kuanzia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. technically

    GE2025 Kuanzia Sasa hakuna tena dharau kwa Watanzania

    Kuanzia leo baada ya huu uchafuzi Hakuna tena Mtanzania atakaye chukuliwa poa . Iwe kwenye huduma au siasa au chochote. Kuanzia Leo uchawa utakoma Uhuni utaisha urasimu na ufisadi utapungua. Hakutakuwa na utekaji tena Wala watu kuuawa ovyo tena. Tanzania itapitia mabadiliko makubwa ambayo...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Serikali: Kuanzia kesho Novemba 4, 2025 Wananchi waendelee na shughuli zao za kawaida

    Serikali kupitia msemaji wake, Gerson Msigwa, imethibitisha kuwa kuanzia kesho Novemba 4, 2025, Watanzania wataendelea na shughuli zao kama kawaida.
  3. N

    Wakenya kuanzia sasa tutadeal na nyie kweli kweli namaanisha kweli kweli

    1. Rais wa Tanzania ameshaapishwa uvumi umeisha na maisha yataendelea 2. G z Tanzania nawashauri ebu jifunzeni kidogo kuhusu wanaotangaza prpaganda huwa wana nia gani na tujifunze kwa serikali nyingi zenye neema ya rasilimali huwa zinaandamwa na foreign forces na influences ebu TUIPENDE NCHI...
  4. Abuu Ibraahiym Sibomana

    GE2025 Tutarajie kuimbishwa wimbo gani baada ya Uchaguzi?

    Mwanzo ilikuwa M4C. Halafu ikawa people's power! Mara ikaja hii ya No reforms no election!. Sasa nadhani baada ya uchaguzi pataanzishwa wimbo mwingine kwakuwa , NO REFORMS NO ELECTION itakuwa imeexpire! Lakini pia kurudi kuimba people's power pia haifai kwakuwa itakuwa kujidanganya...
  5. ngara23

    Tumejiandaaje kuishi bila mtandao (internet)🛜 kuanzia kesho hadi tarehe 3 November, 2025

    Wahuni na mafisadi wanampago wa kuzima mtandao ili kufanya uchafuzi wao gizani, wameona kuwa mitandao itaeneza haraka mipango ya maandamano, kura fake, rushwa katika uchafuzi huo, na uonevu na matendo ya kinyama ya poliCCM dhidi ya raia Wema Naona hawa wahuni na mafisadi wanajipalia Mkapa...
  6. M

    Miguu kuvimba nikiwa safarin kuanzia safar ya masaa2 nakuendelea

    Habari wakuu nkiwa safarin safar ya walau masaa 2 nakuendelea miguu huvimba, Hali hii imeanza kipindi Cha ndani ya miaka2 ,je hapa ntakua matatizo gani
  7. Sky Eclat

    GE2025 Kama unamiliki utajiri wa kuanzia bilioni 5, kapige kura 29/10/2025

    Haya ndiyo maisha wanayoishi wapigiwa kura wakati GenZ wanaambiwa watapewa mikopo ya milioni 5 kila wilaya. Wapigiwa kuwa wana pack nagar ya bilioni 5 kwenye yard nyumbani kwao.
  8. B

    Natafuta boyfriend umri kuanzia miaka 25 hadi 30

    Habari, mimi ni binti nina miaka 23, nimekuwa mpweke sana nahitaji rafiki wa kiume wa kubadilishana naye mawazo, kupeana kampani n.k Sifa zangu. Najishughulisha Mpole Siyo muongeaji sana Mkweli na muwazi Kimo cha kawaida Rangi maji ya kunde Mwili wa kawaida Sifa za rafiki...
  9. Mad Max

    Gharama za iPhone mpya kuanzia 2007-2025!

    Hapo mwanzo, iPhone zilikua na bei ya kawaida tu. Ila sahivi.
  10. Carlos The Jackal

    Kwahiyo Mzee Butiku , Kwa Maoni yako unayohisi yana Busara, nini Hatima ya Watanzania kuanzia 2026 ikiwa Samia ataendelea?.

    Nini Hatima ya Waliotekwa na Kufungwa na kuuwawa?. Nini Hatima ya Vyama vya siasa hasa CHADEMA ? Ni Hatima ya Tundu LISSU ?. Nini Hatima ya Walio, wanao na watakaoendelea kuikosoa Serikali Kwa namna mbovu inavyoendesha Nchi?. Nini Hatima ya Wazalendo ambao wanahitaji kuhakikisha...
  11. Hance Mtanashati

    Kuanzia wiki ijayo mitandao itaanza kusumbua rasmi

    Kwa yanayoendelea nchini na wananchi wanavyozidi kupata hamasa zaidi ya kuandamana. Nina ona kuna dalili nyingi za mitandao kufungwa . Uzi tayari.
  12. Damaso

    Usafirishaji hatari wa Tv kuanzia Inch 60

    Ebu leo wanandugu njooni tuzungumze kidogo. Mara nyingi sana huwa napishana mitazamo na watu juu ya namna ya usafirishaji wa tv kubwa kuanzia inch 60 na kuendelea. Huwa nawaambia kama umeweza kupata milion 1+ kwaajili yakununua tv ya ndoto yako kwanini ushindwe kutoa elfu 50 ya usafiri tv yako...
  13. Carlos The Jackal

    Mwambieni Heche, Lema ,Golugwa, Mnyika na Top Officias, Watakamatwa muda wowote Kwa lengo la kuwaachia Kuanzia November !!

    Hawa wahuni na Genge lao , Suala la Maandamano limewatikisa sana . Wamekaa kikao na kukubaliana kua, Wawakamate Top Officials wote wa CHADEMA wawekwe Ndani ,wake nao mpaka Huu Uchaguzi wao waloupanga Oktoba 29 upite, Kisha wawaachie . Hofu ya Wapuuzi Hawa ni kudhani kwamba Viongozi Hawa wa...
  14. Think2

    Mwanaume kama hutengenezi kuanzia Elfu 10,000 kwa siku usioe

    Mke sio demu kama unaona kabisa kipato chako nichakuunga unga huna uhakika wa kumake elfu kumi kwa siku usioe usijekuwatesa watoto na mkeo bure.
  15. GENTAMYCINE

    Nilimheshimu sana Juma Nature ila kwa kitendo hiki nimemtoa thamani

    Nilimheshimu sana Juma Nature ila kwa Kumdharau Mtu aliyemtoa Producer Master Jay kuanzia leo nimemtoa Thamani kwani Kakosea mno
  16. Traxtion

    Ndege zilizotengenezwa na Watanzania kuanzia mwanzo hadi mwisho

    Kuna siku niliwahi kuandika mada humu kuhusu jinsi Tanzania ilivyo na magenius wengi, lakini hawavumi. Haya, kuna ndege za Skyleader zimetengenezwa na vijana 13 wa Kitanzania kuanzia mwanzo hadi mwisho. Mind you, sio ku assemble bali ni kutengeneza ndege kabisa Ila haoa kuna kitu...
  17. K

    Jipatie Unlimited bando kutoka Vodacom, kuanzia elfu 70,000/= tu.

    Unlimited ni huduma inatolewa kwa wateja wa router, kiutaratibu router za Vodacom ni bure isipokuwa mteja atalipia service ambayo ni Internet. Package ni kama ifuatavyo. •Router yenye Mbps 10, malipo ya awali ambayo ni security deposit ni 120,000/= halafu malipo ya Kila mwezi ni 60,000/=...
  18. Mad Max

    Cadillac kuingia Formula 1 GP kuanzia msimu ujao wa 2026. Kwa kuanza, watatumia engine za Ferrari.

    Wazee, kuna hii habari nzuri kwa wapenzi wa Formula 1. Tumezoea kuona team 10 kwenye F1 Grand Prix, ila kuanzia mwakani 2026 zitakua 11 ikiongezeka ya Cadillac, ilio chini ya General Motors (GM), Ila watatumia power unit na gearbox kutoka kwa Ferrari. Habari nzuri haijaishia hapa, ila ni...
  19. Mkalukungone Mwamba

    Nauli za ndege kupanda baada ya Tanzania kuanzisha ada ya abiria ya dola 90 kwa wasafiri wa kimataifa

    Nauli za usafiri wa anga wa kimataifa huenda zikapanda kwa dola 45 kwa tiketi ya safari ya njia moja na dola 90 kwa safari ya kwenda na kurudi endapo ada mpya itaanza kutekelezwa kama ilivyopangwa. Serikali inapanga kuanzisha ada ya urahisishaji wa abiria kwa wasafiri wote wa kimataifa kuanzia...
  20. K

    Wanamitandao kuanzia 2026 ni kumaliza madini, gas, mbuga-

    Wanamitandao kuanzia 2026 ni kumaliza madini, gas, mbuga- . Hakuna biashara itapita bila Rostam kuhusika
Back
Top Bottom