kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PAYE

    GE2025 Profesa Shemdoe aomba ridhaa ubunge Jimbo la Lushoto

    Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Profesa Riziki Shemdoe, amechukua fomu kuomba ridhaa kugombea ubunge Jimbo la Lushoto, mkoani Tanga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Profesa Shemdoe amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya ya Lushoto, Miriam Kaaya.
  2. Mindyou

    GE2025 Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Jafari Milango achukua fomu kugombea jimbo la Babu Tale, Morogoro Kusini Mashariki

    Wakuu, Jafari Milango (kushoto) amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania ubunge Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki. Milango amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumanne Julai Mosi, 2025 na Katibu wa CCM Wilaya ya Morogoro mkoani humo, Michael Bundala.
  3. DodomaTZ

    GE2025 Innocent Bashungwa achukua fomu kutetea ubunge jimbo la Karagwe

    Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Innocent L. Bashungwa amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Karagwe, mkoani Kagera kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Bashungwa amechukua fomu hiyo na kuirejesha kwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi...
  4. Huihui2

    SI KWELI PreGE2025 CHADEMA imetuma maombi kushiriki uchaguzi

    Heche kweli kichekesho! Kila siku makelele kama generator ya kijijini, kumbe walikuwa wanapiga porojo tu! Walisema hawashiriki uchaguzi, leo wanatuma maombi kwa mbwembwe. Wanafiki wakuu, walitaka huruma kumbe walikuwa wanatafuta nafasi! Acheni maigizo, wananchi si wajinga.
  5. DuaZaMama

    GE2025 Tano Seif achukua fomu kuomba ridhaa (CCM) kugombea ubunge katika jimbo la Temeke

    Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya za Kalambo mkoani Rukwa na Busega mkoani Simiyu, Tano Seif Mwera amechukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge katika jimbo la Temeke. Mwera amesema kilichomsukuma kuchukua fomu hiyo ni mwamko wa kufanya vizuri kwa wanawake katika...
  6. DuaZaMama

    GE2025 Aesh Hilaly achukua fomu ya ubunge jimbo la Sumbawanga Mjini

    Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini Aesh Hilaly Aesh hilaly amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge kukiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao. Fomu hiyo ameichukua leo katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Sumbawanga Mjini, akikabidhiwa Fomu na Katibu wa...
  7. R

    GE2025 Aliyekuwa Mkurugenzi wa TCCIA, Nebart George amechukua fomu kuwania Ubunge Jimbo jipya Kivule kupitia CCM

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nebart George Mwapwele, amechukua rasmi fomu ya kuwania ubunge kupitia tiketi ya CCM katika Jimbo jipya la Kivule, mkoani Dar es Salaam Nebart Mwapwele ambaye pia amewahi kuwa Mkurugenzi wa TCCIA, ameeleza kuwa uamuzi wake wa kuchukua fomu umetokana na nia...
  8. Wakusoma 12

    Ulega na mkewe wachukua form za kuwania ubunge

    Wakati Waziri wa Uchukuzi Abdallah Ulega na Mkewe Mariam Abdallah Ibrahim wamechukua fomu ya kuomba kuwania Ubunge wa jimbo na viti maalum katika Mkoa wa Pwani. wadau mbalimbali wamehoji hatua hiyo imelenga kutatua kero za wananchi au ni ubinafsi wa madaraka.
  9. R

    GE2025 'Operesheni Majimaji' ya ACT Wazalendo kufika Kigoma

    Naibu katibu Mwenezi wa ACT Wazalendo, Shangwe Ayo akiwa pamoja na timu ya wanachama wa ACT jana kuelekea Kigoma ziara ya Operesheni majimaji iliyozinduliwa jumapili Juni 29,2025 Operesheni majimaji imepangwa kufanyika nchi nzima ikiwa ni kuanzia Julai 1 hadi Julai 15, 2025 ikilenga kuwaamsha...
  10. Waufukweni

    GE2025 Tundu Lissu: Msajili wa Vyama, hana mamlaka kufungia/kufuta vyama chini ya muda wa miezi 12 kuelekea Uchaguzi Mkuu

    "Msajili wa Vyama vya Siasa, Serikali au Mahakama kuzuia CHAMA cha SIASA kufanya shughuli za Siasa kwenye mwaka wa Uchaguzi." Soma, Pia: Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Julai 15 2025 Amesema hayo leo Julai 1, 2025 Mahakamani wakati akifafanua hoja kwenye shauri la uhaini...
  11. Waufukweni

    PreGE2025 Tundu Lissu: Itakuwa kesi ya kwanza katika historia ya dunia hii kwamba mtu mmoja pekee yake ndio anafanya uhaini

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu amesema "Itakua kesi ya kwanza katika historia ya dunia hii kwamba mtu mmoja pekee yake ndio anafanya uhaini" "Ni mara ya kwanza katika historia ya nchi kuona kesi kubwa katika sheria za Tanzania kesi ya UHAINI...
  12. Waufukweni

    GE2025 Tundu Lissu: Baada ya madai yangu niliyotoa Mahakamani, nililetewa Padre kwenye Sero yangu

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu amesema baada ya madai yake Mahakamani juu ya kunyimwa Haki zake za msingi akiwa sero aliletewa Padre kwenye Sero yake na kupata hudama ya kiroho. Soma, Pia: Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Julai 15...
  13. DuaZaMama

    GE2025 Babyilon Mwakyambile ameomba ridhaa ya kuteuliwa na CCM kuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Kyela

    Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Babyilon Mwakyambile ameingia kwenye mbio za ubunge kwa kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kyela Mkoani Mbeya. Mwakyambile ambaye kitaaluma ni mthamini wa ardhi akiwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Ardhi jijini Dar Es...
  14. Zanzibar-ASP

    Wabunge wote wa Covid 19 ni mizoga ya kisiasa, hawauziki popote, wanasaka kichaka cha kisiasa cha kuwazika kisiasa kwa heshima

    Kwa sasa kama kuna wanasiasa wasioleweka, wasioweza kuaminika au kukubalika popote, basi kundi la wabunge wa Covid 19 ndio kinara. Kisiasa ni kama wamechanganyikiwa hivi, hawajui pakushika na hawajui pakuacha, chochote kilichopo mbele yao chenye kutoa mwanga wa matumaini wa maisha yao ya kisiasa...
  15. USSR

    GE2025 CDE Samira Khalfan Amour achukua fomu ubunge wa viti maalum Kagera

    Mfanyabiashara na mdau wa maendeleo wa mkoa wa Kagera CDE SAMIRA KHALFAN AMOUR amechukua fomu kugombea ubunge wa viti maalum mkoa wa Kagera kupitia jumuiya ya wanawake. Samira Khalfan Amour amekuwa mstari wa mbele kuinua jamii inapokabiliana na changamoto mbalimbali mkoani Kagera Soma Pia: Uzi...
  16. Erythrocyte

    GE2025 Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Julai 15 2025

    Hii kesi itakuwa Mubashara, kwahiyo kila mmoja atajionea Mwenyewe hoja kabambe. Kumbuka kwamba kwenye kesi hii Tundu Lissu anajitetea Mwenyewe https://www.youtube.com/watch?v=Y-Q-tR8W20U Tundu Lissu amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar Es Salaam kwa ajili kesi ya...
  17. Carlos The Jackal

    GE2025 Wingi wa Wasanii kuchukua Fomu , ni kutafuta Wapewe Hela na Wabunge Husika Kisha wajifanye wanajiondoa

    Bongo ukiwa na Akili haufai njaa !!. Wabunge wenyewe wa CCM ndio Hawa wa Community Concerning Tainung institute !! Wasanii wameamua kucheza na akili za Watía Nuru . Ni hivi, Asilimia kubwa ya Wabunge wa CCM ni wakubebwa, hawana Uwezo, saladu ni ni Low IQ. Sasa haya makanjanja wasaniii...
  18. Stephano Mgendanyi

    GE2025 Mbunge Suma Fyandomo achukua Fomu kutetea Ubunge wa Viti Maalum UWT Mkoa wa Mbeya

    Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya (CCM), Mhe. Suma Ikenda Fyandamo amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, akiendeleza dhamira yake ya kuwatetea na kuwaendeleza wanawake pamoja na wananchi wa mkoa wa Mbeya kwa ujumla. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia...
  19. PendoLyimo

    GE2025 Francis Mihayo achukua fomu ya ubunge jimbo la Ushetu

    MIHAYO ACHUKUA FOMU JIMBO LA USHETU Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Kamishina Msaidizi wa Madini Wizara ya Madini, Francis Alleluya Mihayo, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge wa Jimbo la Ushetu Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia...
  20. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Ragi Samwel ajitosa kugombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyewahi kuwa Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU), Ragi Samwel , amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga kupitia tiketi ya CCM. Samwel alipokea fomu hiyo leo, Juni 30, 2025, na...
Back
Top Bottom