Naomba kufahamu au kujuzwa kwa mwenye ujuzi mkubwa, kwa kawaida malaika Hawa ni viumbe wa Mungu, Gabriel, Mikael, Rafael na Uriel, na asili zao, mfano Gabriel Ana asili ya maji, Uriel Ana asili ya moto nakadhalika,
Je inakuwaje tunaweza kuwatumia katika kutuunganisha na Mungu kwa ajili ya ulinzi...