Tusiwaache CCM peke yao, twende tukapambana nao, twende tukalinde kura ndio maana tukasema oktoba linda kura inawezekana katika majimbo 222 tusipate zote lakini hatutakosa majimbo 40 au 50 na kuondoa bunge butu Alisema Zitto Kabwe katika Operesheni Ya Majimaji mkoani Tabora
Kupata matukio na...
Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akizungumza katika mkutano wa hadhara Mkoani Kigoma, leo Julai 2, 2025 amewataka Wananchi kutotoa nafasi nyingine ya miaka mitano kwa Bunge alilosema limeshindwa kuisimamia Serikali na kutetea maslahi ya Watu.
Ameyasema hayo katika Uwanja...
Act Wazalendo tunataka kufanya mabadiliko ya nchi hii na mabadiliko ya nchi hii atuwezi kuyafanya kwa kuyabembeleza, wameshanogewa wameshakolea na wanaona wanaweza kufanya chochote, natunasema hatuikimbii hii vita na muhuni hasusiwi Simba Jike Rithe ameyasema hayo Tabora
Profesa Norman Sigalla King amerejesha Fomu za kugombea nafasi ya Ubunge jimbo la Makete kupitia CCM leo Julai 2, 2025. Prof. Norman ambaye amewahi kuwa Mbunge wa Jimbo hilo anakumbukwa na Wananchi wa Makete kutokana na kufanikisha ujenzi wa Barabara ya Lami kutoka Njombe - Makete.
Pia, miradi...
Ridhiwan Kikwete amechukua na kurudisha fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Chalinze kwenye ofisi ya Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Bagamoyo
Ridhiwani ambaye ni Mbunge wa Jimbo hilo anataka kuendelea kuitetea nafasi yake hiyo na yupo tayari kwa ajili ya kinyang’anyiro hicho kitakacho tamatika...
Inaitwa 'purge' mkakati wa dola kulazimisha viongozi waachie ngazi.
Purge : Usafishaji wa safu za juu kisiasa unarejelea kuondolewa kwa lazima au kuondolewa kwa watu wanaochukuliwa kuwa wasiohitajika kutoka kwa taasisi ya kisiasa, kama vile serikali au shirika, na wale walio mamlakani.
Hii...
Aliyekuwa mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea ubunge Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu mkoani Simiyu, leo Jumatano Julai 2, 2025.
Mpina amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya ya Meatu, Nabothi Manyonyi.
=========================
Mbunge ambaye Jimbo...
Wengine wanamtaja Samia.
Wengine wanamtaja Tulia
Kwangu mimi huyu ndo Mwanasiasa Bora zaidi Mwanamke nchini Tanzania tangu 2020 hadi sasa. Si mwingine ni Aida Kenan, mbunge wa Nkasi kupitia Chadema mwaka 2020-2030 na Mbunge pekee wa Chadema katika Bunge linamohitimishwa rasmi mwezi Agosti...
Wakili na Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Women and Youth Foundation, Rosemary John Mzee, ameandika historia kwa kuwa mwanamke wa kwanza kujitokeza kuwania Ubunge wa Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025
Rosemary ambaye ni mhitimu wa Shahada ya...
Mwl Deogratius William Kimario nae ajitosa kutia nia kupambana na Prof Mkenda Jimbo la Rombo
Soma pia: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Chanzo: bananafm
Asha Baraka leo Jumatano amerejesha fomu ofisi za CCM Makao Makuu Dodoma ya kugombea katika makundi maalum kitaifa kupitia taasisi zisizo za kiserikali (NGO’s) kwa nafasi za UWT Tanzania Bara.
Asha Baraka alichukua fomu hiyo jana Jumanne Julai Mosi, 2025 ambayo alikabidhiwa na Katibu wa Umoja...
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kahama Mjini 2005 - 2015 James Daud Lembeli amejitosa kwenye kinyang'anyiro cha kuomba ridhaa ya kuipeperusha bendera ya chama cha mapinduzi (CCM) ngazi ya ubunge kahama mjini
Soma pia: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania...
Lengo lake ilikuwa nini hasa?
Tulishajipanga juchukua jimbo
Siku chache kabla ya kipyenga akasema anagombea nasi tukaghairi
Siku ya mwisho ya kurudisha fomu anasema hagombei tena
Hii kitaalam inaitwaje?
Pia soma Pre GE2025 - Kassim Majaliwa, ametangaza rasmi kustaafu kugombea tena Ubunge wa...
Mh Rais na Mwenyekiti wa Ccm.
Naomba umulike haya majimbo kwa ukaribu zaidi.
Jimbo la Buchosa
Jimbo la Bukoba Mjini
Jimbo la Temeke.
Katika haya majimbo wagombea ambao wanatetea nafasi zao wameamua kuua ushindani kwa style kuchukua Vijana ambao wanajua hawana ushawishi hawana nia ya kugombea...
Mwenyekiti wa umoja wa maafisa usafirishaji (BodaBoda)kanda ya kihesa Ndugu ALEX ELIAS DUMA amejitosa kusaka udiwani kata ya Kihesa manispaa ya Iringa
Alex Duma anakoleza joto la uchaguzi katika kata hiyo ambayo diwani anaye maliza muda wake na aliyekuwa naibu meya July Sawani nae anatetea...
Atranus Method (kulia) amechukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge Jimbo la Buchosa, leo Julai 2, 2025 na kukabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Sengerema, Rashid Semindu.
Aliyekuwa Mbunge pekee wa Chadema kutoka Nkasi Kaskazini, Aida Kenani amewaaga wapiga kura wake akisema kama atagombea hakuna wa kumshinda. Hata hivyo, amesema hawezi kusaliti mapambano.
Chadema imeweka msimamo wa kuzuia uchaguzi hadi mabadiliko yatakapopatikana, maarufu "No Reforms No Election."
Hamad Komboza Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania Jumatano hii amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuwania ubunge wa Jimbo la Kinondoni.
Msomi na Mhadhiri wa chuo kikuu cha dar es salaam (UDSM)Mary Jimmy Malle (28),amejitosa rasmi kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa Viti Maalum Elimu ya Juu kupitia chama cha Mapinduzi akitokea mkoa wa Arusha
Malle amechukua fomu mapema leo na kukabidhiwa na katibu wa Umoja wanawake wa chama cha...
Mfanyabiashara na Mkuregenzi wa TWINTECH GROUP Kulwa Issa amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Mtwara Mjini katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
Kupitia taarifa rasmi aliyoitoa, nia yake ya kuwania nafasi hiyo imetokana na hamasa kubwa kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.