kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    GE2025 Zitto Kabwe: Wasioshiriki uchaguzi watajutia uamuzi wao

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ametoa wito kwa Watanzania kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, akisisitiza kuwa kususia uchaguzi ni kosa kubwa litakalogharimu taifa kwa miaka mingine mitano ya mateso ya kisiasa na kiuchumi. Akihutubia mkutano wa...
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Aliyekuwa Katibu wa NCCR Wilaya Rungwe, ajiunga na ACT Wazalendo

    Aliyekuwa Katibu wa NCCR Wilaya Rungwe, Benard Mwamenywa amejiunga na ACT Wazalendo leo Julai 05, 2025. Mwemenywa amesajiliwa kidigitali katika chama hicho na Zitto Kabwe; ambaye ni Kiongozi wa Zamani wa ACT Wazalendo. Tukio hilo limefanyika mara baada ya kumalizika kwa kikao cha ndani cha...
  3. M

    Samia, ''Nitamteua Mpina Ubunge'', Pia Kikwete , "Samia atakapomaliza 2030". Je CCM imeshatangaza Rais kabla ya Uchaguzi?

    Kwa yanayoendelea naona kabisa Kuwa CCM imeamua kuwa Mungu. Kauli za Viongozi wa CCM Zinaleta sintofahamu, wanaongea Kauli za uchochezi na zinazoweza leta Mgongano, CCM inaongea as if Rais wa TANZANIA KWA 2025-2030 kama kwamba Ameshatangazwa kuwa ni Samia. Nasema hivi wazi wazi huu ni UJINGA na...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kiza Mayeye: CCM wakae pembeni waone wapinzani watafanya nini

    Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo na Waziri Kivuli wa Fedha katika chama hicho, Kiza Mayeye, amesema licha ya rutuba ya ardhi ya Tukuyu na mvua nyingi zinazonyesha kila mwaka, wananchi wa eneo hilo bado wanaishi katika umasikini mkubwa. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo...
  5. DuaZaMama

    GE2025 RC- Chacha Agomea Millioni 5 za mtia nia amchana Makavu

    Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, ameibua mjadala mkali wa kisiasa baada ya kudai kuwa baadhi ya wagombea wa kisiasa wamekuwa wakijaribu kumshawishi kwa fedha ili waweze kufanikisha ushindi katika kura za maoni kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Akizungumza mbele ya viongozi wa serikali...
  6. Mto wa mbu

    GE2025 Chief Ryemba na Dovutwa kutoa upinzani mkali kwa Samia, kwenye uchaguzi

    Samia Suluhu ni Mgombea wa CCM ambaye atakutana na upinzani mkali kuwai kushudiwa katika Historia ya vyama vingi. Samia atachuana na majabali ya siasa hapa Tanzania kina, Chief Ryemba, na Dovutwa. CCM wamejipanga kutumia mabilioni ya shilingi Ili kuandaa Kampeini kabambe ya kuwakabili majabali...
  7. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Dorothy Semu: Wananchi wasimame kidete kulinda kura

    Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu, amesema chama chake kimeamua kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba ili kutetea na kulinda demokrasia nchini, akisisitiza kuwa ni haki ya kila mwananchi kuchagua viongozi wanaoweza kuleta maendeleo. Amebainisha haya Busega, mkoani Simiyu, Semu na kwamba haki...
  8. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Nabii Geordavie: Tukapige kura mwezi Oktoba, na tumuombe rais Samia

    Nabii Mkuu wa Makanisa ya Ngurumo ya Upako (N.Y.U), Dkt. Moses Kasambale Geordavie, ametoa wito kwa Watanzania kuhakikisha wanatumia haki yao ya kikatiba kwa kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kwa kuwachagua viongozi wa nafasi za Udiwani, Ubunge na Urais. Dkt. Geordavie...
  9. Mindyou

    GE2025 VIDEO: Baba Levo kama alishindwa kujibu maswali mepesi kama haya, anawezaje kuwa Mbunge?

    Wakuu Nimekutana na clip hii ya Baba Levo akiwa ameulizwa maswali mepesi kabisa na huyu comedian anaitwa Kipotoshi. Hii interview ina miaka takribani minne lakini it is very relevant hata sasa Yaani anaulizwa muswada ni nini hajui, muswada ni topic ipo form 1 sijui form 2 Soma pia: Baba Levo...
  10. Waufukweni

    GE2025 Mchungaji Anthony Lusekelo (Mzee wa Upako) akiimba Kazi na Utu, Mwezi wa 10 tunatiki kwenye uzinduzi Kanisa la Mwamposa

    Mchungaji wa Kanisa la Gospel Revival Center, Anthony Lusekelo, maarufu kwa jina la Mzee wa Upako, akiongea kwenye Uzinduzi wa Kanisa la Mwamposa
  11. Waufukweni

    GE2025 Nabii Dkt. Mwantyala: Rais Samia umefanya Kazi kubwa ajabu, utadhani Mungu alikuagizia Malaika wa kukusaidia

    Rais wa Umoja wa Mitume na Manabii Tanzania, Nabii Dkt. Joshua Aram Mwantyala, amesema Rais Samia Suluhu Hassan amefanya kazi kubwa ya ajabu, kiasi cha kumfananisha na mtu aliyepewa msaada wa Malaika na Mungu katika kutekeleza majukumu yake. Amesema Rais amewekeza fedha nyingi za kutisha kwenye...
  12. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Zitto Kabwe: Thamani ya uhai katika nchi yetu inapotea. Watu kama Watendaji wa Vijiji nao pia wanakamata, kutesa na kuua

    "Thamani ya uhai katika nchi yetu inapotea. Matendo ya utekaji wa watu kama vile kina Mdude, Kina Soka, Kina Sativa na watu wengine inawafanya watu kama watendaji wa Vijiji kuona kwamba wanaweza nao pia kukamata, kutesa mpaka kuua." Amesema Zitto. Zitto amebainisha kuwa Ibara ya 14 ya Katiba ya...
  13. 888I

    GE2025 "Tutalinda Kura 2025" — Lakini Kwa Mfumo Huu? Hebu Tuache Kujidanganya

    Katika taifa ambalo mgombea kama Boniface Mwabukusi — sasa ni Rais wa TLS — anasimulia jinsi kura zake zilivyokusanywa, kupuuzwa, na mwisho kuchomwa moto huku akiambiwa “nenda ukalalamike popote,” mtu yeyote anayesema atalinda kura 2025 bila kutanguliza mabadiliko ya sheria na mfumo, ama...
  14. Roving Journalist

    Rais Samia akishiriki Uzinduzi wa Hema la Mwamposa, Julai 5, 2025 Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe

    Rais Samia kushiriki Uzinduzi wa Hema la Mwamposa leo Julai 5, 2025 Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe - Dar es Salaam. https://www.youtube.com/live/NZ57idJKHwQ?si=S2Y-6Mx9OoOrpMT6 Uzinduzi wa kanisa hili umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kanisa, misikiti na serikali walihudhuria, watu...
  15. DR HAYA LAND

    Kizazi cha 1995 , hiki ndo kilikuwa kizazi sahihi ambacho kingewezeshwa kingeleta mabadiliko ndo kizazi pekee kilipiga sana kura mwaka 2015

    Ukipitia Takwimu za Tume ya uchaguzi mwaka 2015. Utaona vijana waliojiandikisha mwaka 2015 walikuwa wengi Sana ni wakiozaliwa 1995. Mwaka 2015 , ukifatilia Sana utagundua kizazi cha 1995 kilikuwa kipo shaped kuleta changes . Ila kizazi hiki kinaenda kupotea vibaya Sana . Ndo amabcho...
  16. F

    GE2025 CHAUMMA wasibezwe. Tujifunze kutoka kwa waingereza

    Nawashauri wale ambao wanapata shida kusoma zaidi ya paragraph moja waishie hapa. Nilichoandika ni kijigazeti hivyo yatawatia hasira bure. Hivi karibuni kumetokea vijimaneno vikiashiria kuwa wameishiwa pumzi na kuwa wafadhili wao wamewatema. Kwa mtazamo wangu ni mapema mno kutangaza kifo cha...
  17. H

    Watanganyika Asilia Kamwe Tusishiriki Uchaguzi Bila Marekebisho

    Mpaka sasa wale wenye uraia wa kubumba, kuokoteza, na kupewa ndio wapo mstari wa mbele kabisa kutaka nchi iendelee na chaguzi za dhuluma zisizozingatia haki wakihofia uwepo wa uchaguzi wa haki unaweza kuwatoa nje, na hivyo wao kushindwa kuwasaidia watu wa mataifs yao asilia. Hawa wasio...
  18. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Nyanda Shuli: Wananchi wajitenge na viongozi ambao watapenda kutengeneza ushawishi kwa njia ya rushwa uchaguzi mkuu 2025

    Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (CHRAGG), Bw. Nyanda Shuli, amesisitiza umuhimu wa wananchi wa Tanzania kupewa elimu kuhusu rushwa na madhara yake, ili kuwawezesha kutumia haki yao ya kuchagua viongozi bora katika Uchaguzi Mkuu. “Tupo hapa leo kujadili jinsi ya kutumia...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mwenenzi wa CCM Dodoma akosoa wanaokejeli wasanii kugombea

    Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed, amewakosoa vikali watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa vyama vya upinzani kwa kutoa kauli za kejeli dhidi ya baadhi ya wagombea wa nafasi za ubunge na udiwani. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread...
  20. The Palm Beach

    GE2025 Wanachama wa CCM warudisha Michele,sukari wadai ni rushwa

    Hawa jamaa (CCM) rushwa iko kwenye damu zao. Hii rushwa ya ndani ya chama chao ni tone kwenye ziwa Victoria.... Kwenye ushindani na vyama vingine, huko wanapora na kuiba kila kitu, wanateka, kupoteza na kuua kabisa wapinzani wao... Tunaposema, hawajawahi kushinda uchaguzi wowote kihalali muwe...
Back
Top Bottom