Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mdau wa maendeleo Salum Kinyori 'Kibakuli', leo Juni 30, 2025 amechukua fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Handeni mjini Mkoani Tanga.
Salum ambaye ni mdau wa Maendeleo na msomi aliyebobea kwenye fani ya uchumi na mfanyabiashara mbobevu amechukua fomu hiyo...
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kambarage Wasira (kushoto) akichukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea ubunge Bunda Mjini.
Kambarage amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumanne Juni 30, 2025 na Katibu wa CCM Wilaya ya Bunda, Evodia Zumba katika ofisi chama hicho wilayani humo.
Akizungumza leo Juni 30, 2025 Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amedai kuwa hotuba ya Rais Samia aliyoitoa Ijumaa iliyopita Juni 27, 2025 ilielekea zaidi katika kutoa maelekezo kwa vyombo vya Dola kuliko kuzungumza na Wananchi.
Mchambuzi wa soka na mchezaji wa zamani wa timu ya Kariakoo Lindi, Jemedari Said Kazumari (kushoto) amechukua fomu za kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Mtama leo Juni 30, 2025.
Kazumari amekabidhiwa fomu hizo na Katibu wa Wazazi Wilaya ya Lindi Vijijini katika Ofisi ya CCM wilayani...
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, katika hawa Wabunge Wasaliti na Mamluki walioitwa COVID 19, Ambao sasa wanachukua fomu za ubunge kupitia ccm ili kugombea kwenye uchaguzi ambao hautakuwepo (No Reforms No Election), Hakuna hata mmoja aliyetokea CHADEMA, Ogopa Matapeli.
Hao akina Mama...
Mohamed Yakoub, Naibu Meya wa zamani Ilala amechukuwa fomu kugombea Ubunge Jimbo la KILOSA. Jimbo hilo mbunge wake aliyemaliza muda wake ni Mhe. Prof. Palagamanda Kabudi.
Habari wa JF,
Katika hali ya kushangaza na kustaajabisha,jimbo la Kisesa hakuna MwanaCCM yeyote aliyechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kukiwakilisha Chama kugombea ubunge.Pamoja na mafuriko ya wanachama wa Chama hicho maeneo mengine, lakini Kisesa bado wanaCCM wameufyata.
Chanzo changu...
Baba yake ni mjumbe Mkutano mkuu Wilaya, Dada yake Ulega ni katibu Malezi kata kupitia Jumuia ya wazazi na Mtoto wa dada yake ni Katibu wa UVCCM.
Mke wake anautaka Ubunge wa viti maalum Pwani akitokea Mkuranga na tayari ameshachukua fomu.
Yeye Mwenyewe Ulega anautakaa Ubunge wa Mkuranga na...
Aliyekuwa diwanni wa kata ya Mwembetogwa Odo Chaula akiwashukuru wananchi wake kwa kumpa ushirikiano kwa muda wote ambao amewatumikia.
Kada huyo wa chama cha Mapinduzi leo Juni 30,2025 amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea udiwani kata ya Mwembetogwa mjini Makambako.
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara, Janeth Mtiba (kushoto) leo Jumatatu Juni 30, 2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania ubunge Jimbo la Tarime Mjini.
Janeth amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya ya Tarime, Hamza Adam.
"Sasa nafikiri imefika muda ni wakati wa uchaguzi na mwaka wa uchaguzi na mimi nimewiwa kuzisikiliza sauti za watu wa Meru. Nimezisikiliza kisawasawa kwahiyo nimedhamiria na nimekuja kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama cha mapinduzi kupeperusha bendera ya kiti cha ubunge Jimbo la Arumeru...
Mbunge wa Viti Maalum Jesca Kishoa, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania ubunge wa Jimbo la Iramba Mashariki kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Kishoa amechukua fomu hiyo leo Juni 30, 2025, katika Ofisi za CCM Wilaya ya Mkalama, mkoani Singida.
Hatua hiyo ya Kishoa inakuja ikiwa ni mwezi...
Aliyekuwa diwani wa kata ya Vingunguti na Meya wa halmashauri ya jiji la Dar es salaam, Omary Kumbilamoto leo Juni 28, 2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi CCM kwa ajili ya kugombea udiwani kata ya Vingunguti.
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida anayemaliza muda wake, Aysharose Mattembe (kulia) amechukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea nafasi hiyo. Mattembe amekabidhiwa fomu hiyo leo Juni 30, 2025 na Katibu wa UWT Mkoa wa Singida, Judith Mwamboza.
Kada Emmanuel Mkoha ambaye amebobea kwenye sekta ya madini akiwa amefanya kazi na Mashirikika ya Kimataifa ya uchimbaji madini kama Anglo Gold Ashanti na Barrick Gold amechukua fomu kuomba kuteuliwa na CCM kugombea ubunge katika jimbo la Ikungi Mashariki kumvaa Miraji Mtaturu ambaye naye...
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Lindi Tecla Ungele ni miongoni mwa waliochukua fomu leo Juni 30,2025 za kuwania tena nafasi hiyo.
Tecla amechukua fomu hiyo katika Ofisi za Umoja wa Wanawake Tanzania Mkoa wa Lindi na kukabidhiwa na Katibu wa Umoja huo wa Mkoa Ndugu Neema Ngonyani.
Akizungumza...
"Ninayo heshima kuwataarifu kuwa Mimi Jamillah Hassan Miyonga leo tar 30/06/2025 nimechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa kwa chama changu CCM kutia nia UBUNGE VITI MAALUM mkoa wa Morogoro! Nikiwa mwana CCM wa kweli, mwenye historia ya kujituma, kufanya kazi kwa weledi na kusimamia haki za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.