kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    GE2025 Wagombea 14 wa Ubunge Jimbo la Mpina utata mtupu, Meatu wazua utata kwa wana CCM

    Taarifa za CCM Mkoa wa Simiyu kuwa kuna wagombea 14 wa Ubunge Jimbo la Kisesa waliochukua fomu na Wagombea 13 jimbo la Meatu zimeibua sintofahamu kubwa na baadhi ya wanachama kudai kuwa wagombea ni wa mchongo ili kuvuruga mchakato wa uchaguzi ndani ya Chama. Minong'ono imekuwa mikubwa baada ya...
  2. Dalton elijah

    GE2025 Yeyote anayekwambia atalinda kura ni tapeli

    2020 Niligombea...Nililinda kura zangu....Nikakusanya Matokeo yangu...Returning Officer wa Jimbo hakuhitaji matokeo yangu ili kujumlisha kura za jimbo. Alikuwa na matokeo yake kwenye laptop. Na alisema wazi kwamba Tayari ana matokeo. Na akaniandikia Barua kwa Kiburi kabisa kwamba Niende kokote...
  3. Waufukweni

    GE2025 Mbunge Katani Ahmed: Tandahimba ya sasa barabara zinafanana na Doha, Qatar

    Mbunge wa Tandahimba 2015 - 2025, Katani Ahmed Katani amesema maendeleo makubwa ya miundombinu katika jimbo lake yameifanya Tandahimba kufanana na miji ya kimataifa kama Doha, Qatar. "Leo ukienda Tandahimba kuanzia saa moja jioni, chukua selfie, upige picha kwenye barabara za Doha, Qatar...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mnec Mwaselela: Hakuna mtu aliyetumwa na kiongozi kutia nia ubunge na udiwani

    Mjumbe wa Halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi CCM taifa Ndugu Ndele Mwaselela amesema hakuna mwanachama yeyote aliyetumwa na kiongozi wakitaifa wala mkoa kwenye mchakato wa kuchukua fomu za kutiania ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho. Mwaselela amewaambia waandishi...
  5. Blasio Kachuchu

    PreGE2025 Mwenyekiti wa INEC atembelea Gereza la Butimba kukagua zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

    Na Mwandishi Wetu, Mwanza. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele leo Julai 03, 2025 amemtembelea na kukagua mwenendo wa zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Gereza Kuu la Butimba lililopo mkoani Mwanza na kushuhudia namna...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Geita: Jimbo la Bukombe aliyechukua fomu ya ubunge ni Dkt. Dotto Biteko peke yake, majimbo mengine 102 wati nia

    Wakati watia nia kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkoa wa Geita wakijitokeza kwa wingi kuchukua na kurejesha fomu za kuomba ridhaa ya kugombea ubunge, Jimbo la Bukombe limebaki na jina moja pekee—Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Doto Biteko, ambaye ameonesha nia ya...
  7. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Watia nia 44 wanawake wamechukua fomu za kuwania Ubunge Mtwara

    Jumla ya watia nia 44 wanawake wamechukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali za uongozi Mkoani Mtwara ikiwemo Ubunge,Ubunge Viti Maalum pamoja na Ubunge Viti Maalum Vijana Tanzania Bara. Akitoa taarifa za watia nia wa nafasi hizo katika majimbo 10 yaliyopo mkoani Mtwara Katibu wa Siasa,Uenezi na...
  8. JanguKamaJangu

    GE2025 Ndele Mwaselela (Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa CCM) ataja sababu ya kutogombea Ubunge

    MJUMBE wa Halmashauri Kuu Taifa (MNEC), Ndele Mwaselela ametoa sababu ya kutogombea nafasi ya ubunge katika mchakato wa uchukuaji fomu na urejeshwaji ulionza Juni 28 mpaka Julai 2,2025. Mwaselela ametoa msimamo wake leo Jullai 3, 2025 kwenye mkutano wake na Waandishi wa Habari katika Ofisi za...
  9. Waufukweni

    GE2025 Mbunge wa Muleba Kusini adaiwa kugawa fedha kwa wananchi

    Wakuu! Kuna hii video ya Mbunge wa Muleba Kusini anayedaiwa kugawa fedha kwa wananchi. Baada ya miaka mitano, leo Mbunge huyo, Dkt. Oscar Ishengoma Kikoyo, amerudi jimboni na anawagawia wananchi elfu kumi, kumi. Kilichoniuma zaidi ni kuwaona wananchi wakikubali kupanga foleni ili wapewe...
  10. DuaZaMama

    GE2025 Rais Samia aagiza wagombea kutendewa haki

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo CPA Amos Makalla amesema Mwenyekiti wa chama hicho Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza haki kutendeka katika mchakato wa ndani wa chama wa uchujaji wa wagombea. Akizungumza na wandishi wa habari Julai 03, 2025...
  11. Waufukweni

    GE2025 Amos Makalla: Wanachama 4,109 wamechukua Fomu za Ubunge CCM, Bara na Zanzibar

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, amesema jumla ya wanachama 4,109 wamechukua fomu za kuomba ridhaa ya kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu ujao kupitia chama hicho. Akizungumza leo akiwa Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Makala amesema: "Kwa takwimu...
  12. Waufukweni

    GE2025 Makalla: Waliochukua fomu Ubunge na Udiwani kuchujwa kuanzia tarehe 4 Julai,2025

    Amos Makala katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema kwa waliochukua fomu za kugombea Ubunge na Udiwani kuchujwa kuanzia tarehe 4 Julai,2025
  13. DuaZaMama

    GE2025 Amos Makalla anazungumza muda huu Makao Makuu ya CCM, Lumumba kuhusu mchakato wa uchukuaji Fomu za Ubunge na Udiwani

    Amos Makalla katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) anazungumza na waandishi wa habari. https://www.youtube.com/live/HklC_qQvjgU?si=qzSVQt19PHc5ohRC Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, amesema jumla ya wanachama 4,109...
  14. R

    GE2025 Mfanyabiashara William Nyakua achukua na kurejesha fomu kuwania Ubunge Jimbo la Kigamboni

    Mfanyabiashara, mdau wa maendeleo Kigamboni na Kada wa Chama Cha Mapinduzi - CCM, William Nyakua, amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Kigamboni Jimbo hilo linawaniwa pia na Rais wa Klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said ambaye naye alichukua...
  15. Waufukweni

    GE2025 Maggid Mjengwa: Sielewi ajenda ya CHADEMA wanataka nini? Wanasema wanataka Katiba, hii sio ajenda ya mwananchi

    Wakuu! Hivi mnamwelewa Maggid Mjengwa kwa tafakari za kisiasa? 🤔 Maggid anasahau kuwa Katiba ndiyo chombo cha kuuongoza mfumo. === Maggid Mjengwa, Mchambuzi wa Masuala ya Siasa "Sielewi ajenda ya CHADEMA wanataka nini? Wanasema wanataka katiba, hii sio ajenda ya mwananchi kwamba itamtoa...
  16. R

    SI KWELI PreGE2025 CHADEMA kufanya maandalizi ya wagombea Ubunge na Udiwani kwa Siri

    Wakuu, JamiiCheck hii barua ni ya kweli.
  17. PAYE

    GE2025 Verynice Lema wa UVCCM DUCE achukua na kurejesha kugombea Udiwani Kata ya Miburani, Temeke

    Mwenyekiti wa UVCCM Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam tawi maalum la DUCE, Verynice Lema amechukua na kurejesha fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Udiwani kata ya Miburani Temeke Dar es Salaam. Aidha, amesema kuwa amejitafakari na kuona ni wakati sahihi kuomba kuteuliwa kugombea katika kata hiyo...
  18. PAYE

    GE2025 Mfanyabiashara wa Madini na mafuta Fidel Ntanyinya arejesha Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo la Songwe Kupitia CCM

    Mfanyabiashara maarufu wa madini na mafuta Fidel Ntanyinya, Julai 2, amerejesha fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Songwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Hafla ya urejeshaji wa fomu hiyo imefanyika katika ofisi za CCM Wilaya, kata ya Mkwajuni. Fidel Ntanyinya, anayefahamika kwa mchango wake...
  19. PAYE

    GE2025 Mpinzani wa Nassari, Johnson Sarakikya aingia rasmi ulingoni amerejesha fomu ya ubunge Jimbo la Arumeru Mashariki

    Mfanyabiashara maarufu wa mazao anayefahamika kwa jina Johnson Exaud Sarakikya, amerejesha fomu ya kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Julai 02, 2025.
  20. Mindyou

    GE2025 Kawe pamezidi kunoga. Asha Mohamed arejesha fomu kugombea Udiwani wa Viti Maalum Kawe

    Wakuu, Asha Mohamed mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kinondoni arejesha fomu kugombea Udiwani Viti Maalum Jimbo la Kawe wilaya ya Kinondoni
Back
Top Bottom