Na Mwandihi wa Habari Hub
Katika Kikao cha 76 cha UNGA, Baraza Kuu kwa makubaliano liliitangaza tarehe 24 Juni kila mwaka kuwa siku ya kimataifa ya wanawake katika diplomasia.
Kwa azimio hilo (A/RES/76/269) Baraza kuu lilizialika nchi zote wanachama, mashirika ya Umoja wa Mataifa, mashirika...
MBUNGE TOUFIQ TURKY AGAWA MISAADA YA SIKUKUU KWA WANANCHI WA MAKUNDI MAALUM
Mbunge wa Jimbo la Mpendae, Mhe. Toufiq Salim Turky tarehe 06 Juni, 2025 ametembelea Shule ya Sekondari ya Mpendae na kukabidhi Misaada ya Sikukuu kwa makundi mbalimbali ya watu wenye mahitaji Maalum wakiwemo Mayatima...
Wakuu
Huenda hizi amsha amsha za CHADEMA huko mikoani ndizo zilizomtoa Msajili wa vyama vya siasa kuja kusema chochote kitu? Au kuna kaupenyo kanatafutwa hapa.
====
Yah: MWITO KWA VYAMA VYA SIASA KUHESHIMU SHERIA YA VYAMA VYA
SIASA SURA YA 258
Naomba mrejee suala tajwa hapo juu.
2. Katika...
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dkt. Juma Homera amesema wanaoandika No Reforms No Election wataumiza mikono yao kwa kuwa uchaguzi uko pale pale.
"No Reform No Election wala nini! Hiyo tunaishuhudia tu mitandaoni, wataendelea kuandia wataumiza mikono yao bure, sisi tunagonga Uchaguzi mwezi Oktoba...
Akihojiwa mambo mbalimbali na kituo cha redio cha East Africa mbunge wa zamani Sulemani Bungara almaafufu Bwege amesema kwamba Chadema ndio chama makini zaidi Tanzania kwani wao wameamua kudai haki za wananchi kwa kuwa duniani kote haki haiombwi bali hudaiwa ila ACT wao wanaomba haki kwahio...
Licha ya upinzani mkubwa wa sera na mipango mikubwa ya Chadema ni wazi CCM ni mshindi mpaka sasa Kwa sababu hawa Chadema wenye wafuasi wengi hawatashiriki uchaguzi.
CCM Wana Hela za kutosha hawana tone Kwa tone, Wana vyombo vya ulinzi Wana watumishi wa Umma kama walimu ambao wao Kila kitu...
If history is any guide, this no reform, no election craze is headed down the path of doom, as did others such as UKAWA.
Watanzania hatuwezi kabisa ku sustain indignation.
Hii kampeni inaenda kufa tu kama ilivyokufa UKAWA.
Nani anaikumbuka UKAWA? Ilishasahaulika kabisa katika msamiati 🤣. Oh...
Takribani mwezi mmoja uliopita chadema waligoma kusaini fomu ya maadili yatakayotumika kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Kitendo hiki kilipelekea Tume huru ya uchaguzi (INEC) kwa mjibu wa sheria kuifuta chadema kwenye kushiriki kwelnye chaguzi zo zote zitakazofanyika hadi mwaka 2030.
Hii ina...
Uongozi wa chama cha ACT WAZALENDO Jimbo la Chato Kusini umemkabidhi Fomu ya Ubunge Lushona Mathias mkazi na Mzaliwa wa wilaya ya Chato ili kwenda kupeperusha Bendera ya chama hicho huku akiahidi kwenda kutatua changamoto za wakulima , wafugaji pamoja wafanyabiashara wa Jimbo la hilo.
Kupata...
Hapatakua na nyodo wala kuropoka ropoka tena, midomo mirefu na kisirani ya viongozi wa chadema itakua imekwesha kabisa.
kama tujuavyo,
bila ruzuku hakuna chadema. Na ndio maana mnaona mikutano yao inadorora kadiri michango ya kwenye kibakuli inavyopungua huku ruzuku kidunchu wanayopata ikiwa...
MIRADI WA KUPOZA UMEME NYAKANAZI KILOVOLT 220 HADI 440
Usione miradi mikubwa inafanyika ukadhania hata wewe ungekuwa mbunge ingekuwa tu ni mpambano haswaa, ni kuzunguka kona za wizara na maswali ya hapa na pole kwa mawaziri kama sio mpambanaji watapewa wengine kwa kisingizio cha KASUNGURA...
Pichani ni Wananchi wa Singida Mjini wakishangilia Spana za Chadema zilizojaa Ushahidi kuhusu Wizi wa kura
Hii ni baada ya Elimu kabambe kutoka kwa Baba Askofu Mwamakula
Baadaye John Heche akaingia ulingoni
Kama hali ni hii ni nani atashiriki uchaguzi?
Mwaka wa uchaguzi. Mada za kifalsafa za uchaguzi.
Watanzania wengi wamekuwa wakilitaja suala la kigezo cha elimu cha kugombea ubunge kuwa kujua kusoma na kuandika kama tatizo.
Mantiki yao ikiwa, wabunge wasio na elimu rasmi kubwa, mfano angalau degree moja, ni tatizo bungeni, kwa sababu...
Zaidi ya shilingi Bilioni 2.4 zimetengwa na serikali kupitia Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa mwaka 2025 kwaajili ya Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa shule za Msingi na Sekondari.
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Mhe. Zainab Katimba wakati wa...
Sasa hivi kila Kona ya nchi wimbo ni No reforms No election nimekaa nikawaza yakatokea maswali haya hapa
1;Je No reforms No election ni kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au ni kwa ajili ya Tanzania Bara?
2; Kwa mujibu wa Tume huru ya Uchaguzi Chadema imekosa sifa ya kushiriki uchaguzi je...
Katibu Mwenezi wa NCCR Mageuzi, Elisante Ngoma ametangaza kuhamia Chama cha ACT- Wazalendo huku akitaja sababu ni chama chake kupoteza dira katika kupambana na chama tawala, Chama cha Mapinduzi (CCM).
Ngoma amekuwa miongoni mwa vigogo waliohamia kwenye chama hicho hivi karibuni, akitanguliwa na...
Mwalimu wa Dini ya kiislamu na mtaalam wa Dua Shekhe Abuu Jadawi amewataka kuachana na watu wanaoisukuma ajenda ya No reforms No election na kudai kuwa wametumwa na wanafanya Kwa maslahi yao, akisema kuwa mbwa wanopanda juu ya mtu kuwa si kawaida na kama amepanda amepandishwa na mtu.
Aidha...
Kupia video hii, unahisi ni nini kinampelekesha rais kiasi ambacho anaonekana kutokuwa katika hali ya kawaida?
My take:
Kuna haja ni kuliangalia hili suala ya reforms kwa mapana yake na kwa mustakabali wa nchi yetu pendwa.
Wakuu!
Ni jambo la kusikitisha kuona jinsi ambavyo baadhi ya wabunge wetu bado hawajafahamu vizuri majukumu yao ya msingi kama wawakilishi wa wananchi.
Katika kipindi hiki ambacho nchi inapitia changamoto nyingi kama ukosefu wa ajira, mfumuko wa bei, ubovu wa miundombinu, huduma duni za afya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.