Ndugu wanajamiiforum, mambo ni moto kwelikweli. Huku No reform no election. Upande mwingine Askofu Gwajima kujipatia Jina jipya akihusishwa na wasaliti upande ule baada ya kusema ukweli kuhusu utekaji na walio wengi tunampa maua yake.
Sasa srikali kupitia bunge limemjadili Askofu Gwajima Kwa...
Wakuu,
Katibu wa Chadema Kanda ya Victoria Zakaria Obad akizungumza katika mkutano wa chama hicho jijini Mwanza ambao umewakutanisha viongozi na wanachama wa wilaya za Ilemela na Nyamagana
"Tumemaliza hatua ya kwanza ya kutoa elimu, kufanya mikutano ya hadhara... maneno yamesha zungumzwa...
Rais Samia akipokea Tuzo Maalum kutoka Bungeni Dodoma Mei 31, 2025
https://www.youtube.com/live/dtSWOacZX3s?si=52R5DMNF-khUWAEl
=============================================================
Tulia Ackson, Spika wa Bunge la Tanzania akizungumza wakati Bunge likikabidhi tuzo maalum kwa Rais wa...
Kitendo cha chama hiki kushirikisha Watu wote kwenye jambo lake ni silaha halisivya mapambano.
Angalia hii
Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha Godbless Lema na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha Boniyai.
Tunaendelea kutunza kumbukumbu.
Mpaka sasa Mkoa wa Arusha ndiyo wanashikilia rekodi ya...
Tazama picha hawa ACT wazalendo wanachokutana nacho kutoka kwa wananchi ni aibu tupu.
ACT wazalendo mnatakiwa kuchora ramani zenu za siasa upya watanzania hawaelewi mnapigania nini.
Chauma wao watapoteana vibaya munoo.
Ccm hizo pesa mnazotaka kutupa bure Chauma naombeni mzitumie kujenga...
Kwa sasa, hakuna taarifa rasmi kuhusu Dkt. George Lugomela ambaye ni Mkurugenzi wa Raslimali za Maji,Wizara ya Maji kutangaza nia ya kugombea ubunge katika uchaguzi ujao.
Lakini ni mtu ambaye amekuwa midomoni mwa wananchi wa wikaya ya Maswa hasa wanachama wa CCM na wananchi wa jimbo la Maswa...
Tar. 15/7/2024 chama Cha kikomonisti Cha China kilifanya mkutano wake mkuu pale Bejing
Agenda kubwa ilikuwa kujadiliana kupungua Kasi ya kupanda kwa uchumi na kuzorota kwa sekta ya ujenzi kutokana na madeni Hali iliyofifisha ujenzi haswa wa MAJENGO makubwa
China hawakutani kuzindua...
Haya ndiyo majibu ya Askofu Josephat Gwajima kwa Mwenyekiti wake CCM na Rais Bi Samia Suluhu Hassan baada ya kumtangazia vita..
Soma Pia: Rais Samia: Tusi-gwajimanize chama chetu, Magwajima tuyaache huko nje. Ukicheza ngoma si yako lazima utaharibu
Msikilize tu kwa dakika 3 tu na kumaliza kila...
Kundi la Waasi toka Chadema aka G55 likiongozwa na John Mrema, Salum Mwalim, Benson Kigaila na mataperi wenzao hatimaye wamemvunja moyo mfadhili wao CCM.
Waliwaaminisha CCM kuwa wao ndio walikuwa brain ya kuiongoza Chadema na wakiondoka Chama hicho kitayumba.
Wakapewa pesa ya awali ili waweze...
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema amegusia suala la Gwajima na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Rais Samia: Tusi-gwajimanize chama chetu, Magwajima tuyaache huko nje. Ukicheza ngoma si yako lazima utaharibu
Acha nianze kwa kutoa angalizo kwanza, Mimi sio mtabairi wala nabii lakini nina kipaji cha kuona na kutazama mbali sana.
Ilani ya CCM ya 2025-2030 ni ya mabadiliko ya kweli na inayokidhi matarajio ya wapiga kura na ikiwa imeangazia masuala yote mtambuka ya kizazi hiki na kijacho.
Ni suala la...
Mh Gwajima, kwako wee Ubunge sio kitu, Maisha ulikua nayo makubwa hata kabla ya kua Mbunge.
Tofauti na Matajiri wanaingia CCM kua Wabunge ili wakwepe Kodi , Sikuoni wewe ni wa aina hiyo!!.
Mungu ana Mpango mkubwa Nawewe , Nikuombe na kukusihi sana katika wakati huu ambao Mh LISSU amekamatwa...
GT
Ukifuatilia kwa ukaribu utaona CCM kwa sasa wana lugha kandamizi na za kibabe sana ambazo ndani yake zimejaa jeuri na fitina.
Pamoja na.mambo ya hovyo ya CCM kama ubadhilifu, bado kinaona kina uhalali wakufanya yote hayo mambo ya hovyo.
Amini nawaambia kama tungekuwa na tume huru ya...
Huwezi kuamini kama hapa ndipo palipozalisha Mamluki Wengi waliojiita G55, lakini hali ndio kama mnavyoiona.
Kwa kifupi ni kwamba wale Mamluki Wamepuuzwa kabisa na watu wote zikiwemo hata familia zao.
Angalia mwenyewe Hapa ni Moshi Mjini
MBUNGE TOUFIQ TURKY: UKIWA YATIMA AU MJANE JIMBO LA MPENDAE UNALIPWA POSHO
Mbunge wa Jimbo la Mpendae Toufiq Turky amesema bado ana nia ya kuendelea kuwa mbunge wa Jimbo hilo kutokana na utekelezaji mkubwa wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi Jimboni kwake.
Turky amesema hayo leo Jijini Dodoma...
Wakuu,
Yaani imefikia point where CCM inachukua mafunzo ya uongozi kutoka North Korea
Kwanini CCM isingekaribisha vyama vyenye demokrasia kama Republicans na Democrats kutoka au Labor Party kutoka Uingereza?
Ni hatari sana kwa chama tawala kujihusianisha na MADIKTETA.
Nimesikitika na kuogopa...
Rais na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amehitimisha Mkutano Mkuu wa chama hicho kwa kutoa wito wa mshikamano na umoja miongoni mwa wanachama kuelekea kipindi cha uchaguzi.
Akizungumza mbele ya wajumbe wa Mkutano Mkuu, Rais Samia amesema kuwa tayari hali inaonyesha...
"Hii ni Ilani ya CCM ya saba ya uchaguzi mkuu tangu nchi yetu iliporejea katika mfumo wa vyama vingi vya siasa na kufanya uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995. Katika Ilani zote hizi, CCM imeongozwa na Dira ya kuiona Tanzania yenye ustawi kwa wote, nchi inayozingatia na kuheshimu...
Mwenyekiti wa Kamati ya Ilani ya Chama Cha Mapinduzi nchini Tanzania Prof. Kitila Mkumbo amebainisha kuwa katika kulinda mafanikio makubwa yaliopatikana wakati wa utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/25,katika kukuza uchumi jumuishi na kuimarisha ustawi wa wananchi wote, serikali imetakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.