kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwanachama wa CHADEMA, Husna: Napigiwa Simu nyingi niende CHAUMMA kiukweli siwezi mimi ni CHADEMA damu

    Mwanachama wa CHADEMA, Husna Said, amesema amekuwa akipigiwa simu mara kwa mara na watu wanaomtaka ajiunge na chama cha CHAUMMA, lakini amesisitiza kuwa hawezi kuhama kwani yeye ni CHADEMA damu na anabaki kuwa mwaminifu kwa chama hicho anachokiamini. "Napigiwa simu nashawishiwa nihame Chadema...
  2. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Zanzibar: Wanachama zaidi ya 200 na viongozi 28, watangaza kujivua uanachama CHADEMA

    Wakuu, Wanachama zaidi ya 200 wakiwemo viongozi 28, watangaza kujivua uanachama CHADEMA Zanzibar, wakilalamikia kile walichokiita ukandamizaji na upotevu wa mwelekeo ndani ya chama hicho. Uamuzi huo umetangazwa mbele ya waandishi wa habari na Atafat Hamad Ali, aliyekuwa Katibu wa Baraza la...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Baba Levo apokelewa Kigoma, asema hatutapiga kura kwa Rais Samia, bali tutarundika kura 2025

    "Hakuna Kazi Nyengine Nitakayoifanya Zaidi Ya Kumsaida Dkt. Samia Suluhu Hassan Ili Akija Katika Jimbo Hili La Kigoma Mjini Sio Kumpigia Tu Kura Tumrundikie" Baba Levo ameyasema hayo jana Mei 20, Mkoani Kigoma wakati alipokutana na Wanachama wa CCM na kukabidhiwa Kadi ya Uanachama na...
  4. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wakenya wasema watakuja kuhudhuria kesi ya Lissu na watahakikisha wenzao walioshikiliwa huku wanarudi kwao salama, hawamwogopi Rais Samia

    Wakuu, Kunazidi kutokota huko, majirani wanasema hawatakaa kimya wakiona wenzao wanahenyeshwa wakati hawajafanya kosa lolote. ===== Wakenya wasema watakuja Tanzania kusikiliza kesi ya Lisuu, na kuhakikisha wenzao walioshikiliwa nchini wanakuwa salama na wanarejea wakiwa wazima makwao...
  5. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Hatimaye Thamani ya Ubunge yashuka Rasmi, hata wasiofaa wanautaka

    Baada ya Baba Levo kutangaza kuutaka Ubunge wa Kigoma Mjini, Maajabu yanazidi kuongezeka. Ikumbukwe Baba Levo aliwahi kufungwa jela kwa hisani ya ccm akiwa Diwani wa Upinzani, Rushwa husahaulisha shida. Leo Diva Malinzi naye atangaza kuutaka Ubunge wa Tanga! Diva aliwahi kuutangazia Umma...
  6. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Udukuzi usitumike kama chambo ya kuzuia mtandao na mwanya wa kuleta sheria kandamizi za kuzuia taarifa kipindi cha uchaguzi

    Wakuu, Imekuwa ni njama inayosukwa kwa kipindi kirefu kuweza kufungua X ili kuzua wakosoaji wanaopiga spana pande hizo, sema wakati huo hawakuwa na justification, ushoga ulikuwa hautoshi maana kila sehemu maudhui ya ushoga yapo, lakini sasa wameipata sababu. Unadhani wataishia hapo? Hapana...
  7. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kudukuliwa kwetu imekuwa kituko Kenya, wanasema polisi wameweza kuzuia akina Martha udukuzi umewashindaje?

    Wakuu, Majirani wanapata burudani tu huko, wanasema sasa mtu unaweka password "Zuchu" au "Diamond" unategemea nini? :BearLaugh: :KEKLaugh::KEKLaugh: majirani wanajua kutusuta😂. Ila tukisema ukweli kutoka moyoni, si ni kama majirani wametusadia Watanzania kulipiza hata robo kwa madhila...
  8. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 No reform no Election, imeisha waingia sana wapenda Mabadiliko, sio rahisi Mgombea wa upinzani kupigiwa kura uchaguzi huu

    Bila reform wapenda mabadikilo kokote kule ni vigumu sana kwenda kupiga kura, hata kama leo hii CDM ikasema itashiriki uchaguzi sio rahisi tena watu wabadili mawazo na aakapige kura. Waatakao piga asilimia kubwa ni wapambe wa CCM, hivyo ni vigumu sana kwa wagombea wa vyama vya Upinzani kama ACT...
  9. Mr Alpha

    JamiiForums Tanzania Moto wa Madhabahuni Waelekezwa Ikulu?

    Radi ya kisiasa sasa inashushwa kwa mahesabu. Si radi ya anga, bali ni ile inayopigwa kutoka maabara za mikakati—ambapo lengo si kuangaza, bali kuchoma. Maji yaliyowahi kuchemshwa yanarudishwa jikoni, lakini safari hii, mvuke unapaswa kufika mbali zaidi. Kete za madaraka zinachezewa kwa mikono...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 VIDEO: CHAUMMA wametoa wapi pesa? Tazama maandalizi ya Mkutano Mkuu

    Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa CHAUMMA yamezidi kupamba moto jijini Dar es Salaama ambapo zaidi ya wanachama 400 watahudhuria. Katibu Mkuu wa CHAUMMA,Salome Mwalimu amesema baada ya kupokea wanachama wapya kutoka maeneo mbalimbali nchini watagawanyika mikoa.
  11. funaku

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Songwe: Viongozi na wanachama 24 wa CHADEMA wajivua uanachama

    Hali inaendelea kuwa mbaya kwa upande wa CHADEMA. Leo ni zamu ya Mkoa wa Songwe.Viongozi na wafuasi wapatao 24 wamejivua uamachama. Baadhi ya Viongozi wa CHADEMA ikiwemo Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa na Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa Baraza la Wazee Mama Happiness Kwilabiya ambaye aliwahi kuwa...
  12. M

    JamiiForums Tanzania "Methodology" mbili za usiasa na uanaharakati kwa pamoja ndiyo suluhu ya kukinusuru CHADEMA

    Kwa hali ilivyo kwa sasa na kwa msingi wa kanuni ya "Politics is dynamic" ni vyema HECHE akakaa na kamati yake na wajumbe kadhaa wa Baraza na wataalam kupitia upya methodology ya kupambana na mabadiliko ya sheria za uchaguzi. No reform No elections inaweza kuendelea wakati huo huo mikakati...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makalla ampasua Martha Karua: 'Tanzania Ni Taifa Huru Lenye Dola Imara

    Katika kile kinachoonekana 'kukazia' kauli iliyotolewa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu wanaharakati kutoka nje ya nchi kuingilia mambo ya Tanzania, Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa...
  14. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Serikali ya Kenya yajitenga na sakata la Martha Karua kuzuiwa kuingia Tanzania

    Wakuu, Mambo yameendelea kuwa sukari kwenye hili sakata la Tanzania na Kenya. Yaani inaonekana kuwa Serikali ya Kenya ime-align na serikali ya Tanzania kwenye hili suala la CHADEMA na Martha Karua. Yaani hizi serikali za kiafrika zinafanana wakuu...
  15. X

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Bila VPN hauwezi kuingia X (Twitter) Tanzania. Vipi huko mnaotumia Facebook na Instagram?

    Ndio nashtuka now kila nikijaribu kuingia X inagoma nikasema ngoja nijaribu na vpn imooo! Wajuvi wa mambo tujizeni nini kinaendelea?
  16. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Husna Sungura achukua fomu ya ubunge Jimbo la Chamazi kupitia ACT. Ahaidi maendeleo akichaguliwa

    Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo, Husna Sungura, ameahidi kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi wa Jimbo la Chamanzi endapo atachaguliwa kuwa Mbunge wa jimbo hilo katika uchaguzi ujao. Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea wa...
  17. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM kigambaoni yaonya kampeni za mapema

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kigamboni, jijini Dar es Salaam, kimekemea na kulaani vikali vitendo vya baadhi ya watia nia wa nafasi za ubunge na udiwani kuanza kampeni kabla ya wakati pamoja na kutoa rushwa, kinyume na taratibu na sheria za nchi. Akitoa taarifa hiyo wakati wa...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makonda: Mtumishi ukinyimwa ruhusa kwenda kujiandikisha kupiga Kura nipe taarifa

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda leo Jumanne May 20, 2025 ameungana na Watanzania wengine kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kwenye kituo cha Hospitali ya AICC, Mtaa wa Mahakama Kata ya Sekei Jijini Arusha ambapo amesema kwa sasa yeye ni Mpiga kura halali wa...
  19. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Seneta mmoja Kenya aunga mkono Rais Samia kuzuia wanaharakati wa Kenya

    Seneta mmoja nchini Kenya ameeleza kuunga mkono hatua ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwapiga marufuku wanaharakati kutoka Kenya. Samson Cherargei, seneta wa kaunti ya Nandi, anasema ni haki ya Rais Samia kuzuia watu wanaoingilia masuala ya nchi yake kutoka nje. "Namuunga mkono...
  20. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Peter Madeleka ajiunga na Chama cha ACT Wazalendo

    Aiseeee leo ni bandika bandua! Kila sehemu moto! Mzee wa kesi katimkia zake ACT Wazalendo bana, yeye hajataka kwenda kula ubwabwa😂😂 ===== ACT Wazalendo wanafanya mkutano na waandishi wa habari muda huu Makao Makuu ya chama Magomeni, Dar es Salaam Mei 20, 2025...
Back
Top Bottom