TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,265
- 25,541
Asalaam alykhum, Tumsifu Yesu Kristo.
Mimi siyo mtabiri.
Nimeona wazi kabisa mchezo wa siasa siyo mzuri na hauna dini, bali dini inachukuliwa na wanasiasa kama kinga kwa wananchi wao.
Kikubwa wanasiasa hawana dini na hawaamini kama kuna Mungu, wewe angalia matendo yao.
Njoo kwenye mada sasa, unajua nafaham kwa nini Tundu Antipas Mughwai Lissu yupo lupango na kwa nini anaweza asitoke leo au kesho hadi uchaguzi au baada ya kuiona Chadema imepoteza muelekeo?.
Ipo hivi, wananchi hata mimi mwenyewe imani kwa CCM imekufa, wananchi wanaenda kwa CCM kwa sababu ya saini ya posho na si zaidi.
Wananchi wanalazimishwa kuipenda CCM si kutoka moyoni ila kwa sababu ndiye kashika mpini wote.
CCM wanajua kabisa ikitokea Lissu akaingia kwenye kinyang'anyiro na kushindana na Bimdashi basi hatoboi labda kwa mbereko ya wakuu wa wilaya, mkoa na jeshi la polisi.
Kama huyo mungu wanayemtaja hata hao kina hananja ingekuwa anahofiwa basi kila mtu angetenda haki na hata kura ya kila raia ingetendewa haki ila wanajua hamna HUKUMU wala MOTO wa jehanam.
Yaani huku kwenye ground movie iko wazi bin ukweli.
Mimi siyo mtabiri.
Nimeona wazi kabisa mchezo wa siasa siyo mzuri na hauna dini, bali dini inachukuliwa na wanasiasa kama kinga kwa wananchi wao.
Kikubwa wanasiasa hawana dini na hawaamini kama kuna Mungu, wewe angalia matendo yao.
Njoo kwenye mada sasa, unajua nafaham kwa nini Tundu Antipas Mughwai Lissu yupo lupango na kwa nini anaweza asitoke leo au kesho hadi uchaguzi au baada ya kuiona Chadema imepoteza muelekeo?.
Ipo hivi, wananchi hata mimi mwenyewe imani kwa CCM imekufa, wananchi wanaenda kwa CCM kwa sababu ya saini ya posho na si zaidi.
Wananchi wanalazimishwa kuipenda CCM si kutoka moyoni ila kwa sababu ndiye kashika mpini wote.
CCM wanajua kabisa ikitokea Lissu akaingia kwenye kinyang'anyiro na kushindana na Bimdashi basi hatoboi labda kwa mbereko ya wakuu wa wilaya, mkoa na jeshi la polisi.
Kama huyo mungu wanayemtaja hata hao kina hananja ingekuwa anahofiwa basi kila mtu angetenda haki na hata kura ya kila raia ingetendewa haki ila wanajua hamna HUKUMU wala MOTO wa jehanam.
Yaani huku kwenye ground movie iko wazi bin ukweli.