamali na wafanyabiashara katika Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Jumapili ya Pasaka ya April 20,2025 walisheherekea sikukuu hiyo pamoja na Mbunge wa Jimbo lao la Hai Saashisha Mafuwe Mbunge Saashisha alikutana nao kwa lengo lakuwasikiliza changamoto zao pamoja nakuwaeleza...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Nicodemas Maganga: Nitasimamia kikamilifu Fedha za Serikali kwa manufaa ya Wananchi

    Mbunge wa Jimbo la Mbogwe mkoani Geita, Nicodemas Maganga, amesema ataendelea kuwa mkali na kusimamia kwa karibu matumizi ya fedha zinazotolewa na serikali kuu kwa ajili ya kutatua changamoto za wananchi na kuboresha miundombinu ya kijamii. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea...
  3. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wamachinga na Waendesha Bodaboda waitisha press kupinga kutokea kwenye kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu

    Wakuu, Kuna watu wameenda kuitisha press kupinga ile kauli ya Heche kwamba watu waende mahakamani kushuhudia ksi ya Lissu Tarehe 24. Hii nchi inahitaji ukombozi mkubwa sana wa kifikra. A total social autopsy is needed. ----------------------------- Baadhi ya wanachama wa Umoja wa Waendeshaji...
  4. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Wanu Ameir afungua mafunzo kuwajengea uwezo Viongozi na Watendaji wa UWT

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kusingi Unguja, Mhe. Wanu Hafidh Ameir amefungua mafunzo elekezi kwa viongozi na watendaji wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kuanzia ngazi ya Matawi, Wadi, Jimbo na Wilaya yaliyofanyika kwenye ukumbi wa TASAF, Zanzibar Wanu amefungua mafunzo hayo tarehe 20...
  5. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Huu ndiyo utaratibu na hatua za kufuata kuteua mgombea Urais ndani ya CCM. Je, uteuzi wa Samia Suluhu Hassan ulifuata hatua na taratibu hizi?

    Mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa kuchagua mgombea wa kiti cha Urais wa JMT Mchakato wa kumpata mgombea u - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndani ya CCM unafuata utaratibu maalum kulingana na Katiba ya chama na kanuni zake za uchaguzi. Kwa ujumla, mchakato huu unahusisha...
  6. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Maafisa usafirishaji (bodaboda na bajaji) wanasema mitano tena kwa Rais Samia

    Maafisa usafirishaji Tabora wapo bega kwa bega na Rais Samia Suluhu.
  7. Tulinagwe venance

    JamiiForums Tanzania Nimefurahishwa sana na msimamo wa makanisa this time

    Angalau viongozi wa dini wameanza kuwa wakweli na wameanza kuwaheshim waumini wao hii kuonyesha kwamba angalau Kuna mabadiliko makubwa kwenye jamii yetu. Naamini huu ni mwanzo tu huko mbele najua hii hali itakuwa kubwa sana. Hili Taifa tuna haki ya kulisaidia na viongozi wa dini huu ni wajibu...
  8. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Nani anaiharibu amani ya Tanzania ni Tundu Lissu wa CHADEMA au ni viongozi wa serikali ya CCM kwa maslahi yao binafsi?

    Katika hali isiyo ya kawaida kumekuwepo na sintofahamu ya kukamatwa Mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Antiphas Lissu na kufunguliwa mashtaka ya uhaini, swali ni je? nani anaharibu amani ya taifa letu Tanzania, anayetumia nguvu na kusisitiza uchaguzi uende anavyotaka yeye au yule Lissu anayesema...
  9. E

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kama madai ya uchaguzi huru na wa haki hayatekelezeki, tunafanya uchaguzi wa nini?

    Hatimaye Serikali imekiri kwamba madai ya kuwa na uchaguzi ulio huru na wa haki hayawezekani kutokana na muda uliopo kufikia tarehe ya uchaguzi yaani Oktoba 25, 2025. Mbali na wadau wengine, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimekuwa na madai ya kuwepo kwa mabadiliko ya mfumo wa...
  10. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Siyo kwamba CCM hawajui faida ya uchaguzi huru na haki, ila wanajua wakikubali ndiyo mwanzo wao wa kutoka madarakani

    Viongozi wote wa CCM wanajua kabisa endapo watakubali uchaguzi wa Uhuru,uwazi na Haki basi watafurumushwa kutoka madarakani, kwa hiyo wanatumia propaganda kuwaaminisha baadhi ya raia wajinga kwamba Chadema wanataka kuleta machafuko Lakini it's to late kizazi cha sasa hivi siyo kile cha Nyerere...
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ajenda ya kuzimisha No reform no election kwa sasa ni bajeti kubwa kwa wasanii kutumia mda huu

    Baada ya kusikia viongozi wa dini pasaka kuhusu haki naona sasa media zinatumia mda mwingu kwa mwijaku na manara. Nilitoa uzi kuwa na wasiwasi na hizi tafrija kubwa za wasanii mfano Harusi ya jux ila nilicho shambuliwa kusema ni wivu. CCm wanaona pesa nyingi kuzimisha media mpaka hapa JF ni...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Sheikh Mwaipopo amvaa Askofu wa Kanisa Katoliki kisa Tundu Lissu, adai kauli yake ni kutaka kuiingilia Serikali

    Kiongozi wa Dini ya Waislamu Sheikh Mwaipopo amjia juu Rais wa Baraza la Maaaskofu wa kanisa katoliki (TEC) Askofu Dkt. Pisa kwa kutoa kauli ya kulaani na kutaka Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu aachiwe haraka, adai kauli hiyo ni kutaka kuiingilia Serikali. Pia, Soma: Baraza la Maaskofu...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Askofu Mameo: Watendaji wa Serikali acheni kumdanganya Rais 'Mama hatukudai' wakati barabara hazipitiki

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Morogoro Jacob Mameo, akiongea katika ibada ya Ijumaa Kuu katika usharika wa Ifakara Mjini, ametoa wito kwa Watendaji wa Serikali kuto mdanganya Rais kwa kumwambia 'Mama hatukudai' wakati kuna mahali barabara hazipitiki.
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Askofu Jacob Mameo: Hata baadhi ya wana-CCM wako wanaosema 'no reform, no election', lakini wamejificha hawataki waonekane

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Morogoro Jacob Mameo Ole Paulo, akiongea katika ibada ya Ijumaa Kuu katika usharika wa Ifakara Mjini, ametoa wito kwa serikali kuangalia upya malalamiko ya watu juu ya Tume Huru katika uchaguzi wa mwaka 2025. "Manung'uniko ya Tume Huru ni...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 DC Songea, Kapenjama: Uchaguzi haujaiacha Afrika salama, Uchaguzi usiharibu amani ya nchi

    Mkuu wa Wilaya ya Songea, Wilman Kapenjama Ndile, ametoa wito kwa viongozi wa dini kuhakikisha wanasimamia na kuhimiza amani nchini ambacho taifa linaelekea kwenye uchaguzi mkuu. Akizungumza wakati wa ibada ya Pasaka iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Askofu Dkt. Yohana Nzelu: Watu wanauawa na kupotea, tukizungumza wanasema Askofu amekuwa Mwanasiasa

    Ibada hii imefanyika katika Usharika wa Agape Kahama, Jimbo la Magharibi Kahama Dayosisi Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria. Imeongozwa na Mkuu wa Dayosisi Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria Baba Askofu Dkt. Yohana Nzelu amegusia umuhimu wa maridhiano kwa Serikali. Video: Kitenge TV
  17. A

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Je mitandao ya kijamii inalaghai vyama pinzani?

    Je nitakuwa nipo sahihi au nitakuwa nimepotoka? Nikisema mitandao ya kijamii inatudanganya sisi vyama pinzani Maana ukiaangalia tunavyopata uungwaji mkono mitandaoni ni tofauti na kwenye maisha ya uhalisia uku mtaani wananchi wengi hawana muamko wala uelewa wa mambo ya nchi yanavyokwenda wao...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti CUF wilayani Handeni aibukia CCM

    Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi,(CUF) wilayani Handeni mkoani Tanga Hilary Kitwanga ametangaza kuhama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi,(CCM). Akizungumza kwenye kikao cha halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Handeni kilichofanyika leo Jumamosi April 19,2025 kwenye ukumbi wa mikutano...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mjumbe wa Baraza Kuu Wazazi -CCM: Vijana tambueni na kuthamini haki yenu ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa

    MJUMBE wa Baraza Kuu la Wazazi - CCM Taifa kupitia Mkoa wa Mtwara, Ndg. Idrisa Yusuph Nannila, amehutubia katika kampeni kabambe ya kuhamasisha vijana kushiriki kikamilifu katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025,Kongamano hilo lenye Taswira ya KIJANA NA SAMIA SHIRIKI UCHAGUZI MKUU 2025...
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dk Doto Biteko: Tujitokeze ili tuweze kugombea kwa ajili ya kuhudumia nchi yetu

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewaasa Wakristo kuliombea Taifa amani, utulivu, umoja na mshikamano uendelee katika kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu imeeleza, Dk Biteko amesema hayo leo Jumapili, Aprili 20, 2025...
Back
Top Bottom