kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makalla: Kukamilika kwa SGR ni matokeo ya Utawala bora wa CCM

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla, amesema kukamilika kwa miradi mikubwa ya kimkakati nchini, ikiwemo Reli ya Kisasa (SGR), ni matokeo ya sera madhubuti na mipango thabiti ya CCM inayolenga kuwaletea maendeleo...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia: Kalamu zetu zinalinda nchi yetu sawa na jeshi linavyolinda mipaka ya nchi yetu. Namuona Murilo anasikiliza kwa makini

    Rais Samia Suluhu amesema Mwaka huu ni mwaka wa jambo kubwa, nchi yetu inakwenda kwenye uchagazi mkuu niwaombe mtumie kalamu zenu kuhamasisha umoja, amani na mshikamano nchini. Ameyasema hayo leo kwenye usiku wa tuzo za Samia Kalamu Awards mwaka 2025. Soma Pia: Rais Samia akishiriki Hafla ya...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ado Shaibu: Mkienda katika uchaguzi kila chama kinapigania nafasi yake

    Mkienda katika uchaguzi kila chama kinapigania nafasi yake, wapinzani tunapaswa kuungana"-Ado Shaibu - Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 ACT yamshtaki RC wa Mjini Magharibi kwa kutaka Watumishi wa Umma kumkabidhi nakala za Vitambulisho vyao vya Kupigia Kura

    YAH: MALALAMIKO DHIDI YA KAULI NA AGIZO BATILI LA MKUU WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI - UNGUJA, NDUGU IDRISA KITWANA MUSTAFA Tafadhali ninaomba uhusike na mada tajwa hapo juu kama inavyojieleza. Chama cha ACT-Wazalendo kinawasilisha rasmi malalamiko dhidi ya kauli na agizo lililotolewa na Mkuu wa...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mchinjita: ACT ni chama kinachokua kwa kasi hapa nchini kuliko chama chochote

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita, amesema chama hicho kinapiga hatua kubwa kwa kasi isiyopimika, huku akidai kuwa serikali kwa kukosa utashi wa kisiasa wa kukuza demokrasia nchini. Akizungumza Jumatatu katika maadhimisho ya miaka 11 ya kuzaliwa kwa chama...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dkt. Ndumbaro: Mnaodai haki msiwe chanzo ukosefu wa haki

    Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amewataja watu wanaodai haki kuacha kuwa sababu ya ukosefu wa haki kwa wengine. Dkt. Ndumbaro alisema hayo mjini Morogoro wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa sheria wa Jeshi la Magereza kuhusu huduma za msaada wa kisheria, mapokezi...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Jaji Mutungi: Mataifa mengi yamekuwa na Chaguzi na kuishia na vurugu lakini Tanzania ni Kinara wa Amani

    Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi amewataka Viongozi wa vyama vya kisiasa kutumia mafunzo ambayo Ofisi yake imewafunda kwa ajili ya kujenga mtazamo mpya na chanya, ambapo muktadha wake ukiwa kudumisha amani iliyopo hapa nchini. Akizungumza Leo Mei 5 na Viongozi wa vyama vya siasa...
  8. Genius Man

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 ACT wazalendo kushiriki uchaguzi wakati bado hakujafanyika mabadiliko yoyote yale ya kufanya uchaguzi wa haki alafu wanategemea kupata haki ipi ?

    ACT wazalendo wameamuwa kushiriki uchaguzi bila kuwepo kwa mabadiliko yoyote yaliyofikiwa hadi sasa ya kiuchaguzi ili kuifikia haki hiyo ya uchaguzi kuwa huru na wa haki kama wanavyo hubiri kwenye vyombo vya habari. sasa swali wanapo sema wanataka kushiriki kwenye uchaguzi bila mabadiliko hayo...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dr. Shoo: Shambulio kwa Padre Kitima na tukio la kutekwa Mdude ni kengele ya hatari

    Askofu Mstaafu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Jimbo la Kilimanjaro Magharibi, ambaye pia ni Mchungaji wa Kanisa la KICC, Dr. Glorious Shoo, amekemea vikali matukio ya karibuni ya ukatili na ukiukwaji wa haki za binadamu nchini, yakiwemo shambulio kwa Padre Dr. Charles Kitima na...
  10. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia apimwe kwa kazi zake

    Siamini katika kuvunja katiba, vyovyote iwavyo ningependa uchaguzi ufanyike mwaka huu, kukiwa na ushiriki wa vyama vyote na CHADEMA kikiwepo. Kama sauti yangu ingekuwa inasikika ningemshauri Rais, serikali iachane na kuisakama CHADEMA, binafsi naona matumizi ya mkono wa dola dhidi ya CHADEMA na...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makalla: Tumepokea ushauri lakini CCM hatuna mgogoro na CHADEMA, Jaji Warioba akasuluhishe mgogoro wa CHADEMA

    Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakina mgogoro na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kumwomba Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba kuwa msuluhishi wa yanayoendelea ndani ya chama hicho cha upinzani. Amesema...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Bashungwa apongeza Jeshi la Polisi, kwa kumkamata mtuhumiwa wa vitisho dhidi ya Padri Kitima

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, amelipongeza Jeshi la Polisi kwa juhudi zake katika kufuatilia na kuchukua hatua dhidi ya matukio mbalimbali ya kihalifu, ikiwemo tukio la kukamatwa na kuhojiwa kwa mtu anayetuhumiwa kutoa ujumbe wa vitisho kabla ya shambulio dhidi ya Katibu...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 RC Mbeya atoa TSh 5 Milioni kwa atakayetoa taarifa za Mdude, aagiza Polisi kuwasaka waliomteka

    Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk Juma Homera amesema tayari amelielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada za kuwatafuta wahusika waliomshambulia kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mdude Nyagali, huku akiahidi Sh5 milioni kwa atakayesaidia kumpata kada huyo alipo akiwa hai au amekufa...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Muliro: Aliyechapisha ujumbe kwenye Mtandao kwamba 'Siku za Padre Kitima zinahesabika'' amekamatwa

    Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amesema jeshi hilo tayari limemtia mbaroni mtu mmoja aliyedaiwa kuchapisha taarifa kwenye ukurasa wa X, kwamba ''siku za Padre Kitima zinahesabika'' ikiwa ni siku chache kabla ya Padre huyo kushambuliwa. Ameyasema hayo Mei...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 RC Kihongosi: Hatuitaji vurugu Simiyu, wazazi waambieni vijana wenu

    Mkuu wa mkoa wa Simiyu Kenani Laban Kihongosi amewataka Wazazi Mkoani humo kuwaepusha na kuwakanya Vijana wao kujiepusha na wanasiasa wanaotaka kuwatumia kuvuruga na kuharibu amani ya Tanzania hususani ya Mkoani Simiyu, akisisitiza umuhimu wa amani kwa maendeleo ya Mkoa wa Simiyu. Kihongosi...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM yaonya viongozi wanaohujumu kura za maoni, yasema itawachukulia hatua za kinidhamu

    CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeonya watendaji na viongozi wake wanaohujumu mchakato wa kura za maoni za kupata wagombea wa nafasi za ubunge, uwakilishi na udiwani. Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Dk Mohamed Said Dimwa ametoa onyo hilo alipozungumza na wajumbe wa kamati za siasa za matawi, wadi na...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dkt. Nchimbi: Kipaumbele kitabaki kuwa maisha bora kwa Watanzania

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, huduma za matibabu zimeimarika kutokana na kuboreshwa kwa hospitali za rufaa za mikoa. Ameongeza kuwa ajenda kuu ya chama hicho ni kuendelea kuboresha huduma za afya kwa...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dkt. Doto Biteko: Wananchi msikubali kugawanyika Uchaguzi ujao

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka wananchi wa Tabora kutogawanyika kwa sababu yoyote ile kisa uchaguzi mkuu mwa mwaka 2025 huku akiwahimiza kumuunga mkono Rais Samia kutokana na juhudi zake za kuwaletea wananchi maendeleo. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti NCCR Mageuzi Wilaya ya Misungwi abwaga manyanga na kuhamia ADC

    Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi Wilaya ya Misungwi, Francis Mazigo, ametangaza rasmi kujivua nafasi yake ndani ya chama hicho na kujiunga na Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), akisema amevutiwa na katiba, sera na mwelekeo wa ADC kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Kupata...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Zitto Kabwe: Tangu 2019 uchaguzi una mashaka, mwaka huu tupo kupambana, si kususa

    Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tangu mwaka 2019 kumekuwa na mashaka makubwa kwenye uchaguzi, na kwamba chama hicho kimeamua kushiriki mwaka huu ili kupambana kulinda kura kuliko kususa ambako hakubadilishi kitu. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea...
Back
Top Bottom