kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Makalla: CCM isihushishwe na vurugu zilizotokea Tabora kwenye mkutano wa CHADEMA

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Itikadi na Uenezi, Amos Makalla amesema chama hicho hakihusiki kwa namna yoyote na vurugu zilizotokea hii leo katika mkutano wa hadhara wa CHADEMA uliokuwa ukifanyika Igunga, mkoani Tabora kama ilivyodaiwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara...
  2. Nyankurungu2020

    CHADEMA ya Lissu ipo kwa maslahi ya umma . Haipo kwa ajili ya kuganga njaa. Ndio maana inachukiwa na watawala wa CCM

    Wanachopambania CHADEMA ya Lissu ni maslahi ya taifa letu. Kwamba kuwe na katiba ambayo itatoa haki kwa Watanzania kuwa na viongozi ambao wao wanaona wanafaa kuwawakilisha. Maana yake ni kutokuwa na Bunge amabalo litakuwa kama wakala serikali ambayo haina tija kwa wananchi. Wao, wanaCCM...
  3. USSR

    PreGE2025 Eng Ezra Chiwelesa, zao la kahawa litainua uchumi wa kijani baada ya ndizi jimboni biharamulo

    MRADI WA KUSAMBAZA MBEGU ZA KISASA ZA MIKAHAWA JIMBONI BIHARAMULO NDIO MWAROBAINI WA UCHUMI WA KIJANI . Kahawa inakamilisha dhahabu ya kijani kwa wanabiharamulo kujikwamua baada ya zao la ndizi na kuinua uchumi wa kijani Kama unafukiri umepitwa na mradi huu usiogope miche ipo ya kutosha na...
  4. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Salim Kikeke athibitisha kugombea ubunge kulekea uchaguzi mkuu 2025

    Leo katika posti yake katika mtandao wa Instagram Salim Kikeke amesema akitoka kwenye majukumu yake nje ya nchi atakuja kugombea moja ya jimbo, licha ajaweka ni jimbo gani Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya...
  5. Kalamu Nzito

    PreGE2025 Kauli Mbiu za CCM Kuelekea Uchaguzi Zimedoda

    Kuelekea uchaguzi, kila chama kimetengeneza kauli mbiu yake. CHADEMA wanatembea na NO REFORMS, NO ELECTION. Hawajabadili kauli mbiu yao tangu waitangaze kwa Umma. Kwa upande mwingine, chama tawala -CCM, timu ya uenezi na itikadi mpaka sasa imebuni kauli mbiu zaidi ya kumi na bado zimekosa...
  6. Erythrocyte

    PreGE2025 Tabora: No Reforms No Election yafunga kazi, Wananchi wote wahudhuria, Wasema bila Reforms hakuna Uchaguzi

    Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia jioni hii. Kwamba Baada ya Tangazo la Shetani la kuzuia Shughuli za Chadema kwa Wiki 2, Watu wengi mno wakaamua Kujazana Tabora Mjini. Unalopaswa kujua ni hili miongoni mwa Waasisi wa kesi ya kuzuia shughuli za Chadema yumo anayeitwa Salum Mwalimu, Ambaye...
  7. DuaZaMama

    PreGE2025 Kikulacho kinguoni mwako Chadema inarudishwa Nyuma na wanachadema wenyewe

    Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinaendelea kukumbwa na changamoto za ndani baada ya Mahakama Kuu kutangaza kusitisha shughuli zake za kisiasa kwa kipindi cha siku 14. Kesi hiyo yenye namba 8323 ya mwaka 2025, imefunguliwa na mwanachama wa chama hicho, Said Issa Mohamedi pamoja na...
  8. Shanily

    PreGE2025 No reform no Election ingeanzia kwenye mifuko yao

    Huwa nawashangaa Hawa wabunge na viongozi wa upinzani wakishupaza shingo zako "NO REFORM NO ELECTION" Ni mara ngapi wamechangia katika maendeleo ya nchi Yao kupitia pesa zao za mifukoni wanazolipwa na serikali wanayoipigia kelele!?. Mbona pesa wanazolipwa na serikali hiyo hawazikatai...
  9. R

    PreGE2025 CHAUMMA yasepa na kijiji Kigoma Kusini, nyomi lake lawashtua CHADEMA, ACT na CCM

    Wakuu Ni muendelezo wa C4C ya CHAUMMA na muitikio umekua mkubwa Pengine sera zao za ubwabwa zinavuta wananchi uchaguzi wa October 2025 ==== Mapokezi ya Mwenyekiti wa CHAUMMA Taifa Mh. Wakili Msomi Hashim Rungwe kwenye eneo la Sunuka, Jimbo la Kigoma Kusini ambapo ameambatana na Makamu Bara...
  10. ChoiceVariable

    PreGE2025 Wasira: Wananchi jiandaeni Kutiki, No reforms Inaelekea Mwisho

    My Take Nyundo ya Mahakama Je inaweza kuwa ndio mwisho wa huo ujanja ujanja wa kutembeza bakuli la tonetone? 🤣🤣 Pia soma Breaking News: - Pre GE2025 - Rasmi, Mahakama yapiga marufuku shughuli zote za CHADEMA Ni Kutiki tuu hiyo Oktoba === Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen...
  11. W

    Vuguvugu la 'No Reforms, No Election' linatafutiwa kila sababu ili likomeshwe, kwanini wanakiogopa chama ambacho wanasema kinaenda kujifia?

    Wakuu Naona Serikali ni kama inatafuta kila njia ili wapate kuisimamisha CHADEMA katika harakati zake za kuzuia uchaguzi. Tuliona asubuhi waraka wa msajili akivitaka vyama vya siasa kufuata na kuheshimu sheria katika mikutano ya hadhara na hapa kwa kiwango kikubwa tunajua kuwa lengo lilikuwa...
  12. Prakatatumba abaabaabaa

    Vijana msitumike kwenye siasa kwa namna yoyote ile, shuhudia hizi vurugu

    Ninaumia kuona vijana wangu wakitwangana makonde kisa siasa, nikifikiria kwa upana zaidi ninaona chanzo cha yote ni umaskini, Hivi lengo la kwenda kwenye mkutano wa chama kingine na kuleta fujo, na kushikiana mapanga wanabenefit nini?, sawa umaskini ndio umewafanya wawe hapo, sasa uyo jamaa...
  13. Mindyou

    PreGE2025 Rasmi, Mahakama yapiga marufuku shughuli zote za CHADEMA

    Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepigwa marufuku kufanya shughuli zozote zile za kiutendaji na oparesheni mpaka hapo kesi ya msingi iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar Saidi Issa...
  14. TODAYS

    PreGE2025 Kwanini Tundu Lissu ataweza kuchukua nchi?.

    Asalaam alykhum, Tumsifu Yesu Kristo. Mimi siyo mtabiri. Nimeona wazi kabisa mchezo wa siasa siyo mzuri na hauna dini, bali dini inachukuliwa na wanasiasa kama kinga kwa wananchi wao. Kikubwa wanasiasa hawana dini na hawaamini kama kuna Mungu, wewe angalia matendo yao. Njoo kwenye mada sasa...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    No reforms no Election Vs Oktoba Tunatiki✔️

    Habari za jumapili; Kuna mgongano wa makundi mawili; Wapo wanaosema Bila mabadiliko ya tume hakuna Uchaguzi Vs wale wanaoona mambo yapo sawa hivyo watashiriki uchaguzi. Maoni yako ni yapi? Kila kundi Lina haki ya kimtazamo kuamini kile linachoamini. Hivyo yeyote asichukuliwe mbaya kwa...
  16. Setfree

    PreGE2025 Yesu hakuwatukana Watawala. Hata aliposikia Yohana amekatwa kichwa, alinyamaza. Kwanini?

    Yesu alipokuwa duniani, nchi aliyokuwa akiishi ilikuwa chini ya utawala wa Dola ya Kirumi. Wakati Yesu anazaliwa, Herod the Great, ndiye aliyekuwa Mtawala. Huyo ndiye aliyeamuru watoto wa Bethlehemu wauawe ili Yesu aangamie. Baadaye alitawala Herod Antipas, Mwana wa Herod the Great. Huyu...
  17. Inside10

    PreGE2025 Mahakama yaagiza Polisi kuchunguza na kumfungulia Kesi Wakili Edson Kilatu anayedaiwa kufoji nyaraka za Kesi dhidi ya CHADEMA

    Mahakama imetoa agizo kwa Jeshi la Polisi Nchini kuhakikisha linachunguza na kumfungulia kesi ya jinai Wakili Edson Kilatu, anayedaiwa kughushi nyaraka na kuingilia mfumo wa Mahakama kwa kuziwasilisha nyaraka hizo kwa njia ya mtandao kwa lengo la kuidanganya Mahakama Hayo yamejitokeza leo...
  18. DuaZaMama

    PreGE2025 Mkutano wa Heche washambuliwa Igunga, Tabora

    CHADEMA kupitia ukurasa wao wa X(Twitter) wamesema watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga mkoani Tabora, watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa makamu mwenyekiti wa chama John Heche. CHADEMA pia wamethibitisha kujeruhiwa kwa mlinzi wa makamu Mwenyekiti...
  19. H

    PreGE2025 Jinsi kampeni za chuki zinavyowabomoa wanawake kugombea nafasi za uongozi

    Na Mwandishi wa Habari Hub Zanzibar Kampeni za chuki, suala linalorudisha nyuma nguvu za wanawake wanasiasa. Na Mwandishi wetu - Zanzibar. KATIKA siasa za Zanzibar, kampeni zimekuwa uwanja wenye changamoto kubwa kwa wanawake wanaotafuta nafasi za uongozi. Mbali na changamoto za kawaida za...
  20. H

    PreGE2025 Sababu zitakazopelekea jamii ya Kizanzibari kuwachagua viongozi wanawake kwenye uchaguzi wa Oktoba 2025

    Na Mwandishi wa Habari Hub Zanzibar. Hadi sasa ni nchi 22 tu duniani kote ndio zina mwanamke kama mkuu wan chi kati ya nchi 119, hii inasababishwa na hali ya kijamii kwenye suala la kuchagua na kuwapata nafasi wanawake kuwa viongozi. Tanzania ni miongoni mwa nchi hizo 22 ambazo zina viongozi...
Back
Top Bottom