kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Eric Shigongo achukua fomu ya ubunge jimbo la Buchosa 28 June, 2025

    Mbunge wa Jimbo la Buchosa Eric Shingongo amesema baada ya bunge kuvunja tarehe 27 June mwaka huu basi yeye tarehe 28 June, 2025 ataenda kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo la Buchosa kwa mara nyingine tena. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia...
  2. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Eric Shigongo: Nimekuja na mpango wa madarasa janja kwa lengo la kuwasaidia wanafunzi wa Buchosa kufaulu masomo ya sayansi

    Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema amekuja na mpango wa smart classes (madarasa janja) kwa lengo la kuwasaidia wanafunzi wa Buchosa kufaulu masomo yao hasa ya Sayansi na kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025...
  3. Genius Man

    Spika wa bunge anamuhakikishia mtu ubunge kama nani kwani ubunge unatolewa na spika au wananchi

    Spika wa bunge anamuhakikishia mtu ubunge kama nani kwani ubunge unatolewa na spika au wananchi. Nimesikia spika anamuhakikishia mtu ubunge huko, sasa kwani ubunge unatolewa na wananchi au spika wa bunge tuache kuharibu taswira ya uchaguzi ndio maana tunaka mabadiliko ya kiuchaguzi.
  4. Waufukweni

    PreGE2025 CCM yasitisha mikutano inayowahusisha wajumbe wa vikao vya wachujaji wagombea

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kusitisha mara moja mikutano, semina, ziara na makongamano yote yanayowahusisha wajumbe wa vikao vya uchujaji na uteuzi wa wagombea wa ubunge, uwakilishi na udiwani kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, 2025. Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa CCM...
  5. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Tarimba: Nimejitoa mhanga kwa atakaye mtingisha rais Samia nae ntamtingisha

    Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Abbas Tarimba amesema amejitoa mhanga kwa atakaye mtingisha rais Samia nae atamtingisha. Nataka niwaambie katika historia ya karibuni hakuna utekelezaji ulifana zaidi kuliko utekelezaji wa mwaka 2020- 2025, na tumpongeze sana rais Samia kwa sababu ni kiongozi...
  6. JanguKamaJangu

    PreGE2025 Wasira: Uchaguzi sio ajali, waliokuwa wanafunga vioo vya magari wajue sasa wanarudi kwa wapigakura

    MAKAMU Mwwnyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amewaeleza wabunge na madiwani hususan waliokuwa wanajifungia vioo kwenye magari wajue wakati umefika. Amesema uchaguzi mkuu sio ajali na kwamba wabunge na madiwani wanajua kila baada ya miaka mitano hufanyika uchaguzi...
  7. R

    PreGE2025 Katibu wa Organaizesheni CCM Issa Haji Gavu: Wajumbe msichague viongozi legelege kwenye kura za maoni

    Katibu wa NEC - Oganaizesheni wa CCM Taifa (MCC) Issa Haji Ussi Gavu leo tarehe 23 Juni 2025 ameshiriki Mkutano Mkuu Maalum wa Jimbo la Kinondoni Jijini Dar es salaam, akiwa Mgeni Rasmi, uliofanyika katika Ukumbi wa Ubungo Plaza Katika mkutano huo, Mbunge wa Jimbo hilo Mhe. Tarimba Abbas...
  8. W

    PreGE2025 Magreth Lutufyo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya ACT kugombea Ubunge wa Jimbo la Tanganyika

    Wakuu ACT wanaendelea na arakati za maandalizi kuelekea uchaguzi mkuu 2025 na sasa ni zamu ya Magreth Lutufyo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya ACT kugombea Ubunge wa Jimbo la Tanganyika. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa jimbo la Tanganyika, Ndugu Emanuel Ntinda.
  9. I

    PreGE2025 Umuhimu wa kila mtanzania kushiriki kupiga kura

    Kupiga kura ni haki ya kikatiba inayomwezesha kila Mtanzania kushiriki katika maamuzi ya nchi kwa njia ya amani, kupitia kura wananchi huamua ni nani awaongoze katika nafasi za kisiasa kama Rais, Wabunge na Madiwani na hii ni njia halali ya kushiriki katika ujenzi wa taifa na kuhakikisha kuwa...
  10. Waufukweni

    PreGE2025 Dkt. Mwinyi atangaza kulivunja Baraza la Wawakilishi Agosti 13

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza kuwa atavunja rasmi Baraza la Wawakilishi Zanzibar ifikapo Agosti 13, 2025, ili kuwezesha maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Akihutubia leo Jumatatu Juni 23, 2025, Rais Mwinyi amesema: “Kwa mamlaka...
  11. Waufukweni

    PreGE2025 Prof. Mkenda: Rais Samia aagiza kila Wilaya kujengwa VETA, Ujenzi unaendelea katika Wilaya 64

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema Rais Samia ameagiza kila wilaya ambayo haina VETA ya serikali ijengewe VETA ya serikali. Ujenzi unaendelea katika wilaya 64 Tanzania nzima. Vile vile, wakati Rais Samia anakula kiapo, kulikuwa na mikoa mitano ambayo haikuwa na...
  12. McLaren

    PreGE2025 Janeth Rithe wa ACT Wazalendo aachiliwa kwa dhamana

    Wakuu, Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa wa ACT Wazalendo, Jane Rithe, amepewa dhamana baada ya kushikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa ya chama, Rithe aliachiwa kwa sharti la kuripoti tena polisi siku ya Jumatano. Soma pia: Polisi wafika...
  13. Just Pray

    PreGE2025 Mwanafunzi UDSM: kusipokuwepo uwajibikaji mwananchi ndiye anadhurika, No reforms, No election itaiwajibisha serikali

    Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Martin Samson Abdul ameeeleza kuwa kampeni mbalimbali za uchaguzi zinazoendelea kuhimizwa nchini Tanzania zipo kwa maslahi ya nchi lakini akibainisha kuwa kampeni ya No Reforms No Election inaweza kuangaliwa kwa jicho la kipekee dhidi ya kampeni...
  14. Waufukweni

    PreGE2025 Janeth Ritte: Polisi wana njaa kama Sisi, tukiamua kushughulika nao watabaki salama? si kama unakanyaka Sisimizi tu!

    Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Janeth Ritte wa ACT Wazalendo "Hivi kweli, polisi ambao wana njaa kama sisi, leo tukiamua kushughulika nao watabaki salama? Sisi Watanzania tukisema tumechoka, tunataka kufanya mabadiliko, tunaweza kufanya mabadiliko." Pia, Soma: Janeth Rithe: Wanawake...
  15. R

    PreGE2025 Kikundi cha Wadudu Arusha wakitembea na bango la kumchangia Makonda fedha ya kuchukua fomu kuwanaia ubunge Arusha Mjini

    Wakuu, Kwani Makonda hana fedha ya kuchukulia fomu?
  16. R

    ACT Wazalendo Kupambania Mwenyekiti wa ngome ya wanawake ACT Janeth Ritte kuachiliwa huru

    Wakuu, Kupitia ukurasa wa mtandao wa kijamii instagram wa Chama cha ACT Wazalendo wameweka picha ya kipeperushi yenye maandishi yanayodai Janeth Ritte aweze kuachiliwa huru Je, kwa njia hii wataweza kweli kufanikiwa kupata uhuru wa Janeth Ritte?
  17. Mikael Aweda

    Uchaguzi 2025, CHADEMA warudishwa uwanjani na serikali ya CCM, Je, CHADEMA watakubali au watagoma? 5 questions to answer!

    Nina maswali matano juu ya sakata hili? Wala Sina maelezo mengi. Kwa ufupi, Serikali imetoa tangazo rasmi kwamba CHADEMA wanaweza kusaini kanuni za Uchaguzi hata sasa na kuingia kwenye Uchaguzi wa 2025. Soma, Pia: Wakili Ado November: CHADEMA bado wanayo nafasi kutia saini kanuni za maadili...
  18. R

    Mzee mstaafu, ikiwa Reforms zimeshafanyika, na pesa ya uchaguzi ipo, na wapinzani wapo, kwanini kuhangaika na CHADEMA na NRNE?

    Salaam! Nimesikia Mzee Mstaafu akidai Reforms zote muhimu zimeshafanyika. Sasa ikiwa Reforms zimeshafanyika, 1. Je, Tundu lissu Yuko gerezani kwa kesi ya uhaini kwa tuhuma zipi? 2. Anashtakiwa uhaini juu ya Nini? Alitamka Nini au alishinikiza Nini na kumfanya awe jella? 3. Na ikiwa kweli...
  19. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Samwel John Malecela atia nia ya kugombea ubunge jimbo la Dodoma mjini

    Ndugu Samwel John Malecela ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Mkoani Dodoma na Mkurugenzi wa Lemutuz Media, ametangaza nia ya Kugombea Ubunge Jimbo la Dodoma Mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
  20. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Wasira: Mtu asiyetii Sheria na anayetaka kufanikisha mambo yake binafsi kwa kuua watu huo ni gaidi

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira, amesema utawala bora ni kutii katiba na sheria za nchi, hivyo mtu yeyote asiyetii na anataka kufanikisha mambo yake binafsi kwa kuua watu huo ni gaidi. Wasira ameyasema hayo leo Juni 22,2025 alipokuwa akizungumza katika kikao...
Back
Top Bottom